Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Unasema kila Galaxy ina mamilioni ya sayari na nyota. Mkuu, mbona tuliambiwa sayari zipo tisa (9) tu. Nifafanulie hapo
 
Unasema kila Galaxy ina mamilioni ya sayari na nyota. Mkuu, mbona tuliambiwa sayari zipo tisa (9) tu. Nifafanulie hapo
Galaxy yetu inaitwa Milki way ambapo ndipo inapatikana solar system yetu yenye sayari tisa huku dunia tuishiyo ni ya tatu kutoka kwenye jua. Hivyo basi mbali na kuwepo solar system kwenye Galaxy yetu pia kuna mipangilio mingine mingi ifananayo na solar system yetu ili kukamilisha Galaxy.
 
Galaxy yetu inaitwa Milki way ambapo ndipo inapatikana solar system yetu yenye sayari tisa huku dunia tuishiyo ni ya tatu kutoka kwenye jua. Hivyo basi mbali na kuwepo solar system kwenye Galaxy yetu pia kuna mipangilio mingine mingi ifananayo na solar system yetu ili kukamilisha Galaxy.
Galaxy nazo zipo nyingi pia au? Hili somo gum sana aisee
 
Unasema kila Galaxy ina mamilioni ya sayari na nyota. Mkuu, mbona tuliambiwa sayari zipo tisa (9) tu. Nifafanulie hapo
Sayari Tisa tunazungumzia solar system mbavyo ni vitu vyote vinazunguka Nyota jua,kwahy jua ni nyota moja kati ya nyota bilioni 400 kwenye Galaxy yetu ya milky way maana yake jua nasayari zake ni kama kadoti kadoti kalichopo ndani ya milky way galaxy
 
Hivi huu upepo huwa unatokea Wapi nje ya dunia au ndani ya dunia?
Na kama ndani ya dunia mbona haupo muda wote?
Upepo unatokana na mgandamizo wa pressure kwenye hewa ya nitrogen na oksijeni hewa hii ikipata mgandamizo ,there is movement from high low low pressure area thus wind is generated from concept for more:

Two concepts are central to understanding what causes wind: air and air pressure. Air comprises molecules of nitrogen (about 78 percent by volume), oxygen (about 21 percent by volume), water vapor (between 1 and 4 percent by volume near the surface of the earth) and other trace elements. Every time we breathe, the air we inhale is composed of about the same relative ratios of these molecules, and a cubic inch of air at ground level contains about 10 20 molecules.
All of these air molecules are moving about very quickly, colliding readily with each other and any objects at ground level. Air pressure is defined as the amount of force that these molecules impart on a given area. In general, the more air molecules present, the greater the air pressure. Wind, in turn, is driven by what is called the pressure gradient force. Changes in air pressure over a specified horizontal distance cause air molecules from the region of relatively high air pressure to rush toward the area of low pressure. Such horizontal pressure differences of all scales generate the wind we experience.
 
Galaxy nazo zipo nyingi pia au? Hili somo gum sana aisee
Galaxy kwenye observable universe yaani ulimwengu unaonekana ziko bil 400 ambayo ni umbali wa 93 light years,ila ukizungumzia ni ulimwengu usiojulikana wajuzi wanasema ziko kama trilioni 2
 
Ndio mkuu Galaxy zipo nyingi tu kama atapatika mtaalam hapa akatutajia japo chache kwa majina itakua vyema sana.
2f626a58739223a955bbacd935f5dda5.jpg
 
Wakuu, ebu nielimisheni.

JUA limeundwa na nini (components) na kwanini la-moto.

Halafu tunaambiaa GIZA ni absence of light. Sawa. Je ni presence of nini, kwa maana kwamba GIZA limenundwa na nini?. Je naweza kutengeneza giza langu maabara? Nitahitaji nn na nini (msinimbia HAUTAHITAJI mwanga)
 
Sayari Tisa tunazungumzia solar system mbavyo ni vitu vyote vinazunguka Nyota jua,kwahy jua ni nyota moja kati ya nyota bilioni 400 kwenye Galaxy yetu ya milky way maana yake jua nasayari zake ni kama kadoti kadoti kalichopo ndani ya milky way galaxy
Ok, je hizo galaxies zingine nazo inamana zina JUA pia au jua lipo kwenye Milk way tu?
 
Galaxy nazo zipo nyingi pia au? Hili somo gum sana aisee
Astronomers kuna kipindi waliilengesha Hubble Telescope kwenye kaeneo ambako kalionekana hakana mwanga wowote kama kujaribu, tazama kitu walichokiona
images.jpg

Mabilioni ya galaxies
 
Ok, je hizo galaxies zingine nazo inamana zina JUA pia au jua lipo kwenye Milk way tu?
Nyota zipo katika kila galaxy tofauti ni kuna nyota za aina mbali mbali kama hii ya kwetu itafikia stage yake ya mwisho na kuanza kutumeza.
 
Back
Top Bottom