Mungu akubariki na wewe BAK huu mwaka uwe wa baraka . Nimecheka hivi hujawahi omba pesa ya kununulia Bunsen burner kweli. Mimi nimepanga kuusherehekea hapa hapa home na familia yangu.
Kwani Makanisani hawaimbi nyimbo za kumtukuza Mungu? Mimi nimemjibu kutokana na jinsi alivyoniita sikuweka mimi hizo nyimbo unazo sema za mapepo au unafikiriaje wewe ? Mkuu BAK kani Tag na mimi nimemjibu unachotakiwa umuulize yey aliye weka usichonganishe mimi na aliye niumba Mungu anajuwa zaidi kuliko ujuavyo wewe.Usiniharibie Mwaka 2013 ninataka kuumaliza kwa amani na upendo ninataka kusherehekea mwaka mpya 2014 kwa amani na upendo Mkuu Jerrymsigwa usini hukumu wewe sio Mungu. Nina log off.Mkuu MziziMkavu hivi unapomtaja Mwenyez Mungu ukimix na hizi nyimbo za mapepo unamtendea haki kweli? Um not extremist in religion ila mambo ya kidunia ni heri yakawa ya kidunia bila kumhusisha Allah
Ushukuru ulikua na wazazi wapole ungempata mzee wangu ungesoma number chezea zee la kisukuma weye . Nakutakia kila la kheri na wewe . Hivi pacha wangu Fixed Point yu wapi wajameni kila nkimtafuta simuoni au ndo ashaanza sherehe za kufunga mwaka. Kuna sherehe nimesikia itaadhimishwa kesho ya kuikana empty wallet sijui umeisikia nina wasi wasi pacha huenda yuko huko.Hahahahaha lol!!!! na hizo nazo nilikuwa nishatafuna hahahahah. Haya kila la heri na baraka wewe na familia katika sherehe za kuuaga 2013 na kuukaribisha 2014.
Ushukuru ulikua na wazazi wapole ungempata mzee wangu ungesoma number chezea zee la kisukuma weye . Nakutakia kila la kheri na wewe . Hivi pacha wangu Fixed Point yu wapi wajameni kila nkimtafuta simuoni au ndo ashaanza sherehe za kufunga mwaka. Kuna sherehe nimesikia itaadhimishwa kesho ya kuikana empty wallet sijui umeisikia nina wasi wasi pacha huenda yuko huko.
Hahahahaha sasa umeisikia basi kuna sherehe ya kuaga empty wallet huko kitaa nafikiri wadaun wengi wa jeiefu watakua huko ikiwemo matumizi makubwa makubwa bila kufikiria mumivu.hahahahaha lol!!!! Wote wa pole na dingi akiwa mbwii ndio wakati mzuri wa kumpiga bomu. Pacha wako yupo ila yuko busy kusema kweli na hizi sikukuu ndio kabisaaaa, niliongea naye jana yuko bomba kabisa. Ngoja nikutafutie nimwambie unamtafuta. Kuhusu hiyo sherehe wala sijaisikia. Ahsate sana Ablessed.
Hahahahaha sasa umeisikia basi kuna sherehe ya kuaga empty wallet huko kitaa nafikiri wadaun wengi wa jeiefu watakua huko ikiwemo matumizi makubwa makubwa bila kufikiria mumivu.