Kwa wanawake tu: Mbinu za kumpata sponsor

Kwa wanawake tu: Mbinu za kumpata sponsor

Kuna rafiki yangu Whatsapp ni Muhindi yupo India ameniambia nimtafutie dem wa kibongo afanye nae mipango ya uchumba then waoane kwa anaetaka aje ni mkonekti nae kwa njia ya Whatsapp sifa anazotaka ni awe Mkristo, asiwe na makakalio makubwa sana , rangi yoyote. Kama kuna mwanamke anataka basis aje pm nimuunganishe nae kama atafanikiwa itakuwa bahati yake NB: huyu si mjui nilikutana nae kwenye Group moja la whatsapp
 
Hivi wewe nanihii sio sponsor kweli? Mbona umefanana na sponsor? ngoja nikuvutie kasi 🤣🤣🤣🤣☺️☺️☺️☺️
 
Twende moja kwa moja kwenye mada. Mwanamke hakuumbwa kutafuta kwa jasho asilani. Wanawake amkeniii. Use what nature gave you and enjoy life. Hili game lina mbinu zake...leo ntawapa chache

1. Pendeza. Take your time to dress up and make up. Nywele, kucha, mavazi, kunukia vizuri, mambo ya udi na perfume nzuri nk. Hapa kwenye mavazi vaa vigauni flani amazing with feminine colours, pink, red, nudes, beige, etc. Epuka kuvaa suruali hasa ukiwa mawindoni ( don't over do it with dressing up and make up utaonekana changu...be careful hapa). Wanaume wanaojielwa hawapendi too much make up and slutty outfits

2. Be feminine. Tabasamu muda wote hasa ukiwa mawindoni, hakikisha sauti yako ni nyororo, wanaume wanavutiwa na sauti nyororo, cheka na ongea taratibu, sio unacheka kicheko cha mahoka, big no. Act dumber than him so to boost his ego. Hata kama wewe ni mwanasheria mkongwe wa kimataifa usijionyeshe kuwa una uelewa wa juu sana wa mambo. No matter how successful you are girl, don't show it to him

3. Tembelea maeneo wanayopenda kutembelea wanaume wenye pesa, the rich side of town, mitaa flani ya kishua, bar au hotel za kishua, golf course, fund raising events, etc. Vaa vizuri pendeza tembelea maeneo hayo mara kwa mara, ipo siku utaibuka na mmoja

4. Lose weight. Jitahidi kuwa na mwili mwembamba, wanaume wenye pesa ndefu hupendelea zaidi wanawake wembamba

5. Usijirahisishe. Hapa wadada wengi ndo huwa wanajiharibia. Hata kama mwanaume ana pesa vipi usizuzuke na kukimbilia kitandani. Atakuona huna thamani na atakuacha fasta. Funga miguu yako for as long as it takes. Mwanaume atainvest zaidi kwako akiwa na anticipation kwamba ipo siku atakukula ( but he has to work for it coz your p***y is not cheap). Let him fantasize about you for as long as possible. Usitoe kirahisi

5. Hakikisha target yako ni wanaume wanaokuzidi kuanzia miaka 15 na kuendelea. I mean age difference. Wanaume wa hivi wanahonga sana maana anakuona kama mwanae na si pasua kichwa kama hawa vijana. Hawana presha za kujenga sijui kununua gari. He will spoil you rotten. Asiwe chini ya miaka 45

The uglier and older he is, the better.

6. Akikuomba namba ya simu mpe. Akikupa namba yake ya simu kamwe usiwe wa kwanza kumtafuta. Let him chase you, if he doesn't don't get tempted to try calling or texting him, atakuona cheap. He should call you first if he doesn't, move on to the next. He should be interested in you more than you are interested in him. Jifanye huna time kabisa

Trust me wanawake, hizi mbinu zinafanya kazi like a charm. Ndo limbwata lenyewe hili. It works. Its been working and it will still work till eternity.

Kama haikuhusu pita pembeni. Walioelewa wameelewa. This game is not for every woman. Ni kwa wale wanaoelewa thamani yao na nature yao halisi
Washauri pia wanaume tupo wa aina tofauti wengine huwa hatuwezi kufuatilia mwanamke muda mrefu aisee, tukiona mizinguo huwa tunapotezea kabisaaaa
 
Eti
"The uglier, the older, the better..." Kisa tu kuhongwa

Ha ha ha ha

Haya maisha bwana.

Hivi wanawake kwani hatuna mikono ya kufanyia kazi, tukatafuta hela zetu wenyewe za kujidaia.
Ndio uwezo wa kiakili ambao baadhi ya wanawake wa mjini wanaofanya 😂😂😂 chupi mtaji!

Halafu unategemea mwanamke kama huyu azae T.O? Never my friend!
 
Eti
"The uglier, the older, the better..." Kisa tu kuhongwa

Ha ha ha ha

Haya maisha bwana.

Hivi wanawake kwani hatuna mikono ya kufanyia kazi, tukatafuta hela zetu wenyewe za kujidaia.
Daah ww unajielewa aisee, wanawake wengi akili zao ni fupi Sana aisee, wengi wanawaza kuhongwa tuu, wengine wameanzisha style ya kuomba omba pesa kwenye mitandao , sijui hata wana laana gani , yaani hawapendi kabisa kufanya kazi yaani kazi kwel kwel
 
😂😂😂mi sina pesa sana. ila sababu najua mikato yenu nawakula balaa
yes wanajielewa hadi raha I like type yenu

kama wewe ni kijana(ila sio 20s kua gentleman na pesa za kuzugia pia usiwe na papara za ujana na usikose okesheni za maana

😂😂😂mwenzenu skosagi kilimanjaro marathon

mm ni muhuni niepinda adi nkanyongorota sjui kwa nn wananionaga gentlemen
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mi sina pesa sana. ila sababu najua mikato yenu nawakula balaa
yes wanajielewa hadi raha I like type yenu

kama wewe ni kijana(ila sio 20s kua gentleman na pesa za kuzugia pia usiwe na papara za ujana na usikose okesheni za maana

[emoji23][emoji23][emoji23]mwenzenu skosagi kilimanjaro marathon

mm ni muhuni niepinda adi nkanyongorota sjui kwa nn wananionaga gentlemen
Unawala wale wanaoshoboka na vijipesa mbuzi
 
Back
Top Bottom