Kwanini DSTV ni ghali sana?

Kwanini DSTV ni ghali sana?

Kwanini usijilazimishe kupenda LIGI YA bongo?! acha kuwa mtumwa!

Viongozi wenyewe ndo hawa akina Aveva.. Kaburu.. Manji.. Sanga ndo ulazimishe watu wapende mpira..? Mpira wa bongo ni pasua kichwa..! Yaani viongozi wa simba na yanga wanaungana kuiba mapato ya milangoni na kugawana halafu unilazimishe nipende mpira mie..! Hawa ambao wanatakiwa kuwa wabunifu na kujenga timu zenye uwezo na kujitegemea leo ndo wasaka tonge wakubwa..

Acha tujinogeshe na ligi za ulaya zinazoendeshwa kiushindani wa hali ya juu..
 
Nafikiri huu uzi sijauelewa!!
Kuna promo au!

Huyo naye amekurupuka tu!! Bila kujua kwa sasa startimes wameleta kifurushi kipya unalipia tsh.4000 kwa mwezi unapata channel za ziada kama nne hivi.iman tv, cctv 9, swahili na nyingine kama mbili hivi.ndio tangazo lao la sasa na sio bei ya decoder.
 
DSTV wana ving'amuz vya ofa kwa sasa vinauzwa tsh 99000 na unalipia tsh 17000 kwa mwez! Hilo ndo tangazo lao lililopo hewani!
 
Huyo naye amekurupuka tu!! Bila kujua kwa sasa startimes wameleta kifurushi kipya unalipia tsh.4000 kwa mwezi unapata channel za ziada kama nne hivi.iman tv, cctv 9, swahili na nyingine kama mbili hivi.ndio tangazo lao la sasa na sio bei ya decoder.
Wewe ndio umekurupuka.., wanauza decoder iliyounganishwa kwa shs.4,000/=!
 
Kwanini usijilazimishe kupenda LIGI YA bongo?! acha kuwa mtumwa!

Ligi ya Bongo naangalia kwenye Azam Tv. Kwa ufinyu wa akili zako unadhani kuangalia ligi za nje ni utumwa. Vingapi Tanzania tunatumia vya nje?
Internet inayokuwezesha ku post humu JF si ya Bongo. Huo sio utumwa?
 
Viongozi wenyewe ndo hawa akina Aveva.. Kaburu.. Manji.. Sanga ndo ulazimishe watu wapende mpira..? Mpira wa bongo ni pasua kichwa..! Yaani viongozi wa simba na yanga wanaungana kuiba mapato ya milangoni na kugawana halafu unilazimishe nipende mpira mie..! Hawa ambao wanatakiwa kuwa wabunifu na kujenga timu zenye uwezo na kujitegemea leo ndo wasaka tonge wakubwa..

Acha tujinogeshe na ligi za ulaya zinazoendeshwa kiushindani wa hali ya juu..

Mkuu, achana na mpuuzi huyo. Azam Tv yenyewe anaangalia vibandani.
 
Kuna topic iliwahi kuwekwa humu juu ya gharama kubwa wanayotoza hawa DSTV kwa package zake. Nafikiri ni kwa kuwa hawana mshindani. Otherwise hizo gharama haziko justified. Kule North Africa na middle East wanatumia Eljazeera Sports siku hizi inaitwa "be in sports" malipo ni dola 12 kwa mwezi na wanaonyesha channel zile zile za mpira na michezo mingine. Kwa nini hapa kwetu iwe zaidi ya dola 70?

Tiba

Hizo ndio hoja za maana.
 
Dawa ya DSTV iko jikoni karibia inaiva ,inaitwa AZAM TV

Azam TV atanionyesha Discovery HD,Crime &Investigation, BBC knowledge? Siku wakiwa na hizo channels na mimi nitawatelekeza DSTV,sio leo wala kesho.Multchoice wako mbali sana kulinganisha na hivi ving'amuzi vya Star times
 
hao wote kuwa na vitu hivi bado sana, mwenye uwezo aangalie DSTV kwa raha zake asiye na uwezo abakie na hivi videcoder vya kibongobongo maana biashara huria hata nguo kariakoo inatofautiana na inavyouzwa posta hata kama quality ni ileile, ukiuliza utaambiwa kodi ni tofauti. ndio inavyokuwa kwa hawa DSTV ila pamoja na hayo si kitu cha lazima saaana kivile kwa hiyo mtu kama ha-afford anaweza kupotezea kiaina
Azam TV atanionyesha Discovery HD,Crime &Investigation, BBC knowledge? Siku wakiwa na hizo channels na mimi nitawatelekeza DSTV,sio leo wala kesho.Multchoice wako mbali sana kulinganisha na hivi ving'amuzi vya Star times
 
Dawa ya DSTV iko jikoni karibia inaiva ,inaitwa AZAM TV
Naona DSTV sasa wanaanza kuuza visimbuzi vyao mpaka barabarani..
Na bado mtufate majumbani mgonge milango na kutuuliza kama tunataka huduma zenu...

Wekeni bei zinazoendana na hali halisi ya kimaisha muone kama hamjapata wateja wengi.
 
Mbina kwa sasa imedikia 69000 wwe unataka ifike bei ya bure??
 
Hivi hawa jamaa wa DSTV kwanini bei zao ziko juu sana, ni kodi wanayolipa au nini? Kama ni kodi wale GTV walikuwa hawalipi kodi? Mimi sio mpenzi wa mpira na sisemi hivi kwa sababu nimeshindwa kulipia DSTV. Basi tu nimekuwa nikijiuliza kwa nini hawa ghali sana na wanaenda na dola kila siku wanaangalia rate ya dola. Nawaonea huruma wapenzi wa mpira wanavyoteswa na hawa DSTV. Kila chenye mwanzo kina mwisho, itafikia tu siku watatafuta wateja na wasiwapate kama ilivyo mabenki sasa na mpesa, tigopesa. Yaani DSTV ni kampuni kubwa sio tu Tanzania ila Africa nzima. Nadhani hata wakifanya elfu 50,000 tshs kwa kila mteja na bado itawalipa., lakini bei zao za kubagua wasionacho...
AZAM TV tusaidie tuondokane na utumwa wa DSTV, kwa kweli ni ghali sana
 
Back
Top Bottom