Kwahiyo hapa RC Chalamila alihalalisha watu kuua tena, aagiza Polisi wafanye hilo waziwazi

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,513
8,408

“Ukikuta kijana ameingia ndani kwa kuvunja dirisha ujue kuna mambo mawili ameyadhamiria. Jambo la kwanza amedhamiria kuiba na jambo la pili amedhamiria kuua na jambo la tatu amekubali kuuawa. Naomba nisisitize, jambo la tatu amekubali kuuawa, naomba nirudie, jambo la tatu amekubali kuuawa.

“Sioni faida ya kumpa nafasi mtu anayebomoa mlango, anaingia ndani kuiba kitu hata kama ameiba chumvi. Uingiaji wake amekubali mambo matatu, kakubali kuiba, kuua na kuuawa. Na kama amekubali kuuawa mnasubiri nini? Kama amekubali kuuawa mnasubiri nini? Mambo mengine sipendi turembe na wala hatupo katika dunia ya kuremba.

Kama amekubali kuingia kuuawa mnasubiri nini kupitisha maombi yake? Mnasubiri nini? Askari anayemuwakilisha OCD njoo nikupe maelezo matamu, huko jela tumechoka watu wengi huko.

“Kuanzia leo panga vikosi kazi vifanye operesheni ya kufa mtu kutimiza maombi ya vibaka, ameomba mambo matatu; amekubali kuiba, amekubali kuua na amekubali kuuawa, pitisha ombi la tatu!

“Haya siyo yangu Mkuu wa Mkoa, haya ni anayeiba, amekubali kuingia kwenye nyumba ya mtu bila kujua huyo mtu ana mali gani ndani. Mimi juzi nipo pale Iringa naona kuna kijitu kinabomoa nyumba ili kiingie kwangu. Nilimjibu kwa kumpa ombi aliloliomba! Nilimwambia hunijui na umeingia kwenye nyumba yangu bila kujua nina mali gani.

Nilipiga shoo tu ya dakika hizi (2), kilichotokea hakuwa mtu tena, na nikabaki kwa kufaraha nikanywa na bia moja.”


Chalamila aliyasema hayo wakati akiwa Mkuu wa Mkoa Mbeya katika ziara yake Mbalizi Road alipowenda kuzungumza na wananchi pamoja na kusikiliza kero zao tarehe 28.08.2019.
 
Misleading Thread. Inapaka matope Nchi yetu.

Toka lini Tanzania ilihalalisha mauaji ya aina yeyote ile?
 
Hapana, hiyo haijakaa sawa.
Ni hatari na makosa makubwa kuua mtuhumiwa.
Kwa hili huyo RC hastahili kuendelea kuwa mkuu wa mkoa.
 

“Ukikuta kijana ameingia ndani kwa kuvunja dirisha ujue kuna mambo mawili ameyadhamiria. Jambo la kwanza amedhamiria kuiba na jambo la pili amedhamiria kuua na jambo la tatu amekubali kuuawa. Naomba nisisitize, jambo la tatu amekubali kuuawa, naomba nirudie, jambo la tatu amekubali kuuawa.

“Sioni faida ya kumpa nafasi mtu anayebomoa mlango, anaingia ndani kuiba kitu hata kama ameiba chumvi. Uingiaji wake amekubali mambo matatu, kakubali kuiba, kuua na kuuawa. Na kama amekubali kuuawa mnasubiri nini? Kama amekubali kuuawa mnasubiri nini? Mambo mengine sipendi turembe na wala hatupo katika dunia ya kuremba.

Kama amekubali kuingia kuuawa mnasubiri nini kupitisha maombi yake? Mnasubiri nini? Askari anayemuwakilisha OCD njoo nikupe maelezo matamu, huko jela tumechoka watu wengi huko.

“Kuanzia leo panga vikosi kazi vifanye operesheni ya kufa mtu kutimiza maombi ya vibaka, ameomba mambo matatu; amekubali kuiba, amekubali kuua na amekubali kuuawa, pitisha ombi la tatu!

