sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Kinachotokeaga ni kwamba mchungaji anaejinadi anaweza kufufua mtu huwa ni filamu inachezwa mbele ya watu weye imani kubwa kuzidi akili, kila kitu kimepangiliwa na wahusika wanapewa script.
Wenye imani na hisia kubwa kuzidi akili hasa wanawake ndio huwa wanachotwa akili hapa na ndio maana makanisa haya 95% huwa ni wanawake.
Kwanini hata watu wao wa karibu wanaofariki bila script wanashindwa kuwafufua,
Wenye imani na hisia kubwa kuzidi akili hasa wanawake ndio huwa wanachotwa akili hapa na ndio maana makanisa haya 95% huwa ni wanawake.
Kwanini hata watu wao wa karibu wanaofariki bila script wanashindwa kuwafufua,