Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

elimu ya science ya ulimwengu ni elimu ya kusadikika haina ukweli wowote wala haiingii akilini kama tutakuwa na uwezo wa kufikiri,binadamu hatuwezi kuishi kwenye dunia yenye shepu ya chungwa,na kama ingekuwa kweli tungekuwa tunaweza kuishi kwenye milima mikubwa kwa kuganda pembezoni mwa milima bila ya kuanguka.

dunia haiwezi kuwa duara na maji kuganda nje ya dongo la dunia na kisha iwe inaruka angani kwa speed na masafa tunayoambiwa hii haiwezekani kabisa,katika uhalisi wa maji hayawezi kupinda kufata umbo la nje la kitu chochote,maji popote yalipo ni lazima yawe level hio ndio sifa kuu ya maji,na ndio mana tunatumia lever za maji kujengea majumba ili kupata usawa wa nyumba

jua na mwezi ni vitu vipo sawa sawa na umbali wake kutoka ardhini ni sawa sawa kama tunavyoviona,pia kama utaangalia jua na mwezi utakuta vipo ndani ya wingu la blue havipo umbali wanaosema,pia mwezi hauna ardhi ya watu kwenda kutua,tukiwa hapa tunauona kuwa mwezi ni kitu kinapitisha mwangaza(transparent),utazame mwezi mchana utaliona wingu la buluu kwenye mwezi na usiku utaona wingu jeusi kupitia kwenye mwezi.

tumefundishwa gravity ndio inayotuzuia tusipeperushwe na speed ya dunia hiki ni kichekesho kikubwa,kwanini gravity haiwezi kuzuia mabofu na mifuko ya plastic na ni vyepesi sana, kwa ufupi hakuna gravity ni vitu vizito vinabaki ardhini na vyepesi vinakwenda angani

hatuwezi kufahamu kila kitu lakini upo uwezekano kuwa ukubwa wa dunia ndio hauna mwisho(infinity) wala sio duara na haizunguki wala kuruka,uhalisi ni kama tunavyoona kila siku dunia ipo tuli imetulia.
Unaweza kuwa na idea kinzani lakini mengine chai_vitu vizito vina exert force ndio maana hubaki visianguke na plastic ni nyepesi sawa lakini hutulia
 
elimu ya science ya ulimwengu ni elimu ya kusadikika haina ukweli wowote wala haiingii akilini kama tutakuwa na uwezo wa kufikiri,binadamu hatuwezi kuishi kwenye dunia yenye shepu ya chungwa,na kama ingekuwa kweli tungekuwa tunaweza kuishi kwenye milima mikubwa kwa kuganda pembezoni mwa milima bila ya kuanguka.

dunia haiwezi kuwa duara na maji kuganda nje ya dongo la dunia na kisha iwe inaruka angani kwa speed na masafa tunayoambiwa hii haiwezekani kabisa,katika uhalisi wa maji hayawezi kupinda kufata umbo la nje la kitu chochote,maji popote yalipo ni lazima yawe level hio ndio sifa kuu ya maji,na ndio mana tunatumia lever za maji kujengea majumba ili kupata usawa wa nyumba

jua na mwezi ni vitu vipo sawa sawa na umbali wake kutoka ardhini ni sawa sawa kama tunavyoviona,pia kama utaangalia jua na mwezi utakuta vipo ndani ya wingu la blue havipo umbali wanaosema,pia mwezi hauna ardhi ya watu kwenda kutua,tukiwa hapa tunauona kuwa mwezi ni kitu kinapitisha mwangaza(transparent),utazame mwezi mchana utaliona wingu la buluu kwenye mwezi na usiku utaona wingu jeusi kupitia kwenye mwezi.

tumefundishwa gravity ndio inayotuzuia tusipeperushwe na speed ya dunia hiki ni kichekesho kikubwa,kwanini gravity haiwezi kuzuia mabofu na mifuko ya plastic na ni vyepesi sana, kwa ufupi hakuna gravity ni vitu vizito vinabaki ardhini na vyepesi vinakwenda angani

hatuwezi kufahamu kila kitu lakini upo uwezekano kuwa ukubwa wa dunia ndio hauna mwisho(infinity) wala sio duara na haizunguki wala kuruka,uhalisi ni kama tunavyoona kila siku dunia ipo tuli imetulia.

Bro sayansi ya kwenda mwezini ilitufundisha mengi sana mojawapo ni kuprove kwamba dunia ni duara ingawaji kati ya wavumbuzi wa dunia hii walishaweza kujua kwamba dunia ni duara sio vitu vyakusadikika.
 
Aise, nimepitia michango ya wote walioshiriki humu mwisho nimekubali watu wengi weusi bado ile asiri ya unyani haijatutoka.

Bado kuna kakikundi kanako endesha propaganda za kupinga ustarabu wa kimagharibi hivyo kupinga hata maendeleo ya science na technology waliyoyafikia watu weupe.

Mtu mmoja anauliza kama kweli Dunia ina umbo la kama tufe kwanini watu wa north west America hukatisha Ulaya wanapokwenda far East lakini anasahau kuwa mzozo wa USA na N Korea huchangiwa na kukaribiana kwa nchi hizo.

