Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,722
- 6,593
Hapana, sikubaliani na wewe mkuu. Hiyo sio ''reality'' bali ni ''acting''. Sasa hivi ukienda kwenye website ya DSTV South Africa utakuta bei zao ziko chini kabisa. Hiyo ndio reality na sio vingine. Acha mawazo ya enzi za mawe mtu ana chawa mwili mzima na anakubaliana ha hali.....
Waambie serikali wapunguze kodi,bei ya petrol hapa ni sawa na South Africa?,hujiulizi ni kwa nini?
Sent from my iPhone using JamiiForums app