Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b
Si kila tuhuma inatakiwa kuchunguzwa, ina maana mwehu yeyote akijisikia kusema chochote juu yako wewe unakurupuka kuchunguza utakuwa huna akili.

Mind you hii ni siasa kama kila tuhuma itachunguza ina maana kila siku chama kitakuwa kazi yake ni kichunguza tuhuma.
 
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b
Hela za kwetu na timemruhusu azile. Wewe kinakuwasha nini? Matako yako!
 
Kinachonitia wasiwasi si tuhuma zenyewe, bali namna tunavyozijibu. Mara nyingi tunapokuwa na mapenzi makubwa kwa kiongozi au chama, tunakuwa wepesi kuamini kwamba kila tuhuma ni uzushi na kila anayezitoa ana nia mbaya. Huo ni mtazamo wa kibinadamu, lakini unaweza kuwa na madhara makubwa.

Tuhuma si hukumu. Mtu anayetoa tuhuma si lazima awe tayari ameshathibitisha kosa; ndiyo maana kuna taasisi na taratibu za kufanya uchunguzi. Vivyo hivyo, mtuhumiwa hapaswi kuhukumiwa na umma kabla ya uchunguzi kukamilika.

Ndiyo maana naamini njia bora si kutukanana wala kudhalilishana, bali kuruhusu uchunguzi wa haki na huru ufanyike. Uchunguzi ukionyesha tuhuma hazina msingi, kiongozi husika atasafishwa kwa ushahidi na mjadala utaisha. Lakini ukibaini kuna ukweli, hatua zinazostahili zichukuliwe bila kujali cheo au umaarufu wa mhusika.

Historia ya siasa zetu inaonyesha kwamba vyama vyote, vikiwa upinzani au madarakani, vimewahi kutoa tuhuma za ufisadi dhidi ya wapinzani wao na kudai uchunguzi ufanyike. Kwa hiyo, ni muhimu kutumia kigezo kilekile kwa kila mtu bila viwango viwili.

Nina imani kwamba uongozi unaojiamini haupaswi kuogopa uchunguzi. Kiongozi anayesimamia ukweli atakuwa wa kwanza kutaka jambo lichunguzwe ili ukweli ujulikane. Hilo ndilo linalojenga imani ya wananchi na kuimarisha utamaduni wa uwajibikaji katika siasa zetu.

Mwisho, tusifike mahali ambapo uaminifu kwa mtu au chama unakuwa sababu ya kukataa hata uchunguzi. Taifa lenye misingi imara ya uwajibikaji linapaswa kuhimiza ukweli ubainike, si kuuzima kwa matusi au hisia.
 
Si kila tuhuma inatakiwa kuchunguzwa, ina maana mwehu yeyote akijisikia kusema chochote juu yako wewe unakurupuka kuchunguza utakuwa huna akili.

Mind you hii ni siasa kama kila tuhuma itachunguza ina maana kila siku chama kitakuwa kazi yake ni kichunguza tuhuma.
Ndiyo lengo kuu la CCM na chawa wao, kuwatoa CHADEMA kwenye reli. Speed wanayoenda nayo CHADEMA inawatisha sana Samia na mafisadi wenzake, wameamua kutumia chawa mitandaoni ambao hawajawahi kuhoji kuhusu ufisadi wa kodi za wananchi wala uhujumu wa raslimali za nchi.
 
IMG-20260522-WA0054.jpg

Heche achunguzwe, pumbaaaavu
 
Hakuna pahala nimesema Heche amekula hela za watu!
hoja ya mada hii "Kwa nini Chadema imeshindwa kumchunguza Heche" majibu mnayotoa yote ni mepesi,.mnakana tuhuma bila vielelezo, sawa na majibu ya CCM kwenye Ufisadi na mauaji.
Hapa saa hizi ni usiku mkubwa nitarudi kesho!
Vieelezo gani kwa mfano ungehitaji kuviona ili roho yako isuuzike?
Ukasema kweli hapa uchunguzi umefanyika.
 
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b
Huu ujinga ujinga wa ccm nani mwenye akili timamu atahangaika nao
 
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b
Sisi CHADEMA tunamsubiri Humphrey Polepole aje kuchukua nafasi ya umakamu mwenyekiti ndani ya chama chetu,hapo Heche tutamuweka pembeni na uchunguzi utaanza mara moja.
Wako,
John Mnyika,
Katiba Mkuu,
CHADEMA.
 
Mimi nahoji, hoja ya kina Lema, Sugu na Boniface kama kuna Ukweli, sio hao waloichukua na kuanza kuipigia debe. Source ipo wazi lakini inakwepwa! Why?

Mbowe alituhumiwa na Tundu Lissu na Heche, wakaaminika pasipo Uchunguzi wala ushahidi. Mbowe akapigwa chini..

