Tunakwama wapi umewahi kujiuliza Kwanini top 10 ya matajiri wa dunia wengi wao wanabackground ya programming

KENGE 01

JF-Expert Member
Mar 12, 2021
1,592
3,839
Na kenge,

Umewahi kujiuliza au kusikia kwanini watu wanaotajwa kuwa ni matajiri duniani asilimia kubwa wanabackground ya mambo ya programming(kugonga code)??

Programming ni ujuzi wa kutengeneza vitu vya kidigitali kama Kurasa za kuoeruzi(Website&blog) App(kama Facebook,IG,X,Mange App),Software kama(Adobe,MO, n.k)

Hawa ni baadhi ya mabillionea wa dunia wenye background ya programming:

1.Elon Musk:
Huyu ndio anatikisa dunia kwasasa wengi wamemfahamu baada ya propaganda za Twitter lakini huyu mzee.Akiwa na miaka 12 alibuni game(Video game) kuanzia mwanzo na safari yake haikuishia hapo ameendelea kufanya mambo mengi kwenye uwanja wa TECH mpaka kuwa Tajiri wa dunia

2.Bill Gates:
Huyu hata watoto wa chekechea wanamfahamu.Historia yake hakuna asiyeijua.Alitengeneza Operating system(mfumo endeshi) wa kompyuta miaka ya 90 akaingiza pesa mpaka leo amejikita kwenye TECH

3.Jeff Bezos:
Huyu aliacha kazi.Akatengeneza website ya kuuza vitabu.1995 aliuza kitabu cha kwanza kupitia website yake aliyoioa jina la Amazon.Wazo likamjia kwanini isiwe "Online store" ya vitu vyote?Akaongeza baadhi ya vitu website ya Amazon imeingiza pesa nyingi zaidi 2019 wakati wa janga la Covid mpaka kupelekea kushika namba moja ya kiumbe tajiri duniani.Watu wamezusha yeye ndio alietengeneza kirusi cha Covid-19 lakini ni maneno ya vijiweni na watu wenye IQ ndogo,wenye husda na vijicho.

4.Mark Zuckerberg:
CEO wa META kampuni inayomiliki mitandao ya kijamii.Mwaka 2006 alijitengenezea App yake ya Facebook.kwasasa ukiita mabillionea 5 lazima umtaje Zuck.

List ni ndefu mno kina Satoshi Nakamoto,Kuna Sergey Brin na mwenzie Lary Page wamiliki wa GOOGLE na wengine wengi

Kwenye top 10 ya billionea 6-7 wanajua programming ukitoa kina Buffet.Kinachofanya nilete uzi huu ni hasira.Napata hasira sana kuanzia vyuo vyetu vya Computer science,IT na the like.Hizi kozi kwenye programming wanapita juujuu tu unakuta unataka kushirikiana na mtu wa IT ila unakuta ni mweupe.Hata wewe self-taught unamzidi mbali.


Programming ni moja ya elimu/ujuzi mzuri sana ambao ukiwa nao kwa karne hii ya Utandawazi hakika uwezi kulala njaa.kwa nchi za Africa tuko nyuma mnoo kwenye nyanja hii

Tatizo kubwa linalopelekea sisi kuzidi kubaki nyuma ni BACKGROUND zetu.Unakuta nchi inaaminisha kilimo au madini.yani background yetu inatufanya tuamini ukifanya kilimo utatoboa,au ukifanya hiki utatoboa na hao wazungu,wachina Background yao inawaaminisha kwenye TECHNOLOGY yani piga ua mtoto anaaminishwa kujua mambo ya Tech.

