Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,618
- 33,475
Sijaisoma yote hii article, Ingawa kuna mixed views bado few bits vinaongelea hii mada >>>>> Mate selection
Kweli kiongozi kuna varieties nyingi sana, muhimu kwa mwanamke ni kujitunza tu ili aweze kupata mume wa kufanana nae.Kingine uwaeleze tu ukweli kuwa kuna varieties katika wanaume na wanawake ndio maana kuna mrefu, mfupi, bonge, mwembamba, tajiri na lofa.
Kila mtu atampata wa kuendana nae regardless unafosi na kuparangana kiasi gani.
Kama una character na qualities zinazovutia wanaume matajiri utakuwa nao na pengine kuolewa nao.Just stay true!
Kama una character na qualities ya kuwa na wanaume average basi utawavutia na kuwa nao pengine watakuoa kabisa. Stay true!
Character na Quality yako ndio itakuamulia fate. Kwahio kama amejiposition ambako siko anakohitajika kwa maigizo nature itamrudisha anapostahili tu na pengine hata atachezewa sana before hajajua.
Ndio maana kuna mpiga debe ana mke na watoto sawa tu na Mo ambavyo ana mke na watoto.
Mkuu ni muhimu kutoa views zetu pia, kwasababu mada inatuhusu wanaume directly or indirectly.Uzi umeandikwa kwa ajili ya wanawake, lakini midume imejaa humu kuliko hata walengwa wenyewe.
Anayejifariji n ww kwa kukosa akili ..Hahaha... Eti kila aina ya pipe. Jifariji tu kijana
😂 😂 😂 😂 😂 ni bwawa zaidi ya lile la Rufijipapuchi ishalegea kabisa coz kila aina ya pipe ishapita