“Haya siyo yangu Mkuu wa Mkoa, haya ni anayeiba, amekubali kuingia kwenye nyumba ya mtu bila kujua huyo mtu ana mali gani ndani. Mimi juzi nipo pale Iringa naona kuna kijitu kinabomoa nyumba ili kiingie kwangu. Nilimjibu kwa kumpa ombi aliloliomba! Nilimwambia hunijui na umeingia kwenye nyumba yangu bila kujua nina mali gani.

Nilipiga shoo tu ya dakika hizi (2), kilichotokea hakuwa mtu tena, na nikabaki kwa kufaraha nikanywa na bia moja.”


Chalamila aliyasema hayo wakati akiwa Mkuu wa Mkoa Mbeya katika ziara yake Mbalizi Road alipowenda kuzungumza na wananchi pamoja na kusikiliza kero zao tarehe 28.08.2019.
Kijeshi yuko sahihi, kuhusu binadamu anayevamia himaya yako kwa mazingira ya kukuwahi wewe kabla hujachukua hatua.

Kupitia somo la self defence, hilo ni kama somo kwa pande zote mbili, kwa raia na kwa vibaka. Hivyo, kila upande kuchukua hatua.

Na zaidi, vibaka waache kuvamia himaya za raia kwa lengo la kuepusha hayo mambo yote yaliyotajwa hapo. Kwani kibaka ndiye mwamuzi.

Ndiyo maana Jenerali Ulimwengu hakuwahi kuchukuliwa hatua kwa kutekeleza hiki kilichosemwa na RC, yuko kwenye haki ya kujinusuru.

Ova
 
Kijeshi yuko sahihi, kuhusu binadamu anayevamia himaya yako kwa mazingira ya kukuwahi wewe kabla hujachukua hatua.

Kupitia somo la self defence, hilo ni kama somo kwa pande zote mbili, kwa raia na kwa vibaka. Hivyo, kila upande kuchukua hatua.

Na zaidi, vibaka waache kuvamia himaya za raia kwa lengo la kuepusha hayo mambo yote yaliyotajwa hapo. Kwani kibaka ndiye mwamuzi.

Ndiyo maana Jenerali Ulimwengu hakuwahi kuchukuliwa hatua kwa kutekeleza hiki kilichosemwa na RC, yuko kwenye haki ya kujinusuru.

Ova
Chalamila amekosea kwa 100%.
Hakuna mtu aliyepewa mamlaka ya kuua mtuhumiwa. Hata polisi hawana hayo mamlaka.
Suala la kujilinda dhidi ya adui anayetaka kukudhuru lina sheria yake, na sheria hiyo haimpi mamlaka mtu kumuua mtuhumiwa.
 
Hapo Dubai tu...pamechangamka lakini wameweza sana kudhibiti uharifu kwakweli...nimetembea Hadi saa 9 usiku bila bughdha wa mtu yeyote...!​
 
Chalamila amekosea kwa 100%.
Hakuna mtu aliyepewa mamlaka ya kuua mtuhumiwa. Hata polisi hawana hayo mamlaka.
Suala la kujilinda dhidi ya adui anayetaka kukudhuru lina sheria yake, na sheria hiyo haimpi mamlaka mtu kumuua mtuhumiwa.
Ndugu yangu, haki ya kujilinda ni moja ya haki unazozaliwa nazo na hakuna sheria kokote duniani ya kukunyang'anya hiyo haki.

Usidhani kuwa RC aliorodhesha hayo mambo mawili ya dhamira za vibaka kwa kukurupuka, akitaja; 1. Kuiba 2. Kukuua.

Yeyote mwenye dhamira ya kukuua anakupa haki ya kutumia kiasi chochote cha uwezo ulionao ili kujilinda. Kwa sababu ni Haki yako uliyozaliwa nayo.

Nenda kajielimishe kwanza kwa kusoma kifungu cha 18, 18A, 18B na 18C cha Kanuni ya Adhabu ya Makosa ya Jinai, sura ya 16 halafu urudi hapa.

Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom