- Thread starter
- #161
Nikasirike kwa nini? Una hela?Usikasirike ninakutania
Nikasirike kwa nini? Una hela?Usikasirike ninakutania
pesa zipo,sema nikikupa pesa zangu na wwe utanipa nini ambacho nitafaidika nacho kwenye Maisha yangu!?Nikasirike kwa nini? Una hela?
Sure mkuu , mademu sampuli ya mtoa mada ni wajinga mnoo Yan unakuta papuchi ishalegea kabisa coz kila aina ya pipe ishapitajamii forum mkuu utakuta mtoa mada lose ball wa hatari, yaani utumii nguvu kwenye keyboard humu ni class
na wa hivi wanakuwaga wajinga yaani ule ujinga wa mwisho kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nzuri......habari ya yule mtoto uliyempandikiza mwenzio! COPY
Kuuza KUmalaya ni nini?
Ana staafu umalaya wake kwako , na hao wazee wana kufahamu vizuri na wao ndio wana mu encourage atulie kwako, u handsome mwisho form sixKuna kabinti kapo vzur kama mnyarwanda kanabahati ya kupendwa na wababa watu wazima toka kakiwa na umri wa miaka 14 kalianza kutoka nao,mpaka Leo wanaendelea kuzuzuka sasa kana miaka 24,hadi huwa nahis labda kalitengeneza dawa,muhuni npo nakuja vtu vya wazee Mdogo Mdogo na Mtoto kakolea kaamua kuachana na maisha hayo
NB:huwa sipendelei kuona demu kavaa suruali,napendaga vsket fulan vya mtumba vzur vzur au vigaun vya ktenge vya kubana
Kwa hiyo ulitaka walale na wanaume bure? Yani mwanaume usigharamike kwa chochote? Kulala na wanaume wengi ndo umalaya, kuvua chupi hovyo hovyo ndo umalaya. Umeona nawaambia wanawake wavue chupi hovyo? In fact nawafundisha wanawake wafunge miguu yao ila tu kwa mwanaume atayewathamini
Wanaume maskin ndio hupenda wanawake wenye chura na Walojaaas [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli its nature. Our female ancestors prefered tall male who are muscular and aggresive because this sign the male can compete with other male and get food to bring to her and her offsprings. This also sign security, male can protect her and her offspring from predators. Because we female have a 'duty' of carrying and rearing offsprings we normally dont have much time to go 'hunting' so we depend on males for resources, in modern world this means 'money' the more guy is able to bring resources.. 'money' the better 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwan n tatzo kuweka mada mbili tofaut kwenye comment moja,hapo mwsho nmeongelea inshu za suruali coz mtoa Uzi kaeleza ambavyo sponsors kuwanasa demu hatakiw kuvaa suruali,hata mim suruali huwa spendelei kuona wanawake wamezivaa maana znaowapendeza n wachacheWe jamaa hueleweki, mara unambato demu anayeliwa na wazee, mara unapenda vigauni, na vitenge[emoji15][emoji15] which and which?
Tittle ilitakiwa iwe hivi "Jinsi ya kulivutia na kulikamata danga"
[emoji23][emoji23][emoji23]mi sina pesa sana. ila sababu najua mikato yenu nawakula balaa
yes wanajielewa hadi raha I like type yenu
kama wewe ni kijana(ila sio 20s kua gentleman na pesa za kuzugia pia usiwe na papara za ujana na usikose okesheni za maana
[emoji23][emoji23][emoji23]mwenzenu skosagi kilimanjaro marathon
mm ni muhuni niepinda adi nkanyongorota sjui kwa nn wananionaga gentlemen
Unawala wale wanaoshoboka na vijipesa mbuzi
sio marathon tu hata seminar za kulipia (kulipiwa huko ndo kutamu sasa 😁😁😁Eeeh ndio maana siku hizi kila mtu yupo kwenye hizo marathon kumbe ni sehemu zenu za kujidai [emoji28][emoji28]
Mi siwezi kupiga timing na vijana magentleman mnakuaga hamna kitu zaidi ya kukamia k za wenzenu
Mleta mada haongelei watu kama wewe am so sure
Hela ya the ugliest and the oldest ni chungu Sana,maana Unatakiwa ujicheshekeshe ilhali huna furaha,,na yeye atataka akupeleke dinner karambezi huku amejiachia na Wewe Basi aibu utayoipata ni ya kiwango Cha juu...nakuunga tutafute pesa zetuEti
"The uglier, the older, the better..." Kisa tu kuhongwa
Ha ha ha ha
Haya maisha bwana.
Hivi wanawake kwani hatuna mikono ya kufanyia kazi, tukatafuta hela zetu wenyewe za kujidaia.