Thread Starter
JF-Expert Member
- Mar 16, 2017
- 1,394
- 1,070
Ngum kumeza kwel
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Pole single mazaNi swala la ajabu sana ambalo pengine ukilifukiria unaeza ukasikitika.
Ni kawaida sana wanaume kutuambiwa wana watoto hata watatu na wenyewe kuona kawaida sana bila hata kutushawishi kwamba utaishi na mwanangu.
Yaani wao uchukulia kawaida sana sisi kuishi na watoto wao bila kuuliza chochote na wao huona sinkikwazo chochote na pindi utakapokionesha basi unaonekana Mkatili unaonekana wewe sio mke mwema(JAPO KUNA WANAWAKE HUKATAA ) ila sio wengi.
SASA IJE SISI NDO TUNA WATOTO
Wanaume wengi hukataa kuoa mwanamke mwenye mtoto KWA MSISITIZO na hata kama akikubali husema basi mtoto wako akae kwa bibi au baba ake sijui atawajibika na mambo mengi hapo katikati.
SASA SWALI NI JE KWANINI NYIE MNAONA SISI KUKAA NA WATOTO WENU NI RAHISI LAKINI NYINYI KUKAA NA WETU NI ISSUE tena kubwa sana?