Kwanini DSTV ni ghali sana?

Kwanini DSTV ni ghali sana?

Hawa jamaa ni wezi sana!

Wajinga ndio waliwao, wanashirikiana Na baadhi ya viongozi kuibia wananchi kwa kisingizio cha biashara huria!

Just imagine hata south Africa kwenyewe ambao wao wana pato kubwa kuliko watanzania malipo Yao ni madogo ukilinganisha Na Tanzania;

Mfano Premium package south Africa Na rand 665 Sawa Na dola za marekani 62!
 
Mkuu ni 655 rand toka April 2014 bei zimepanda


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Wabongo tuna matatizo kweli,yaani mnataka kulipia subscription ya Premium kwa 50,000.Kwa nini hamlalamiki local channel zina vipindi vibovu mpaka mnashindwa kuangalia.Mimi nina DSTV nalipia Access 17,000 na baadhi ya miezi michache nalipia Compact Plus kwa ajili ya mpira below comfotable kabisa na huduma zao
 
Wabongo tuna matatizo kweli,yaani mnataka kulipia subscription ya Premium kwa 50,000.Kwa nini hamlalamiki local channel zina vipindi vibovu mpaka mnashindwa kuangalia.Mimi nina DSTV nalipia Access 17,000 na baadhi ya miezi michache nalipia Compact Plus kwa ajili ya mpira below comfotable kabisa na huduma zao

Mkuu nahisi wewe una chembechembe za damu ya DSTV .... au una hisa hapo :sly:
 
Mkuu kuna vitu vingine hapa duniani vipo kwa ajili ya wenye fedha, DSTV ni mojawapo. Jamaa wale wapo kwa ajili ya ku-entartain watu wa kipato cha juu. Huduma zao ni bora hakuna mfano! Ukipata fedha tuonane multichoice.

Gap sio dunian tu ata mbingun kuna magap..ila ww mtoto wa kiume uskubali kumkubali mwenzio ana pesa ata ww ukihustle kiukweli utazpata 2
 
Mkuu nahisi wewe una chembechembe za damu ya DSTV .... au una hisa hapo :sly:

Kuna wabongo wa hali ya chini but wanaweza kumiliki smartphone za kuanzia 400,000 hadi 1.2m na wananunua simu mpya kila mwaka

Mimi nimeridhika na kiasi ninacholipa na huduma ninayopata,Siwezi kulipia Premium nalipia Access,kwa mwaka naweza nikalipia Compact+ plus kama miezi 3 kwa ajili ya soka
 
DSTV ni level nyingine kabisa huwezi fananisha na vinga'muzi vingine aisee. Mfano Ukiwa na PVR EXPLORA aisee mkuu utajua nini nakwambia japo ndio hivyo kununua hiyo decoder na kufugiwa ni 1,000,0000 tsh na malipo ya mwezi kwa premium ni 159,000 tsh but uta enjoy sana na features zilizopo humo.

Watanzania acheni ushamba na ulimbukeni! Unashangalia kukamuliwa? Au hizo fedha zako unazipata kwa wizi na hazina jasho? Nchi nyingi kabisa channels za kulipia ni rahisi kabisa. Na tena zina vikombolozwe vingi mpaka 3D channels. Ni Tanzanaia tu makaburu wameona umbulula wetu wakaamua kufanya watakavyo!
 
Hawa jamaa ni wezi sana!

Wajinga ndio waliwao, wanashirikiana Na baadhi ya viongozi kuibia wananchi kwa kisingizio cha biashara huria!

Just imagine hata south Africa kwenyewe ambao wao wana pato kubwa kuliko watanzania malipo Yao ni madogo ukilinganisha Na Tanzania;

Mfano Premium package south Africa Na rand 665 Sawa Na dola za marekani 62!

Swadakta mkuu. Wachana na hayo mabulula (naona yamezoea kupata fedha hizi za mkato) yanashangilia kukamuliwa! Hata huduma za internet na simu Tanzania ziko juu kabisa. Ni hujuma ya hawa makampuni wanashirikiana na mafisadi ya serikali. Makamba yupo kwenye listi yao ya malipo!
 