Heche ametuhumiwa na Lema, Sugu na Boniface kula hela za Tone tone! Kwa nini haiaminiki, inasingiziwa CCM ilihali watoa tuhuma hizi ni Lema, Sugu na Boniface. Hawahojiwi wala kuulizwa Ushahidi! Am I clear?
Sijui unanielewa!
Mimi binafsi sijamsikia Lema, Boni wala Sugu wakihoji zaidi ya kuwasikia takataka za CCM zikitema pumba,hivyo kwangu source bado ni CCM.

Lakini Kama ni kweli hawa wakina Lema wameliibua hili kwenye vikao halali vya chama,basis ni jambo jema tukasubiri vikao hivyo vikae tukiamini vitalisemea jambo hili.
Naamini utaratibu wa chama unafuatwa.
 
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b
Naona mnateseka usiku na mchana
 
Mkuu Mkandara

Kwanza, naungana na JokaKuu kuhusu watoa tuhuma.
Mfano, J.Selasini aliyeshirikiana na Msajili kuhujumu NCCR ndiye mtoa tuhuma.
Ukimsikliza anataka maridhiano kwa maana kwamba kuna kikwazo, HECHE

Yupo Lembrus Mchome aliyekodiwa apartment na Msajili kuhujumu CHADEMA, huyu naye unamsikiliza

Yupo Katibu wa UVCCM naye katoa tuhuma kama CHADEMA, naye unamsikiliza

Wapo wa mikoani, wote wanatoa tuhuma hakuna anayetueleza ushahidi upo wapi. Kwamba kuna pesa zimeliwa, hawaelezi wapi na kiasi gani

G. Msigwa wa CCM msemaji wa serikali anapokerwa na tuhuma za CHADEMA kuliko uhuni wa kujiteua uliofanyika pale Dodoma. Naye umamsikiliza kama mtu makini.

Msigwa anakerwa na tone tone lakini hakerwi na Trilioni moja ya Bajeti ya kachori, maandazi na vitumbua! Hakerwi na Wanawake kujifungua juu ya matenga. Huyu unamsikiliza kwa dhati kabisa!!!

Pili, Katibu mkuu kaeleza wazi taratibu za fedha . Kwamba, yeye ndiye anayehusika. Kwanini watu wanamtuhumu HECHE badala ya kuanza na mwenye dhamana?

Tatu, kuna taratibu za Chama chao kuhusu madai. Je wamezifikisha huko? CHADEMA ni taasisi siyo genge la watu. CCM walimwita Kolimba wakamalizana naye. CCM husema kuna taratibu za chama hata Wabunge wao kama caucus hawawezi kuisema serikali yao. Leo unaona utaratibu wa kuzungumza hovyo ni mzuri tu kwasababu ni CHADEMA

Mkuu utaruhusu uholela katika chama hiyo siyo taasisi. Kesho litaibuka kundi linalompinga Mnyika, utachunguza. Keshokutwa Sugu, utachunguza, siku nyingine Lema utachunguza. Yaani huoni kabisa kwamba kuna uhuni hapo !

Kinachotakiwa hapa si pesa za tone tone, ni kumuondoa HECHE aliyekuwa na LISSU katika mazungumzo yaliyofeli.

CCM na Serikali wanataka mtu laini kama MBOWE watakayeweza kupiga naye picha na kukaa vikao miaka 2 bila matokeo. CCM wanawaita akina HECHE Hardliners wanataka waondoke wapachike watu wao kama MBOWE.
Kwa mchango huu, Uzi ufungwe sasa maana majibu yote na ya ziada yapo humu.
Kongole Sana ndugu Nguruvi3
 
