UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,157
- 10,718
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.
Kama kuna jambo kwenye karne hii ya 21 linalowafanya Waafrika wafedheheke huko ulimwenguni basi ni haya mambo ya dini.Dini siyo tatizo ila tatizo ni Dini!.
Narudia tena " DINI SIYO TATIZO ILA TATIZO NI DINI"
Yawezekana members wenye akili nusu wakadhani uenda nimekosea kuandika ila sijakosea hata kidogo,uenda nirudie tena ili nieleweke vizuri,nimesema hivi "DINI SIYO TATIZO ILA TATIZO NI DINI"
Ukiangalia hiyo sentensi hapo juu ina ukubali na kanusho kwa pamoja!
Kabla sijaendelea kuandika labda tu niwakumbushe ya kwamba "HAKUNA MWANADAMU ALIYEKO CHINI YA JUA AMBAYE HANA DHAMBI"
Haya mambo mawili ndiyo yamefanya wafuasi wa dini wamekuwa kama matahira!.
Baada ya shirika la Utangazaji la Uingereza kuchapisha habari za mambo ya ovyo yaliyofanywa na jamaa mmoja aliyekuwa mtafuta pesa kutoka kwa wapumbavu wenzie aitwaye TEMITOPE BALOGUN JOSHUA Almaarufu kama TB Joshua,Limezuka kundi kubwa la jamii kutoka Afrika ambao wameenda mbali na kuwashambulia BBC kana kwamba wamekosea!.
Maswali yangu!
1.Je,umewahi kufanya utafiti wako wewe mwenyewe kumhusu TB Joshua na huduma anayotoa kuwa sahihi?,Kama sivyo kwanini ubishie evidence ambazo zimewekwa wazi na BBC.
2.Je,yale yote yalisomemwa na BBC unadhani ikawa Uongo,kwanini usitoe wewe ushahidi wako ambao utakuwa unamtetea Baba wako mtakatifu Joshua?
3.Je,ni kitu gani ambacho kinakuaminisha TB Joshua alikuwa mtumishi wa Mungu?,Kwanini usiweke wazi?
Hapa Tanzania hao wapuuzi ambao wanafanya mambo makubwa kama huyo TB Joshua wapo kibwena kila mahali!.Kitu kibaya zaidi wafuasi wa hao watu huwa wanawaamini sana kiasi kwamba hawajengi imani yao kwa Kristo bali kwa hao Watu kiasi kwamba wako radhi kuutetea uovu wa huyo mtumishi wao kwa nguvu zote!.
Wanachoshindwa kutambua ni kwamba hata huyo kiongozi wao pia ni mdhambi na anahitaji damu ya Kristo kumsafisha ili atakasike!,Bado sijajua hao wafuasi wao wanapewa kitu gani kiasi kwamba hadi wawe wakali wanapoguswa hao viongozi wao!.
Gwajima inasemekana amewahi kufufua mfu!
Kiukweli baada ya kusikia hii simulizi ya Gwajiboy Kufufua mfu nilibaki kuwasikitikia hao wafuasi wake kwasababu zifuatazo:-
1.Huyo Gwajima makaburi ya wazazi wake yapo kama yalivyo na hajawahi kuwafufua,Unadhani yeye hawapendi wazazi wake?,Kwanini asiwafufue kama anao huo uwezo?
2.Wafuasi wake pia wanayo makaburi ya wazazi wao waliokufa miaka mingi,kama anaouwezo wa kufufua wafu kwanini wafuasi wasifufuliwe wapendwa wao?,Nani asiyetaka kuwa na mpendwa wake aliyekufa?
Kwa bahati mbaya sana hao wafuasi huwa hawajiulizi haya maswali wanao wanaochoangalia ni ujinga tu!.
Huyo Gwajima aliposti clip akifanya ngono hadharani na mwanamke lakini kwasababu alifahamu wafuasi wake ni makondoo aliwadanganya siyo yeye na kusema yule alikuwa Baunsa,na ajabu ni kwamba wafuasi wake wakashangilia na kupiga makofi huku wakimpamba kwa Vigelegele!.
Baadhi ya waafrika wamefanya bara zima la Afrika (Hasa Ngozi Nyeusi) kuonekana kichwani haziko timilifu!.