Mkuu when it comes to reality unakubaliana na hali ilivyo unless otherwise you have the way to change that. Kama huwezi kubadili mfumo then kubaliana nao . Mbona umeme uli panda bei hapa mwanzoni mwa mwaka tukalalamika lakini hakuna lililofanyika na ni ndani ya nchi hii hii. So hata Kama hiyo Pesa ni kubwa hakuna cha kufanya unless you can help us rectify it tutashukuru sana.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Watanzania acheni ushamba na ulimbukeni! Unashangalia kukamuliwa? Au hizo fedha zako unazipata kwa wizi na hazina jasho? Nchi nyingi kabisa channels za kulipia ni rahisi kabisa. Na tena zina vikombolozwe vingi mpaka 3D channels. Ni Tanzanaia tu makaburu wameona umbulula wetu wakaamua kufanya watakavyo!

Mkuu when it comes to reality unakubaliana na hali ilivyo unless otherwise you have the way to change that. Kama huwezi kubadili mfumo then kubaliana nao . Mbona umeme uli panda bei hapa mwanzoni mwa mwaka tukalalamika lakini hakuna lililofanyika na ni ndani ya nchi hii hii. So hata Kama hiyo Pesa ni kubwa hakuna cha kufanya unless you can help us rectify it tutashukuru sana.


Sent from my iPad using JamiiForums


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Mkuu when it comes to reality unakubaliana na hali ilivyo unless otherwise you have the way to change that. Kama huwezi kubadili mfumo then kubaliana nao . Mbona umeme uli panda bei hapa mwanzoni mwa mwaka tukalalamika lakini hakuna lililofanyika na ni ndani ya nchi hii hii. So hata Kama hiyo Pesa ni kubwa hakuna cha kufanya unless you can help us rectify it tutashukuru sana.


Sent from my iPad using JamiiForums


Sent from my iPad using JamiiForums

Hapana, sikubaliani na wewe mkuu. Hiyo sio ''reality'' bali ni ''acting''. Sasa hivi ukienda kwenye website ya DSTV South Africa utakuta bei zao ziko chini kabisa. Hiyo ndio reality na sio vingine. Acha mawazo ya enzi za mawe mtu ana chawa mwili mzima na anakubaliana ha hali.....
 
Hapana, sikubaliani na wewe mkuu. Hiyo sio ''reality'' bali ni ''acting''. Sasa hivi ukienda kwenye website ya DSTV South Africa utakuta bei zao ziko chini kabisa. Hiyo ndio reality na sio vingine. Acha mawazo ya enzi za mawe mtu ana chawa mwili mzima na anakubaliana ha hali.....

So let's get to solution now. Suggest a way to harmonise those rates between us and south Africa. If you have a better solution you just spit it out.
 
Tunaomba tumegee na cc wengine huo ujanja Queen.

Tafuta fundi mzuri wa madish atakuwekea code ambazo ukiingiza ukifungua channel mija zote za south africa utazipata... tho ni muda kidogo tangu 2006 hv nimetumia hizo.. sikuiz npo na wakongwe wa digital DSTV nshasahau habari za dish.
 
Dah !!! Kama ni kweli southafrica dstv wanachaji dola 30 na sisi huku dola 78 sio haki kabisa....😡

Hata Nigeria pia ni cheap hata wanafunzi wa vyuo wanazo hostel ndio maana kwenye reality show SA na 9Ja wana viewers wengi....

Nakumbuka bigbrother ya 2010 akina Uti, Sheila na Mwisho walikuwa wana discuss hii kitu mpk Uti akashangaa kwann Dstv kwa EA na baadhi ya Southern ni ghali compare to SA na West Africa.
 
Gap sio dunian tu ata mbingun kuna magap..ila ww mtoto wa kiume uskubali kumkubali mwenzio ana pesa ata ww ukihustle kiukweli utazpata 2

Teh teh gap zipo huko pia hata Mbinguni kuna Malaika wa Kuu Michael..Gabriel... Rafael pia kuna Maserafi na Makerubi na Malaika wengine...
 
Dstv hd ni poa sana
 

Attachments

  • 1403209748098.jpg
    1403209748098.jpg
    43.3 KB · Views: 175
Back
Top Bottom