Kwa namna yoyote hii industty kwa nchi yetu bado inahitajika sana.Wajinga bado ni wengi.Just imagine kwanini nasema ni BACKGROUND na EXtPOSURE ndo zinatufelisha??Kale kamdada kule IG Mange kimambi alianza mambo ya umbea kitambo sana miaka ya 2015 uko lakini naona ni uswahili ndio ulikia unamsumbua kwasababu mswahili na umbea ni pete na kidole.Miaka imeenda kutokana na Exposure aliyoipata huko US akaona fursa kwenye TECH .Kwakuwa waswahili wanapenda umbea akaamua afungue App ya kuuza umbea.Juzi ameshare mapato ya App yameingiza zaidi ya Billion 2 .Hii inaonesha Fursa hazijaisha kama ukijua programming ukaweza kubuni kitu cha kufurahisha,Kutatua tatizo basi lazima upate tu pesa.Pia marehemu Le mutuz nae alianza harakati za "Blogger" alivyowasili tu TZ hii inaonesha BACKGROUND ya huko state zinamfungua mtu akili kuona fursa zilizopo kwenye TECH.

Nashangaa pia watu wanaowalalamikia IT wa bongo(nikiwepo na mimi kenge)japo hao matajiri wa dunia wanabackground ya programming lakini pia wengi wao hawakwenda chuo kusomea labda IT wala CS ama CE.Wengi ni Self-taught tu.Hata wewe na mimi tukiamua kujitengea muda tukatafuta stadi hizi za kidigitali tunaweza.

Watu kama kina Maxmelo Co-founder wa JF, ni mfano mzuri wa self-motivated programmer..Lakini katika majukwaa ya hapa JF ambayo yanaongoza kwa "kudolola" basi la kwanza na ili la TECH why? Miaka ya nyuma angalau kidogo kulikua na yule mwanamama anaitwa Mama D(sikumbuki vizuri) na wachache walitisha sana jukwaa hili kwenye upande wa code na Tech kwa ujumla.

Bado tumelala sanabkwenye hii industry Africa nzima labda hao wanaija wanaokomaa na kutengeneza VPN na sisi wabongo tunatengeneza mafaili na proxy na hapo mtu anajiona IT master.Aisee tunakwama sana

Shida nini ndugu zangu??Tufanyaje kama wanajamvi na Taifa kwa ujumla kuzalisha wabunifu mbalimbali kwenye Programming??
.

Nawasilisha
 
Hatari programming inaihaji muda weww huwezi ndani ya two years ya diploma nta level 5 &6 usome lugha nne bado kunalikizo na mambo mengine chamsingi mwenye focus tu ajitafutie

Anyway nilitengeneza project flani ni nzuri kwa wanaoanza kujifunza PHP

Yani ukitaka ujue programming basi anza na web development hapo ukimaliza font na back ukija mwingine unatoboa

Wasichojua ni kuwa lugha zinategemeana so learn hii kwanza baadae soma ile finally soma hii ishia kati kama inahitaji lugha nyinginge kaisome kwanza rudi umalizie

Hakuna maajabu ya usiku mmoja na chuo huwezi kuwa programmer
 
Na wote wametoboa wakiwa America specifically Sillicon valley.

Hujawahi jiuliza kwann elon musk na mamaake walikimbia south Africa wakatimkia America?.

Utakuwaje tajiri wa billions of dollar kupitia programming in Africa tena Tz kwa taifa linaloongozwa kwa siasa chafu za CCM 🤮🤮🤮🤮.

hivi unajua marekani na western Countries wanatenga shs ngapi kwa ajili ya budget za ku fund technological start ups na research?

Bongo wanatenga shs ngapi?.

Zaidi ya foreigners tu kuja kui invedt huku kwa baadhi ya start ups?

And by the way kufikia utajiri kama wao inabidi uwe na kitu cha ku impact the whole world if not 70% and above.

Sema bongo programmers kadhaa ni millionaires sema ndo hivyo hawasikiki sana na wana hela kweli in just there 20's ila mpaka umjue / uwajue inabidi uwe kwenye mtandao wao au mtu wa karibu au kwenye field yenyewe.

