Kwa wanawake tu mwanaume usifungue hapa

Kwa wanawake tu mwanaume usifungue hapa

Moja ya sababu ya sisi kuchepuka ni hii... KUHISIWA... yaani kila nikirudi...ulikuwa kwa mwanamke....DAILY... kweli sitchepuka..? wakati mwingine tunawaoneeni huruma kuwaacha na dhambi ya kusema uwongo, bora tuchepuka ili muwe hamtendi dambi ya kutusingizia
Hili nalo linachangia sana kwa wanaume walio wengi. Lengo la kutochepuka si kwamba wasichana wazuri huwaoni ila unajizuia kumtunzia heshima mkeo. Inapotokea kuwa kila siku ukirudi analianzisha bila ya ushahidi wowote na kibaya zaidi ikawa ni hisia tu zisizo na ukweli, ile kujuzuia kwa kumtunzia heshima inatoweka ghafla.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me sitachepuka ila nitaishi mazingira ya kimada wa MTU mwingine...najijali watoto nawajali out na wanangu full raha....namtenga kiaina fedha za matumizi namwambia haztoshi....naanza na kufanya mambo ambayo najua hata tukitengana nakua sijutii..

Sent using Jamii Forums mobile app

Mmhhh,,,,hutachepuka ila utakua tu kimada wa mtu...
Ndio maana hua nasema kua mwanamke ktk mazungumzo mwamini salamu tu,,,mkusalimiana ndio ukweli maongezi mengine abadaan hua siyaamini[emoji1321]
 
Ukweli huo ni shubiri kwao[emoji2] [emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu nlishateseka saana na hawa viumbe hadi nlianza kutafta ile dawa ya kung'ang'aniana wakati wakiwa wanavunja amri ya 6[emoji1375]
Doohh,,,mwishoe nikaona yanini nipate kipara bila elimu??
Dawa hapa ni kukata mti na kupanda mti tu,,
Hadi leo nipo mstarehhhhh!!!!watu wanalia na utawala wa anko magu
Mindio naona ka utawala wa mzee wa ruxa,,kwa jinsi navojihisiii mwepeeeesiii[emoji1321]
 
Mkuu nlishateseka saana na hawa viumbe hadi nlianza kutafta ile dawa ya kung'ang'aniana wakati wakiwa wanavunja amri ya 6[emoji1375]
Doohh,,,mwishoe nikaona yanini nipate kipara bila elimu??
Dawa hapa ni kukata mti na kupanda mti tu,,
Hadi leo nipo mstarehhhhh!!!!watu wanalia na utawala wa anko magu
Mindio naona ka utawala wa mzee wa ruxa,,kwa jinsi navojihisiii mwepeeeesiii[emoji1321]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] sasa ushakata miti mingapi mpaka sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikusoma vizuri mlangoni jamani nimeingia tu kumbe ni cha kike na mmejazana humu kibao mnatudiscuss sisi.nauliza hao michepuko ambao wanachepuka na ss wanaume ni akina nani kama sio ninyi ninyi mliojazana kwenye hichi choo nilichoingia bila kujua!Hebu chambuaneni wenyewe kwanza kwa maana kadiri mnavyolaumu wanaume ndivyo ninyi mnavyopeana hamasa humu.shida ya mchepuko ni kujipatiamo chochote na mwanaume ni kujipatia kile anachokosa njia kuu..kuchepuka ni kutamu sana iwe kwa mume au mke wote wanapata raha jamani ndio maana inakua hivyo na ikiwezekana hii kitu irasimishwe kabisa kikatiba.asante mie natoka sasa na asanteni kwa kunisikiliza bila kunizodoa.. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadi mda huu nlikua nalidiscuss hilo jina kila nkijiuliza KADAGALA kuna dem akaitwa hili jina Mhhh,,kama ni dem anaitwa hili jina bas atakua JINAMIZI huyu
 
