Kwa nini wanaume hamtukubali na watoto

Kwa nini wanaume hamtukubali na watoto

jinsi wanawake walivyokuwa wengi, tena warembo na wabichi na wanavyotafuta ndoa, naamini ni mwehu tu anaeweza kuoa mwanamke aliezaa. Ni kujitakia stress zisizo na msingi. Ila kama ni kula bata nae tu kwa muda no problem, hii huwa tunafanya.
Pia wanawake wanaozaa na watu wasioaminika wamejitakia hivyo kugongwa na kuachwa is what they deserve.

Halafu watu hawa hawa mnamsifu Diamond kwa Zari mzee mwenye watoto watatu! Why double standard?
 
Hii inawahusu sana wanaume wa kichaga....mbadilike.
Nimeshajionea kwa rafiki zangu kama 3.
Wachaga hawakubali watoto atakaowakuta nao mwanamke.
Ila wazaramo...nawapa hongera

Hawa wengi huwa wanaamia kwa wanawake kwahiyo watoto siyo isse kwao.
 
Kwa nini nioe mwanamke mwenye mtoto?!!!Kwangu hii ni sababu tosha ya kumdisqualify kuwa mke wangu.
Yaani hata awe mzuri zaidi ya Cleopatra kama ana mtoto tayari siwezi oa.
 
Ujue taasisi ya ndoa hata ktk vitabu vya dini inaanza na Baraka za wazazi...
Sasa kabisa nianze kuwa kichwa ngumu kwa mama kisa mwanamke ambae alishindwa jiheshimu hadi akadungwa mimba????huo upuuzi sijaufanya bado....
Yaani na ninavochukia watoto nje ya ndoa ndo kabisa.

Dah hunizidi mimi,sitaki kabisa kusikia hiyo takataka.Eti wanasema hujapenda wewe?!Huwa natumia akili alizonipa MUNGU sipendipendi tu ovyo ovyo.
Yaani nimetulia zangu halafu nije kuoa mwanamke aliyezaa tayari huu si uchizi,siwezi penda mwanamke wa namna hiyo hata kidogo.
 
Mtoto ni damu ya baba, lazima aende kwa baba yake, not otherwise! Sisi tuna mfumo wa patrimonial sytem, ndio kabisaaa!

Ni desturi zetu waafrica mtoto ni wa baba, na lazima aishi na baba yake. Hata akiwa kwa mama yake ipo cku atarudi kwa baba tu, ya nini niishi na mtoto ambaye sio wangu.

Kuna mzee mmoja alikufa na presha baada ya kuishi na mtoto na mwanaume mwenzeka mpaka kumsomehsa University, ikafika wakato mwenye mtoto anamuhitaji mwanae..ilikuwa kimbembe, mwishowe mzee akafariki kwa presha!
 
Duu!!! Wanaume ni wabinafi sana kwani Mimi nalea watoto 3 wa mwenzangu na wanatabia za ajabu mfano wananiibia nguo, ela na kuwapelekea mama Zhao then kibaya zaidi huyo mwanaume anawasiliana na mke aliyezaa naye. Nikimuuliza ananijibu eti wanawasiliana kwa ajili ya watoto. Imenichosha sana na wanapigiana simu wakati wa usiku tukiwa tumelala.

Pole sana Mummy!Kwa kweli hapo hakutendei haki.
 
Mfano kuna rafiki angu nimekua nae na kwa sasa anajishughulisha na biashara hapa Dar, ki umri ni miaka 28 ivi ila mpaka sasa sijamwelewa maamuz yake maaana anaishi na mwanamke aliyemzidi ki umri na anawatoto wa5 ivi ambao co wa mshikaji

Duh! Ha ha ha aisee.
 
[QUOTE=masai dada;
hili ni tatzo kubwa mno kwa wanawake wenye watoto, pia dada yangu wa kwanza ni mhanga wa hili yaani amekata tamaa kabisa ana mtu ana uhusiano naye japo hajaonyesha kukerwa na dada kuwa na mtoto ila hasemi lolote sasa naona inampa mashaka mpaka anataka kuvunja uhusiano cjui ameona nini ila hana amani.
 
Tofauti ni kuwa wanawake wanazaa, hivyo uchakavu wa viungo ni mkubwa kuliko kwa wanaune.
Me binafsi cpendi, labda km wote tulishawai kuzaa, ila icje ikawa first born wangu yy kwake ni last born. Lkn inategemea ulivo zimika, sema tatizo pale ambapo baba yao hao watoto yupo, Unakuta anawacliana naye kuhusu maendeleo ya watoto af kamsevu baba flan au ukamkutanae sehemu wanaongelea mambo ya watoto wao, pyuuu hapo waume lazma mpo wawili. Hicho me ndo kinanifanya nicwaamini hao au unakuta watoto wa tatu kila mmoja ana baba yake diiiiii! Hapo inabidi atafute tu veteran mwenzake.

Ha ha ha aisee kwa kweli inabidi atafute veterani mwenzake dah watoto watatu kila mtoto na baba yake?!
 
Unachosema ni kweli kwa asilimia kubwa iko hivyo.
Nafkiri labda kwa sababu sisi wanaume tumepewa na Mungu asili ya kutawala-kwaiyo ukilea mtoto wa mwingine nyumbani kwako inakua kama eneo lako la utawala limevamiwa. Utakuta unajiskia vita Vs uyo mtoto wa dume jingine.
Sihalalishi vita hiyo ila wanawake mjaribu kutuelewa.
Naamini Mungu anaweza kumpa neema uyo baba ya kuwalea na kutunza watoto wasiokua wa kwake
Ni swala la ajabu sana ambalo pengine ukilifukiria unaeza ukasikitika

ni kawaida sana wanaume kutuambiwa wana watoto hata watatu na wenyewe kuona kawaida sana bila hata kutushawishi kwamba utaishi na mwanangu

yaani wao uchukulia kawaida sana sisi kuishi na watoto wao bila kuuliza chochote na wao huona sinkikwazo chochote na pindi utakapokionesha basi unaonekana Mkatili unaonekana wewe sio mke mwema(JAPO KUNA WANAWAKE HUKATAA ) ila sio wengi

SASA IJE SISI NDO TUNA WATOTO
wanaume wengi hukataa kuoa mwanamke mwenye mtoto KWA MSISITIZO na hata kama akikubali husema basi mtoto wako akae kwa bibi au baba ake sijui atawajibika
na mambo mengi hapo katikati

SASA SWALI NI JE KWANINI NYIE MNAONA SISI KUKAA NA WATOTO WENU NI RAHISI LAKINI NYINYI KUKAA NA WETU NI ISSUE tena kubwa sana????
 
Back
Top Bottom