Sema being a billionaire in terms of dollars from tanzania through programming it ain't a joke 😶😶😶🫡🫡🫡

TIME WILL TELL
 
Uzi mtamu sana huu. Suluhisho ni programming kufundishwa kuanzia shule ya msingi. Programming inahitaji akili ya utulivu sana. Sisi tunaanza kuandika codes tukiwa na miaka 20+ matokeo yake tunalipua tu ili kupata degree. Hao uliowataja wote walianza kuchapa code wakiwa na umri chini ya miaka 18. Wakiwa utotoni tayari walishakuwa moto wa kuotea mbali. Sisi huku code unaanza kuichapa tayari kichwa kishavurugwa.
 
Na kenge,

Umewahi kujiuliza au kusikia kwanini watu wanaotajwa kuwa ni matajiri duniani asilimia kubwa wanabackground ya mambo ya programming(kugonga code)??

Programming ni ujuzi wa kutengeneza vitu vya kidigitali kama Kurasa za kuoeruzi(Website&blog) App(kama Facebook,IG,X,Mange App),Software kama(Adobe,MO, n.k)

Hawa ni baadhi ya mabillionea wa dunia wenye background ya programming:

1.Elon Musk:
Huyu ndio anatikisa dunia kwasasa wengi wamemfahamu baada ya propaganda za Twitter lakini huyu mzee.Akiwa na miaka 12 alibuni game(Video game) kuanzia mwanzo na safari yake haikuishia hapo ameendelea kufanya mambo mengi kwenye uwanja wa TECH mpaka kuwa Tajiri wa dunia

2.Bill Gates:
Huyu hata watoto wa chekechea wanamfahamu.Historia yake hakuna asiyeijua.Alitengeneza Operating system(mfumo endeshi) wa kompyuta miaka ya 90 akaingiza pesa mpaka leo amejikita kwenye TECH

3.Jeff Bezos:
Huyu aliacha kazi.Akatengeneza website ya kuuza vitabu.1995 aliuza kitabu cha kwanza kupitia website yake aliyoioa jina la Amazon.Wazo likamjia kwanini isiwe "Online store" ya vitu vyote?Akaongeza baadhi ya vitu website ya Amazon imeingiza pesa nyingi zaidi 2019 wakati wa janga la Covid mpaka kupelekea kushika namba moja ya kiumbe tajiri duniani.Watu wamezusha yeye ndio alietengeneza kirusi cha Covid-19 lakini ni maneno ya vijiweni na watu wenye IQ ndogo,wenye husda na vijicho.

4.Mark Zuckerberg:
CEO wa META kampuni inayomiliki mitandao ya kijamii.Mwaka 2006 alijitengenezea App yake ya Facebook.kwasasa ukiita mabillionea 5 lazima umtaje Zuck.

List ni ndefu mno kina Satoshi Nakamoto,Kuna Sergey Brin na mwenzie Lary Page wamiliki wa GOOGLE na wengine wengi

Kwenye top 10 ya billionea 6-7 wanajua programming ukitoa kina Buffet.Kinachofanya nilete uzi huu ni hasira.Napata hasira sana kuanzia vyuo vyetu vya Computer science,IT na the like.Hizi kozi kwenye programming wanapita juujuu tu unakuta unataka kushirikiana na mtu wa IT ila unakuta ni mweupe.Hata wewe self-taught unamzidi mbali.


Programming ni moja ya elimu/ujuzi mzuri sana ambao ukiwa nao kwa karne hii ya Utandawazi hakika uwezi kulala njaa.kwa nchi za Africa tuko nyuma mnoo kwenye nyanja hii

Tatizo kubwa linalopelekea sisi kuzidi kubaki nyuma ni BACKGROUND zetu.Unakuta nchi inaaminisha kilimo au madini.yani background yetu inatufanya tuamini ukifanya kilimo utatoboa,au ukifanya hiki utatoboa na hao wazungu,wachina Background yao inawaaminisha kwenye TECHNOLOGY yani piga ua mtoto anaaminishwa kujua mambo ya Tech.

