Amini amini nakuambia, wataolewa na hao hao wanaume. Mwanaume anayeinvest heavily kwa mwanamke hamuachii. Hawezi kukubali aende kuliwa na mwanaume mwingineSasa ashera hao unaowafundisha wataolewa na nani? Kama unataka waende kwa 45 and above manake most of those have already marry.
AsanteKila mtu na aishi maisha anayoyataka.
Mnamvamia mtoa mada for what?
Live and let live.
Huyo mwanaume anakuwa hajui kuwa ana mke na familia? Anakuwa kashikiwa bunduki? Maisha ni kuchagua babu weye. Wewe komaa kivyako. Wenzio wako willing kugharamia kiroho safihapa maana yake mnataka MTU mzima mwenye familia take Kwa uyo sponsor mwenye iyo age.utatumika ila mke wake atabaki kuwa mke na udangaji sio mzuri mtaona tu. ..siwezi kumwonea mwanamke huruma mliwe tu mpaka akili ziwe sawa.mnajaa Kwa mwamposa kutafuta nini sina jb
Mtaenjoy vipi kama hamgharamii?Kama kila mwanamke angefuata hiyo no.2 basi wanaume tungeenjoy sana.
Huyo mwanaume anakuwa hajui kuwa ana mke na familia? Anakuwa kashikiwa bunduki? Maisha ni kuchagua babu weye. Wewe komaa kivyako. Wenzio wako willing kugharamia kiroho safi
Yes hakuna cha bure ndo maana mwanaume lazima agharamie. Vijana wa siku hizi hawaelewi wanataka papuchi za bure. Wanaume watu wazima wanaelewa thamani ya mwanamke na ndo wanaogharamiahakuna ela ya mwanaume itakayoliwa bure at a njemba zitakodiwa ili zikutafune ili kufidia..unawafundisha wenzio kudanga Kwa kupata vya bure Kwa kutegemea jibaba
Striking beauty is not enough...confidence and setting higher standards for yourself is key. Wapo mabinti wazuri kama malaika but wanaishia kuchezewa na mabazazi tena for free. Sana sana wao ndo wanaohonga wanaumeDepends on how much God blessed your body.Your good looking body and presentation is a price tag.
Kumbuka you are not alone with a striking beauty you need to contest everyday especially with the younger ones.
Wapo mabinti wazuri kama malaika
wako sayari gani hawa ?Sana sana wao ndo wanaohonga wanaume
Wapo kila mahali. Wanakwenda 50/50 na mwanaume. Wanafanya kazi kwa bidii ili eti wasaidiane maisha na wanaume zaowako sayari gani hawa ?
ilo sio wazuri kama 'malaika', mara nyingi 'wazuri' ndio wadangaji hasa, maana wanaringia huo uzuriWapo kila mahali. Wanakwenda 50/50 na mwanaume. Wanafanya kazi kwa bidii ili eti wasaidiane maisha na wanaume zao
Umalaya ni nini?
Wanakuja