Kwanini usijilazimishe kupenda LIGI YA bongo?! acha kuwa mtumwa!Hawa wametukamata kwenye EPL. Bila hiyo hata elfu ishirini wasingepata watu.
Kwanini usijilazimishe kupenda LIGI YA bongo?! acha kuwa mtumwa!
Nafikiri huu uzi sijauelewa!!
Kuna promo au!
Wewe ndio umekurupuka.., wanauza decoder iliyounganishwa kwa shs.4,000/=!Huyo naye amekurupuka tu!! Bila kujua kwa sasa startimes wameleta kifurushi kipya unalipia tsh.4000 kwa mwezi unapata channel za ziada kama nne hivi.iman tv, cctv 9, swahili na nyingine kama mbili hivi.ndio tangazo lao la sasa na sio bei ya decoder.
Kwanini usijilazimishe kupenda LIGI YA bongo?! acha kuwa mtumwa!
Viongozi wenyewe ndo hawa akina Aveva.. Kaburu.. Manji.. Sanga ndo ulazimishe watu wapende mpira..? Mpira wa bongo ni pasua kichwa..! Yaani viongozi wa simba na yanga wanaungana kuiba mapato ya milangoni na kugawana halafu unilazimishe nipende mpira mie..! Hawa ambao wanatakiwa kuwa wabunifu na kujenga timu zenye uwezo na kujitegemea leo ndo wasaka tonge wakubwa..
Acha tujinogeshe na ligi za ulaya zinazoendeshwa kiushindani wa hali ya juu..
Kuna topic iliwahi kuwekwa humu juu ya gharama kubwa wanayotoza hawa DSTV kwa package zake. Nafikiri ni kwa kuwa hawana mshindani. Otherwise hizo gharama haziko justified. Kule North Africa na middle East wanatumia Eljazeera Sports siku hizi inaitwa "be in sports" malipo ni dola 12 kwa mwezi na wanaonyesha channel zile zile za mpira na michezo mingine. Kwa nini hapa kwetu iwe zaidi ya dola 70?
Tiba
Dawa ya DSTV iko jikoni karibia inaiva ,inaitwa AZAM TV
huyu nae wawapi tena.
Azam TV atanionyesha Discovery HD,Crime &Investigation, BBC knowledge? Siku wakiwa na hizo channels na mimi nitawatelekeza DSTV,sio leo wala kesho.Multchoice wako mbali sana kulinganisha na hivi ving'amuzi vya Star times
Naona DSTV sasa wanaanza kuuza visimbuzi vyao mpaka barabarani..Dawa ya DSTV iko jikoni karibia inaiva ,inaitwa AZAM TV
Dstv wakipunguza gharama za "full installation" watapata wateja wengi kwani watu wengi wanaweza kulipa angalau package ya access ambayo tshs. 16,000 kwa mwezi ambayo ni karibu sawa tu tv station nyingine.
AZAM TV tusaidie tuondokane na utumwa wa DSTV, kwa kweli ni ghali sanaHivi hawa jamaa wa DSTV kwanini bei zao ziko juu sana, ni kodi wanayolipa au nini? Kama ni kodi wale GTV walikuwa hawalipi kodi? Mimi sio mpenzi wa mpira na sisemi hivi kwa sababu nimeshindwa kulipia DSTV. Basi tu nimekuwa nikijiuliza kwa nini hawa ghali sana na wanaenda na dola kila siku wanaangalia rate ya dola. Nawaonea huruma wapenzi wa mpira wanavyoteswa na hawa DSTV. Kila chenye mwanzo kina mwisho, itafikia tu siku watatafuta wateja na wasiwapate kama ilivyo mabenki sasa na mpesa, tigopesa. Yaani DSTV ni kampuni kubwa sio tu Tanzania ila Africa nzima. Nadhani hata wakifanya elfu 50,000 tshs kwa kila mteja na bado itawalipa., lakini bei zao za kubagua wasionacho...