Kwa namna yoyote hii industty kwa nchi yetu bado inahitajika sana.Wajinga bado ni wengi.Just imagine kwanini nasema ni BACKGROUND na EXtPOSURE ndo zinatufelisha??Kale kamdada kule IG Mange kimambi alianza mambo ya umbea kitambo sana miaka ya 2015 uko lakini naona ni uswahili ndio ulikia unamsumbua kwasababu mswahili na umbea ni pete na kidole.Miaka imeenda kutokana na Exposure aliyoipata huko US akaona fursa kwenye TECH .Kwakuwa waswahili wanapenda umbea akaamua afungue App ya kuuza umbea.Juzi ameshare mapato ya App yameingiza zaidi ya Billion 2 .Hii inaonesha Fursa hazijaisha kama ukijua programming ukaweza kubuni kitu cha kufurahisha,Kutatua tatizo basi lazima upate tu pesa.Pia marehemu Le mutuz nae alianza harakati za "Blogger" alivyowasili tu TZ hii inaonesha BACKGROUND ya huko state zinamfungua mtu akili kuona fursa zilizopo kwenye TECH.

Nashangaa pia watu wanaowalalamikia IT wa bongo(nikiwepo na mimi kenge)japo hao matajiri wa dunia wanabackground ya programming lakini pia wengi wao hawakwenda chuo kusomea labda IT wala CS ama CE.Wengi ni Self-taught tu.Hata wewe na mimi tukiamua kujitengea muda tukatafuta stadi hizi za kidigitali tunaweza.

Watu kama kina Maxmelo Co-founder wa JF, ni mfano mzuri wa self-motivated programmer..Lakini katika majukwaa ya hapa JF ambayo yanaongoza kwa "kudolola" basi la kwanza na ili la TECH why? Miaka ya nyuma angalau kidogo kulikua na yule mwanamama anaitwa Mama D(sikumbuki vizuri) na wachache walitisha sana jukwaa hili kwenye upande wa code na Tech kwa ujumla.

Bado tumelala sanabkwenye hii industry Africa nzima labda hao wanaija wanaokomaa na kutengeneza VPN na sisi wabongo tunatengeneza mafaili na proxy na hapo mtu anajiona IT master.Aisee tunakwama sana

Shida nini ndugu zangu??Tufanyaje kama wanajamvi na Taifa kwa ujumla kuzalisha wabunifu mbalimbali kwenye Programming??
.

Nawasilisha
Hao ni matajiri kasuku.....Kuna watu wana mizigo....lakini kamwe hutawasikia wala kuwajua.....
 
Na wote wametoboa wakiwa America specifically Sillicon valley.

Hujawahi jiuliza kwann elon musk na mamaake walikimbia south Africa wakatimkia America?.

Utakuwaje tajiri wa billions of dollar kupitia programming in Africa tena Tz kwa taifa linaloongozwa kwa siasa chafu za CCM 🤮🤮🤮🤮.

hivi unajua marekani na western Countries wanatenga shs ngapi kwa ajili ya budget za ku fund technological start ups na research?

Bongo wanatenga shs ngapi?.

Zaidi ya foreigners tu kuja kui invedt huku kwa baadhi ya start ups?

And by the way kufikia utajiri kama wao inabidi uwe na kitu cha ku impact the whole world if not 70% and above.

Sema bongo programmers kadhaa ni millionaires sema ndo hivyo hawasikiki sana na wana hela kweli in just there 20's ila mpaka umjue / uwajue inabidi uwe kwenye mtandao wao au mtu wa karibu au kwenye field yenyewe.

Sema being a billionaire in terms of dollars from tanzania through programming it ain't a joke 😶😶😶🫡🫡🫡

TIME WILL TELL
Lakini pia kuwa millionaire au billionaire inahitaji sana akili ya ujasiriamali na sio uwezo wa kuchapa to codes. Hao mabilionea kwenye list walikuwa vipanga huku wakiwa na uwezo wa kutumia vipaji vyao kupiga hela. Hapa kwetu tangu mtoto akiwa tumboni kwa mama huambiwa uje ukazane na masomo upate ajira yenye marupurupu. Kuna mtu nilisoma nae sekondari alikuwa na akili ambazo mimi zilikuwa zinanishangaza. Kuanzia o - level hadi UDSM ni mwendo wa A tupu huku akiwa hatumii nguvu nyingi. Kasoma Computer engineering. Kwa uwezo wake jamaa angeweza kufanya makubwa angesimama mwenyewe ila baada ya UDSM kaajiriwa kwenye kampuni ya hapahapa Tanzania na analipwa kawaida tu. Huo ni mfano mmoja nimetoa ila watu wa hivyo wapo wengi tu.
 
MTAZAMO...

Kuna kitu ambacho nimejifunza kwa nchi zilizoendelea ukiona nchi ina maendeleo maana yake kwa ninavyo jua mimi ni kwamba kwenye hiyo nchi kuna baadhi ya mawazo ya biashara Yamefungwa....


Kwaana ya kwamba kuna fursa ambazo azifanyi kazi Tena tafakali namna utakavyo tafakari katika hiyo biashara huwezi kuona tundu kwa maana wapo wanao fanya iko kitu Tena kwa ustadi mkubwa mno au kwasababu tofauti na iyo....


Mfano Africa kusini Leo ukifika pale kuna biashara za uku bongo wenyewe tunajiita wajasiliamali wa dogo kwa pale huwezi kufanya na kama utafanya basi litakukuta jambo... Ni kutokana na maendeleo au hatua walivyo sogea zaidi..


Sasa point yangu ya msingi kwenye hili kuna baadhi ya michongo kwa hapa kwetu hatuwezi kwasababu ayo mazingila kwenye iko kipengere hayakuandaliwa au hakuna mifumo ambayo tutaweza kupata watu wa namna hiyo kwa Sasa na Hata kama tukiwa pata izo mishe kwa ubongoni kwa wakati huu ni ngumu Sana kufanya kutokana na sababu mbali mbali angalia kitu kama NALA kwa hapa bongo hali yake ikoje na ni kitu cha ndg yetu lakini amepata ugumu kwa hapa nyumbani tofauti na uko alipo Sasa...


Tuna mengi ambayo tunapaswa Kuyafanya kabla atujaanza kulaumu serikali me naweza kusema kwamba nchi yetu Ina fursa nyingi Sana za kufanya kama tuy tuta angalia masoko ya ndani na tukaacha kuangalia wazungu katika mtazamo wa namna wanavyo fanya biashara zao au Amna ya walivyo fanikiwa katika biashara zao ni vizuri kujifunza lakini pia Ni vizuri kujitambua kuwa wapi ulipo na nini unapaswa kukishikilia zaidi kwa wakati huo kuna baadhi ya mawazo ya biashara ukiyatoa nje kwa hapa nyumbani utaambulia sifa tuuy watu watasema "kitu alichoanzisha ni kizuri mno" lakini kwenye faida ni siri yako hivyo ushauri wangu tukimbilie zaidi ikikilichopo mkononi ili kufikia kule walipo maana itafika siku Hata kunua tumbaku tabora Utashindwa kwa mifumo itakayo Kuja mbeleni kwaiyo kila mmoja apige kazi ajitume zaidi katika halakati za kujitoa kwenye umasikini kwanza alafu tutapeleka vijana wakasome uko ili waje wakina elon wa miaka ijayo.....


Kwasasa hatuna uwo muda wa kuanza kujitoa ufahamu bado bado... Bdao Sana


Wako mtiifu Nawasilisha.
Nimekuelewa sana point ni zilezile
 
Ukikuwa utagundua hujui mambo mengi sana..

Programming na coding hazina uhusiano wowote na utajiri.

BTW Musk, and Bill gates didn't invent anything....
Background na ujanja ujanja zimewabeba.....( I can't teach you everything)
Ujanja ujanja ndio maisha yenyewe

Unataka kusema Elon na Gates hawana background ya prog??
 