Hivyo mnavyo ambizana kuwaombea kuwaombea nao wanachoresha tu, wanafanya makusudi huku wakijua Waifu ananiombea mema! Cha msingi ni kuzungumza mara Kwa Mara na kuambiana ukweli Kwa utulivu na upendo, Mke jitahidi mumeo ajue misimamo yako, ajue huyu nikimzingua Kwenye mambo flani ya kuchepuka hata nielewa, ajue ikibidi uko tayari kuachana nae na kwenda kuishi Kwa kujitegemea mwenyewe! Yani uishi maisha ya kuhararisha uzima alokupa Mungu kwaajili ya Ndoa/mwanaume?[emoji87][emoji87][emoji87] I wish I could be a British one! Mwambie mwanaume kukupenda isiwe tabu bana! Na ikibidi mwambie kuna wenzio huko maofisini n.k wananipenda sijui kutana lakini nawa kataa kwaajili ya kumwogopa Mungu na kukuheshimu Wewe ! Imani pasipo matendo imekufa, yani ukae unamuombea Mtu yeye anakuchora tu kila Siku [emoji87][emoji87][emoji87] sikatai maombi lakini kuambizana lazima kuwepo tena pasipo magomvi, imendikwa " mpende Bwana Mungu wako Kwa moyo wako wote, Kwa nguvu zako zote, Kwa Roho yako yote na Kwa AKILI yako yote! AKILI nayo lazima ifanye kazi!
 
Lazima ujifunze kusema mimi mume wangu hato toka nje ya ndoa, lazima ujifunze kujinenea mema kila siku katika ndoa yako

Kumbuka kumuombea kila siku huku ukiizunguka picha yake kama hayupo ila kama yupo omba naye

Semesha hiyo picha semesha vyote ambavyo hutaki afanye,
Kwenye kuomba kuna nguvu sana

Kwa Wakristo mzungushie damu ya Yesu huyo mume kila siku, hao makahaba wasimuone hata wakienda kwa waganga wasimuone

Achilia Malaika wamlinde kila siku

Tafuta siku moja ya kufunga kwaajili yake tuu muombee

Ukiona alianza kucheat rudi kwa Mungu uanze na toba ina maana hukusimama katika zamu yako ya ulinzi wa kumuombea kila siku ndio maana adui kapata mwanya

Wanawake wengi wanatumia dawa za kiganga kunasa waume za watu

Usipo omba lazima abebwe

Hivyo kama Mungu alikupa mume mwambie Mungu mume uliye nipa namrudisha kwako nisaidie kumfinyanga omba hadi upendo.wa kwanza urudi. Hata akiona wengine nje aseme nina mke ninaye mpenda mno

Kingine ni hichi jiangalie nyuma je uliwahi tembea na waume za watu?
Kama ndio rud kwa Mungu omba toba vizur kila siku kwa makosa uliyo yatenda na ufute maneno yote uliyo tamkiwa na watu au mke wa huyo mtu sababu apandacho mtu ndicho avunacho

Angalia je wanawake alio waacha kabla hajaja kwako walimnenea nini?

Yapo maneno huwa tunatamka wadada pindi tunapo achwa hakikisha unaingia katika maombi kutubia na kufuta hayo maneno
Na kuanza kukiri maneno mema kila siku


Na ukiona anacheat usiseme ni fungu langu, sema hii sio yangu na kamwe haitokuwa yangu

Rudi kwa Mungu wewe kaa magotini kuomba hakuna kugombana ukiona unaumia lia na Mungu
Haya machozi yana thamani mnooo kwa Mungu usimkatie tamaa ni mume wakwako ni wako hivyo ombaa narudia tena omba,

Kuwa cheated sio fungu langu, ukijinenea hivi utakuwa mlinzi mzuri ktk maombi kwaajil ya mume. Kuna raha kuomba pamoja kuwa na mume wako.



In ua Presence Jesus is where I belong
Maneno matamu sana Haya.
Thank you dear

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom