Hivi uweze kupata hadhi ya kuwa Mzanzibar mkazi na uwe na haki zote za Kizanzibari ikiwemo na kumiliki ardhi na kupata huduma Bure za afya kwa ruhusa ya tajiri wa Zanzibar ni hatua zipi za kufuata? Ukizingatia Nina passport ya JMT
Huduma za afya kwa watanganyika ni bure hapa Zanzibar, haijalishi una kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi au lah.
Wengi wanasafiri kuja Zanzibar kwa matibabu ya bure na wanapewa.
 
Tanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?

=======

Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.

Nchi ni mbili ila mbumbumbu ni mtanganyika.
 
Hivi uweze kupata hadhi ya kuwa Mzanzibar mkazi na uwe na haki zote za Kizanzibari ikiwemo na kumiliki ardhi na kupata huduma Bure za afya kwa ruhusa ya tajiri wa Zanzibar ni hatua zipi za kufuata? Ukizingatia Nina passport ya JMT
Unaweza kupata hadhi ya uzanzibar kwa kuwa na kitambulisho cha mzanzibar mkaazi na kinapatikana kwa kukaa Zanzibar kwa mda wa miaka 5 bila ya kuondoka.
 
Tanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?

=======

Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.

Wajinga ndiyo waliwao.

Samia akifika 2030 Zenji itakuwa inafanana na Dubai.

Sasa hivi wana miradi mikubwa zaidi ya kumi ya matrilion.

Mama anachota tu.

Kaka yuko Zenji dada yuko uhjainumi kwa wajinga Tanganyika anakwapua tu.
 
Tanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?

=======

Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.

NYINYI WATANGANYIKA SISI WAZANZIBARI
 
Tanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?

=======

Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.

Zanzibar inawajali wananchi wake na inatambua maendeleo huletwa na watu wenye afya njema.
 
Back
Top Bottom