Lakini pia kuwa millionaire au billionaire inahitaji sana akili ya ujasiriamali na sio uwezo wa kuchapa to codes. Hao mabilionea kwenye list walikuwa vipanga huku wakiwa na uwezo wa kutumia vipaji vyao kupiga hela. Hapa kwetu tangu mtoto akiwa tumboni kwa mama huambiwa uje ukazane na masomo upate ajira yenye marupurupu. Kuna mtu nilisoma nae sekondari alikuwa na akili ambazo mimi zilikuwa zinanishangaza. Kuanzia o - level hadi UDSM ni mwendo wa A tupu huku akiwa hatumii nguvu nyingi. Kasoma Computer engineering. Kwa uwezo wake jamaa angeweza kufanya makubwa angesimama mwenyewe ila baada ya UDSM kaajiriwa kwenye kampuni ya hapahapa Tanzania na analipwa kawaida tu. Huo ni mfano mmoja nimetoa ila watu wa hivyo wapo wengi tu.
Huyu sasa unakuta kasoma iyo kozi kwasababu ya Marupurupu na mkwanja lakini hana nia ya kujiendeleza unakuta hana passion kabisa na kazi yake
 
MTAZAMO...

Kuna kitu ambacho nimejifunza kwa nchi zilizoendelea ukiona nchi ina maendeleo maana yake kwa ninavyo jua mimi ni kwamba kwenye hiyo nchi kuna baadhi ya mawazo ya biashara Yamefungwa....


Kwaana ya kwamba kuna fursa ambazo azifanyi kazi Tena tafakali namna utakavyo tafakari katika hiyo biashara huwezi kuona tundu kwa maana wapo wanao fanya iko kitu Tena kwa ustadi mkubwa mno au kwasababu tofauti na iyo....


Mfano Africa kusini Leo ukifika pale kuna biashara za uku bongo wenyewe tunajiita wajasiliamali wa dogo kwa pale huwezi kufanya na kama utafanya basi litakukuta jambo... Ni kutokana na maendeleo au hatua walivyo sogea zaidi..


Sasa point yangu ya msingi kwenye hili kuna baadhi ya michongo kwa hapa kwetu hatuwezi kwasababu ayo mazingila kwenye iko kipengere hayakuandaliwa au hakuna mifumo ambayo tutaweza kupata watu wa namna hiyo kwa Sasa na Hata kama tukiwa pata izo mishe kwa ubongoni kwa wakati huu ni ngumu Sana kufanya kutokana na sababu mbali mbali angalia kitu kama NALA kwa hapa bongo hali yake ikoje na ni kitu cha ndg yetu lakini amepata ugumu kwa hapa nyumbani tofauti na uko alipo Sasa...


Tuna mengi ambayo tunapaswa Kuyafanya kabla atujaanza kulaumu serikali me naweza kusema kwamba nchi yetu Ina fursa nyingi Sana za kufanya kama tuy tuta angalia masoko ya ndani na tukaacha kuangalia wazungu katika mtazamo wa namna wanavyo fanya biashara zao au Amna ya walivyo fanikiwa katika biashara zao ni vizuri kujifunza lakini pia Ni vizuri kujitambua kuwa wapi ulipo na nini unapaswa kukishikilia zaidi kwa wakati huo kuna baadhi ya mawazo ya biashara ukiyatoa nje kwa hapa nyumbani utaambulia sifa tuuy watu watasema "kitu alichoanzisha ni kizuri mno" lakini kwenye faida ni siri yako hivyo ushauri wangu tukimbilie zaidi ikikilichopo mkononi ili kufikia kule walipo maana itafika siku Hata kunua tumbaku tabora Utashindwa kwa mifumo itakayo Kuja mbeleni kwaiyo kila mmoja apige kazi ajitume zaidi katika halakati za kujitoa kwenye umasikini kwanza alafu tutapeleka vijana wakasome uko ili waje wakina elon wa miaka ijayo.....


Kwasasa hatuna uwo muda wa kuanza kujitoa ufahamu bado bado... Bdao Sana


Wako mtiifu Nawasilisha.
Hakika Hakika mkuu
Lakini kuangalia hao wazungu haikwepeki wao ndo wataalamu wa hizi kazi lazima tufate nyayo zao
 
Back
Top Bottom