Majibu ya takataka uliyo-post ni rahisi sana.
Lugha hii inatumika sana na baadhi ya mashabiki wa CCM dhidi ya tuhuma kutoka kwa mashabiki wa CCM.
-Wanachama, supporters na sympathizers wa CHADEMA si wajinga, wanafahamu fika sources za hizo allegations na watu kama wewe matamanio yenu ni kuwatoa kwenye reli waanze mambo hayo ya kichunguzana huku nanyi mkizidi kukoleza moto but you've failed big time and you shamelessly disgraced yourselves.
Lugha nyingine ambayo haistahili. Hakuna mashabiki na viongozi waliokuwa perfect. Na kama chama kinashindwa kutembea na kutafuna chewing gum kwa pamoja basi kina matatizo makubwa.
-Mbowe alifanya kazi kubwa sana kuijenga CHADEMA lakini 'alilegea' au 'alilegezwa' katikati ya mapambano na makamu wake alikiri hadharani kuwa alikuwa ndiyo link ya uongozi uliokuwepo na Abdul(mtoto wa Samia) hivyo ni dhahiri walikuwa compromised sasa hapo kulinganisha hizo phases mbili za uongozi obviously wewe ni miongoni mwa walewale mnaopambana kuitoa CHADEMA kwenye reli.
Uongo mwingine. Lissu alishindwa kutoa ushahidi wa kumuunganisha Mbowe na Abdul. Ushahidi pekee uliokuwepo ni clip iliyomuonyesha Lissu akimshukuru Abdul na kumuahidi kuwa atakuwa rafiki yake daima kama atafanikisha yeye kupata stahili zake. Alipobanwa kuhusu ushahidi alisema kuwa aliyemthibitishia ni marehemu bila kumtaja jina. Aidha, kwa vile ilisemekana kuwa tuhuma hizo kuhusu Abdul ziliongelewa katika Kamati Kuu ilikuwa ni jambo rahisi kuweka dondoo za vikao hivyo zilizokuwa redacted hadharani ili kuthibitisha kuwa Mbowe alihusika na Abdul. Ukimya wao unathibitisha kuwa ni sumu waliyomwaga ili kumharibia Mbowe. Ni strategy ya siasa za Marekani na sasa imewarudia.
-Don't forget that CHADEMA ni chama kikubwa and when it comes to diehard supporters there is no party you can compare with so hao diehards hawawezi kukaa kimya wanapona dhahiri kuwa uongozi umekuwa compromised, they ain't stupid.
Hao unaowaita ni die hard supporters ni wakina nani? Wengi waliokuwa na guts za kusimamia kweli wamenyamazishwa au wamejiondokea. Sasa hivi waongeaji wakubwa ni waliokuja juzi juzi tu na hawakupitia katika tanuri la moto walilopitia hao wanao simangwa. Chadema ya sasa imekuwa kama cult ambayo Dear Leaders wake hawakosei. Hawana tofauti na wapinzani wao.
-The funniest part of this whole saga ni kwamba wanaolilia uongozi uwekwe kando ili uchunguzi ufanyike ni CCM pamoja na members wa CHADEMA ambao mienendo yao inatiliwa shaka ndani ya chama so by reading between the lines you can figure out where 'this whole shit' comes from.
Ni kitu gani cha kushangaza kuwa CCM haki kitakii mema Chadema? Shida ni pale Chama cha Demokrasia na Maendeleo kinapoona kila anaekikosoa kuwa ni msaliti anayetumiwa na mpinzani wake Mkuu. Tabia kama hiyo ya ubabe ni sawa kabisa na ya chama tawala. Ndio maana ninaamini uongozi huu wa Chadema ukishika dola hautatofautiana na jinsi CCM inavyoendesha nchi.
NB: Stop exposing your hypocrisy and let them be kwani chama ni chao na malengo, mikakati, direction na goals wamejipangia wenyewe.
Yale yale. Hypocrites ni nyie ambao mnalia sasa baada ya mbinu zile zile mlizozitumia dhidi ya uongozi wenu uliopita zinapotumika dhidi yenu. Obfuscation haitawafikisha mbali. Hii ilikuwa ni nafasi ya kujitofautisha na vyama vingine kama mlivyofanya katika uchaguzi Mkuu. Ni nafasi ya kumsafisha Heche mbele ya kadamnasi. Tamko la mtu ambae anakiri kuwa ni rafiki yake sio uthibitisho. Uchunguzi ufanyike ili ukweli ujulikane na chama kiweke guard rails ambazo zitazuia tuhuma kama hizi kuibuka tena. Tuhuma kuwa suala hili lilijadiliwa katika kikao cha Kamati Kuu nazo zijibiwe. Matusi sio jawabu.

Amandla...
 
Kuna mtu unamuheshimu sana
Unajua ni Mjenga hoja na Msomi mzuri.

Ghafla unakuta ameanza kuandika upumbavu kama Pascal Mayala.

Nadhani tungejikita Kwenye Agenda nzito za nchi kuliko cheep propaganda,

1. Watanzania wanakamatwa kila kona ya nchi CCM na selikali yake wanasema ni Ugaidi wewe unaamini.

2. Watu wanataka maandamano ambayo ni haki ya kikatiba CCM wanasema waandamanaji wamepanga kukata watu vichwa wewe unaamini.

3. Lissu amepewa kesi ya uhaini na ugaidi wewe kwa akili zako hizo mgando unaamini.

4 Samia alisema walioandamana Octoba 29 sio Raia wa Tanzania.
Wewe unaamini.

5. CCM na selikali wamepigwa kwenye mikutano ya CHADEMA wewe ulivyokuwa mpumbavu unaamini

Sina muda wa kuandika lakini.

AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO.
PUMBAVU.
 
Ok, let's take it slow - 2 questions

1. Unaweza kunipa Ushahidi unaodhihirisha CCM ndio chanzo cha tuhuma hizi?
2. Lema, Sugu na Boniface ni CCM au kuna mtu kawatuma?
  • Mtu huyo nani?
  • Kwa nini hawajahojiwa?
Tupe ushahidi wako kwanza kwenye hizi tuhuma zako no 2, usiseme 'umesikia'
 
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b
This is another nonsense. Kamchunguze wewe kama inakuuma sana.
 
Back
Top Bottom