SureDuh huwa nakubali dunia ni duara pale tu nikikumbuka zanzibar ni karibu sana ila siwezi kupaona kwa macho nikiwa Dar
Maana naamini dunia ingekuwa flat Lazima zanzibar pangeonekana
Mkuu kimo cha mlima huesabiwa kutokea usawa wa bahari, nini starting poit ya mlima huo?Olympus mons ndio mlima mkubwa kuliko yoote katika solar system, kilimanjaro na everest zikichanganywa hazifikii huu mlima.uko kwenye sayari ya mars