Kama kuna jambo kwenye karne hii ya 21 linalowafanya Waafrika wafedheheke huko ulimwenguni basi ni haya mambo ya dini.Dini siyo tatizo ila tatizo ni Dini!.
Narudia tena " DINI SIYO TATIZO ILA TATIZO NI DINI"
Yawezekana members wenye akili nusu wakadhani uenda nimekosea kuandika ila sijakosea hata kidogo,uenda nirudie tena ili nieleweke vizuri,nimesema hivi "DINI SIYO TATIZO ILA TATIZO NI DINI"
Ukiangalia hiyo sentensi hapo juu ina ukubali na kanusho kwa pamoja!
Kabla sijaendelea kuandika labda tu niwakumbushe ya kwamba "HAKUNA MWANADAMU ALIYEKO CHINI YA JUA AMBAYE HANA DHAMBI"
Haya mambo mawili ndiyo yamefanya wafuasi wa dini wamekuwa kama matahira!.
Baada ya shirika la Utangazaji la Uingereza kuchapisha habari za mambo ya ovyo yaliyofanywa na jamaa mmoja aliyekuwa mtafuta pesa kutoka kwa wapumbavu wenzie aitwaye TEMITOPE BALOGUN JOSHUA Almaarufu kama TB Joshua,Limezuka kundi kubwa la jamii kutoka Afrika ambao wameenda mbali na kuwashambulia BBC kana kwamba wamekosea!.
Maswali yangu!
1.Je,umewahi kufanya utafiti wako wewe mwenyewe kumhusu TB Joshua na huduma anayotoa kuwa sahihi?,Kama sivyo kwanini ubishie evidence ambazo zimewekwa wazi na BBC.
2.Je,yale yote yalisomemwa na BBC unadhani ikawa Uongo,kwanini usitoe wewe ushahidi wako ambao utakuwa unamtetea Baba wako mtakatifu Joshua?
3.Je,ni kitu gani ambacho kinakuaminisha TB Joshua alikuwa mtumishi wa Mungu?,Kwanini usiweke wazi?
Hapa Tanzania hao wapuuzi ambao wanafanya mambo makubwa kama huyo TB Joshua wapo kibwena kila mahali!.Kitu kibaya zaidi wafuasi wa hao watu huwa wanawaamini sana kiasi kwamba hawajengi imani yao kwa Kristo bali kwa hao Watu kiasi kwamba wako radhi kuutetea uovu wa huyo mtumishi wao kwa nguvu zote!.
Wanachoshindwa kutambua ni kwamba hata huyo kiongozi wao pia ni mdhambi na anahitaji damu ya Kristo kumsafisha ili atakasike!,Bado sijajua hao wafuasi wao wanapewa kitu gani kiasi kwamba hadi wawe wakali wanapoguswa hao viongozi wao!.
Gwajima inasemekana amewahi kufufua mfu!
Kiukweli baada ya kusikia hii simulizi ya Gwajiboy Kufufua mfu nilibaki kuwasikitikia hao wafuasi wake kwasababu zifuatazo:-
1.Huyo Gwajima makaburi ya wazazi wake yapo kama yalivyo na hajawahi kuwafufua,Unadhani yeye hawapendi wazazi wake?,Kwanini asiwafufue kama anao huo uwezo?
2.Wafuasi wake pia wanayo makaburi ya wazazi wao waliokufa miaka mingi,kama anaouwezo wa kufufua wafu kwanini wafuasi wasifufuliwe wapendwa wao?,Nani asiyetaka kuwa na mpendwa wake aliyekufa?
Kwa bahati mbaya sana hao wafuasi huwa hawajiulizi haya maswali wanao wanaochoangalia ni ujinga tu!.
Huyo Gwajima aliposti clip akifanya ngono hadharani na mwanamke lakini kwasababu alifahamu wafuasi wake ni makondoo aliwadanganya siyo yeye na kusema yule alikuwa Baunsa,na ajabu ni kwamba wafuasi wake wakashangilia na kupiga makofi huku wakimpamba kwa Vigelegele!.
Baadhi ya waafrika wamefanya bara zima la Afrika (Hasa Ngozi Nyeusi) kuonekana kichwani haziko timilifu!.