Mtu akiwa anasoma ramani ya Dunia katika ubao anaweza akazani nchi hizo ziko mbali mbali sana lakini akichukua karatasi yenye ramani hiyo akai roll ataona nchi hizo zinakaribia kuungana kwa upande wa nyuma.

Jamani nyinyi wasomi wenzangu tulioishia sayansikimu na sayansi kilimo Dunia kweli si duara na tambalale kama chapati bali ni donge mithiri ya chungwa/tufe na linaelea angani huku likiwa limezungukwa na anga la blue kila mahali wakati huo huo jua nalo linaumbo kama goroli nalo linaelea angani bila kutikisika lakini ndio hutumika kama level kwa sayari zote 9 zinalolizunguka.

Jinsi ilivyo Dunia na sayari nyenzie 8 haziko chini wala juu ya jua bali ziko ubavuni/ikweta mwake level moja yaani kama tungeweka pima maji ingebalace japo sayari zenyewe hazijakaribiana zimeachiana nafasi ili zisigongane zinapokuwa zinakimbia kulizunguka jua na izingatiwe sayari hizo 9 hazifanani speed katika kulizunguka juu. Kama kila sayari ingekuwa inaacha alama katika njia inayopita kulizunguka jua maduara 9 yanayotofautiana ukubwa wa kipenye yangechoreka kwa kunzia dogo na kumalizikia kubwa kadiri unavyosogea mbali na jua.

Kwanini watu wengi wajinga husema jua liko juu ya uso wa Dunia.

Mtu mjinga anaposema jua lipo juu ya Dunia wakati huo jua linakuwa linamuwakia utosini mwake huku yeye akiwa amesimama holozontal ubavuni mwa Dunia na wakati huo juwa linakuwa mkabala na utosi wake hivyo ili aliangalie inabidi abinue kichwa uso uli face jua, hapo ndio kwa lugha ya kisukuwa tunasema tunalitizama jua juu angani.

Watu wanaokuwa wamesimama juu ya Dunia na wakatizama upande wa mashariki hawa hawahitaji kubinua kichwa kuliona jua, huliona jua kwa mbele na kama ni sehemu tambalale wanaweza kuliona jua hata usawa wa miguu yao na hapo huwa ni asubuhi au jioni jua linakuwa magharibi.

Wanaokua chini ya Dunia kwa muda huo kiukweli wanakuwa kama wananinginia kichwa chini miguu juu hawa wanapohitaji kuliona jua ni kama tu wale walio juu, hutaji tu kugeuka nyuma au mble lilipo jua na kulitazama bila kubinua kichwa, muda huo huwa asubuhi au jioni.

Kwa wale wanaokuwa nyuma ya Dunia, Dunia inakuwa imewakinga kuliona jua, hapo hua ni usiku.

Kunawakati kweli hutembea hapa Duniani tukininginia kichwa chini miguu juu lakini si rahisi kujitambua kwakuwa muda huo miguu yetu huwa imegusa ardhi ambapo husema tumekanyaga chini. Hata hivyo sio sehemu zote za Dunia watu huwa wanapinduliwa mfano kama mtu anaweza bahatika akawa kwenye kizio cha kas au kus cha Dunia mambo huwa tofauti kidogo kwasababu ndiko ule mdenge wa kufikirika kuwa Dunia inajizungushia ulipo na bahari nzuri mdenge huo wa kufikirika umeitunga Dunia kama mshikaki huku wenyewe ukiwa umelalia upande kidogo hivyo kusababisha hizo sehemu za kizio cha kas na kus cha Dunia kuwa pia na usiku na mchana japo si kwa muda mrefu kama sehemu za ubavuni/ikweta.

Kama Dunia isingekuwa inajizungusha katika muhimili wake huku ikiwa upande yaani ingekuwa inanyooka nyuzi 90 basi sehemu same za kizio cha kas na kus visingekuwa na muda vinakosa mwanga jua, ingekuwa ni mchana siku nzima mwaka mzima.

Kuhususu uwepo wa nguvu inayotuvuta tusichomoke kwenye Duniani hili halina shaka. Kitu chochote kilicho mahali polite huwa kina tabia ya kuvuta vitu vingine vikisogelee. Katika kuvutana huko kitu chenye tungamo/ mass kubwa huvuta chenye tungamo kidogo.

Vitu vyote vilivyo katika Dunia/Earth vina tungamo kidogo tukilinganisha na tungamo la Dunia na ndio maana Dunia inavifuta vyote haitaki kuviachia, hivi ni kuanzia watu, bahari, udongo, hawa zote zinazotengeneza atmosphere ya Dunia.

Mwezi nao unavuta vitu vyote vilivyo karibu yake japo unguvu yake si sawa na ya Dunia na sababu zake ni 2 tu. 1 tungamo la mwezi ni dogo kulinganisha na hili la Dunia 2 nguvu ya Dunia kuvuta hufika mpaka mwezini japo humezwa na ile ya mwezi mfano ikajatokea mwezi ukapoteza gravitational force yake ya athiri mawe na vitu vingine vilivyomo mwezini vitanyakuliwa na Dunia.

Geographic hii ya darasa la 5 inatosha kabisa kuwamaliza kabisa wale wanaopinga umbo la tufe la Dunia na elimu ya unajimu.
 
Back
Top Bottom