Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,814
- 11,991
CHANGAMOTO TUNAZO PITIA WAGONJWA WA FIGO MUHIMBILI.
Ndugu Mheshimiwa waziri zifuatazo ni changamoto tunazo pitia Kama wagonjwa wa figo.
1. Gharama za kuchuja damu (dialysis) ziko juu sana kwa watu wanaolipa cash hata kufikia kupotezea wenzetu wengi walio shindwa kulipia hivyo tunaomba mtupuguzie ikiwezekana mtutafutie donors ili tuweze kufanya bure Kama vile wa athirika wa madawa wanavyo lipiwa.
2. Kume kuwa na gharama kuongezeka Mara kwa Mara kwenye sindano ya EPO kuongeza damu mwanzo ilikuwa 4000 ila kwa Sasa iko juu 16,000 kwa sindano moja tunaomba ishuke.
3.Swala la kupata msamaha ustawi wa jamii kwa Sasa limekuwa halipo kabisa kinyume na muongozo wa msamaha wa ustawi wa jamii kwani wengi kwa Sasa hatuna uwezo wa kulipia na familia zimesha tu choka kutusaidia na tunashi kwa kusaidiwa na rafiki nao wamesha tuchoka.
4. Huduma tunazo pewa na ma nesi nazo ni changamoto lugha zao sio nzuri kwa wagonjwa ....
5. Swala la parking lime kuwa changamoto tuna lazimishwa kulipia wakati pesa tu ya matibabu kuipata inakuwa shida tunaomba magari yote ya wagonjwa yaingie free na kutoka bila kulipia kwa kuwahatuna uwezo. Wagonjwa wa Figo wanaenda Muhimbili saa tatu Usiku na kutoka saa moja asubuhi. Halafu Maegesho unalipishwa 1,000 kila saa tena usiku. Masaa nane ya kukaaa Muhimbili unalipia Maegesho 8000 hadi 10,000 saa nyingine. Tunaomba Wagonjwa wasilipishwe maegesho.
6.Mheshimiwa waziri tunaomba kama msamaha unatolewa kiwango Cha cash kiwe kimoja siyo wengine wanalipa elfu 30, wengine laki na themanini wengine elfu sabuni inatutengenezea mazingira ya kuhisi wanapokea rushwa maana wengine wananyinwa msamaha
Muhimbili Mbu ni wengi, kwanini wasipulizie dawa? Tunakesha na mbu kuanzia saa mbili usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi.
Majibu ya Uongozi wa Muhimbili - Prof. Janabi akieleza Jinsi Serikali inavyochangia utoaji huduma za Figo
Ndugu Mheshimiwa waziri zifuatazo ni changamoto tunazo pitia Kama wagonjwa wa figo.
1. Gharama za kuchuja damu (dialysis) ziko juu sana kwa watu wanaolipa cash hata kufikia kupotezea wenzetu wengi walio shindwa kulipia hivyo tunaomba mtupuguzie ikiwezekana mtutafutie donors ili tuweze kufanya bure Kama vile wa athirika wa madawa wanavyo lipiwa.
2. Kume kuwa na gharama kuongezeka Mara kwa Mara kwenye sindano ya EPO kuongeza damu mwanzo ilikuwa 4000 ila kwa Sasa iko juu 16,000 kwa sindano moja tunaomba ishuke.
3.Swala la kupata msamaha ustawi wa jamii kwa Sasa limekuwa halipo kabisa kinyume na muongozo wa msamaha wa ustawi wa jamii kwani wengi kwa Sasa hatuna uwezo wa kulipia na familia zimesha tu choka kutusaidia na tunashi kwa kusaidiwa na rafiki nao wamesha tuchoka.
4. Huduma tunazo pewa na ma nesi nazo ni changamoto lugha zao sio nzuri kwa wagonjwa ....
5. Swala la parking lime kuwa changamoto tuna lazimishwa kulipia wakati pesa tu ya matibabu kuipata inakuwa shida tunaomba magari yote ya wagonjwa yaingie free na kutoka bila kulipia kwa kuwahatuna uwezo. Wagonjwa wa Figo wanaenda Muhimbili saa tatu Usiku na kutoka saa moja asubuhi. Halafu Maegesho unalipishwa 1,000 kila saa tena usiku. Masaa nane ya kukaaa Muhimbili unalipia Maegesho 8000 hadi 10,000 saa nyingine. Tunaomba Wagonjwa wasilipishwe maegesho.
6.Mheshimiwa waziri tunaomba kama msamaha unatolewa kiwango Cha cash kiwe kimoja siyo wengine wanalipa elfu 30, wengine laki na themanini wengine elfu sabuni inatutengenezea mazingira ya kuhisi wanapokea rushwa maana wengine wananyinwa msamaha
Muhimbili Mbu ni wengi, kwanini wasipulizie dawa? Tunakesha na mbu kuanzia saa mbili usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi.
Majibu ya Uongozi wa Muhimbili - Prof. Janabi akieleza Jinsi Serikali inavyochangia utoaji huduma za Figo