dont drink and drive, drink responsibly
Hujambo mrs kiwatengu?
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Last edited by a moderator:
dont drink and drive, drink responsibly
hahahahahah lol!!!! soda moja usiku mzima lol!!!! lakini ukitoka hapo roho kwatuuuu nawe umejirusha kwa raha zako lol!!!! We acha tu siye tukianza kukumbushana vituko vyetu enzi zile watu huwa wanavunjika mbavu dah!!!! Na vituko tulikuwa navyo aisee.
Lol ni kama vile nakuona ukiwa mdogo suruali ya mchele au?
Mie ilikuwa usafiri lazima gari moja litumike kwenda so petrol bure, kuingilia ndio lazima uwe na pesa maana kukaa nje na watu wanakupita kuingia ukiwa umezubaa au kama waliokuwa wanabembeleza hiyo ilikuwa mwiko kabisa. No pesa basi bola ulale au ndio utolewe sasa sie tulikuwa hata vi bf's vya kupiga story hatutaki watuhudumie za pm zao.
Ilikuwa fun viwanja viwili vitatu lazima kimoja no no. So soda moja kila venue tukiwa kumekucha mfukoni twanya zaidi siku zingine (ila kiingilio muhimu incase kuna sehemu ingine yakuendeka)
Was fun fun fun
Sie tulikumbushana ile mkienda club na kununua soda moja mnajisikia haswa sijui ilitoshelezaje hadi 4am siku zingine ila watu kiingilio ilikuwa muhimu zaidi.
Siku hizi naona vijana ma cocktail sijui pombe ile ya aina tofauti, hata soda glass itawekewa vikolobwenzo ionekana ya bei bila hizo wanajiona hawajaonekana wakinywa...shame.