aSANTE SANA mKUU BAK HONGERA KWA KUWEKA NYİMBO ZA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA NA KUUGA MWAKA 2013. mWENYEEZI MUNGU ATUJALIE HUO MWAKA MPYA UWE MZURI NA AMANI NA MAENDELEO YETU NINAWASALIMIA WANACHAMA WOTE NA JAMII FORUMS NA MA MODERATOR WOTE NAWAMBIE HAPPY NEW YEAR 2014. MUNGU AWABARIKI WOTE AMEEN.
ASANTE SANA MKUU BAK HONGERA KWA KUWEKA NYİMBO ZA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA NA KUUGA MWAKA 2013. mWENYEEZI MUNGU ATUJALIE HUO MWAKA MPYA UWE MZURI NA AMANI NA MAENDELEO YETU NINAWASALIMIA WANACHAMA WOTE NA JAMII FORUMS NA MA MODERATOR WOTE NAWAMBIE HAPPY NEW YEAR 2014. MUNGU AWABARIKI WOTE AMEEN.
Utoto raha banaaa asikwambie mtu, huwa tukakumbushana na siblings enzi za utoto huwa tunacheka sanaaa lol! Mie siku nyingine pocket money ya week yote nilikuwa nimeshatafuna. Ikifika Ijumaa dingi na maza walikuwa wanaweza kunisoma kwamba sina kitu basi wataniuliza vipi leo muziki wapi, basi najibu sina kitu leo basi mmoja ataingia ndani na kurudi na vijsenti vya kuweza kujirusha kwa raha zangu kuanzia Ijumaa hadi Jumapili. Sala muhimu kumshukuru Muumba wetu na kumuomba yaliyo mema na baraka katika mwaka a 2014. Kila la heri na Baraka.
Pika bajia na vitumbua halafu unipitishie lol!!!! hahahahaha lane:..hata kusali farkhina kumbuka kauli zako nyingi zilizojaa busara na hekima tele utaona you've so much to celebrate.
Sie tulikumbushana ile mkienda club na kununua soda moja mnajisikia haswa sijui ilitoshelezaje hadi 4am siku zingine ila watu kiingilio ilikuwa muhimu zaidi.
Siku hizi naona vijana ma cocktail sijui pombe ile ya aina tofauti, hata soda glass itawekewa vikolobwenzo ionekana ya bei bila hizo wanajiona hawajaonekana wakinywa...shame.
Mkuu MziziMkavu hivi unapomtaja Mwenyez Mungu ukimix na hizi nyimbo za mapepo unamtendea haki kweli? Um not extremist in religion ila mambo ya kidunia ni heri yakawa ya kidunia bila kumhusisha Allah
Shukrani sana farkhina ubarikiwe kila ukitakacho 2014 kifanikiwe maradufu tena kwa kiwango cha juu kabisa.