Kwa nini wanaume hamtukubali na watoto

Kwa nini wanaume hamtukubali na watoto

Uzae huko afu mie.ki rahisi tuuu nianze kulea kwanza kwa.stle iyo baba wa mtoto cku akisema mkumbushie utampa tuuuu
 
Life is freedom
Na kwa Africa wanaume weng hatupend kuoa wanawake wenye watoto
Na wanawake wengi wanakubali kulea watoto wasio wao.
Lakini hiyo haimanishi kuwa wanaume wakubali kuoa wanawake wenye watoto.
Ikitokea wamekubaliana kuishi pamoja na watoto wao ...vizuri...
It's just a matter of making choice,but don't make your choice a law everyone must follow.
There is room for everyone to choose his/her favorite partner
 
Kwa nini aage? We unatishika na comment za jf? Hamna kitu....huku mtaani singo mothers wanaolewa kila leo

Acha danganya hapa,
Idadi kubwa ya wanaolewa mtaani sio masingle mother

Na single maza ukiona ameolewa hiyo ndoa mara nyingi hazidumu!
 
Acha danganya hapa,
Idadi kubwa ya wanaolewa mtaani sio masingle mother

Na single maza ukiona ameolewa hiyo ndoa mara nyingi hazidumu!


hekima na busara za wanandoa ndizo zinazofanya ndoa hizo kudumu ama kutodumu.....lakini siyo status......kwamba huyu bikra...huyu kazaa nje....huyu kabila fulani......huyu mbaya......bali ni .....HEKIMA NA BUSARA....

hata mfalme Suleiman aliomba hekima sababu hekima ndiyo chanzo cha mambo mazuri katika maisha yoyote yale ya binadam........
 
Mambo ya tamaduni za Afrika hayo.

Mwanamke ni shamba na mazao ni watoto, hivyo ukitaka kuwa na mwanamke chagua ambaye hajazaa ili upate anayeweza kuzaa watoto wengi na watoto wenyewe wawe wako wa damu.

Afrika watoto ilikuwa ni kitegauchumi cha kufanya kazi za shamba/ ufugaji. Na mtoto wa mwanamme mwingine anaweza kukosa loyalty na kusababisha matatizo katika mtazamo huo.

Unyamwezini (USA) kwa mfano divorcee wengi wanaoana wote wakiwa na watoto in the so called "mixed family".

Wenzetu wanaoana, kwa hiyo wanaingia ndoani kama watu sawa.

Huko kwetu mwanamke anaolewa na mwanamme na kupangiwa maisha.
 
Life is freedom
Na kwa Africa wanaume weng hatupend kuoa wanawake wenye watoto
Na wanawake wengi wanakubali kulea watoto wasio wao.
Lakini hiyo haimanishi kuwa wanaume wakubali kuoa wanawake wenye watoto.
Ikitokea wamekubaliana kuishi pamoja na watoto wao ...vizuri...
It's just a matter of making choice,but don't make your choice a law everyone must follow.
There is room for everyone to choose his/her favorite partner


Haujui Kiingereza!

 
wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake waliozaa sababu ya jamii wanawaongelea vibaya sana hawa ma single mother.........

sasa wanaume inabidi pia muanze kuogopa kuwaoa wanawake ambao wametolewa bikra na wanaume wengine......wanawake ambao walishaonyesha utupu wao kwa wanaume wengine........muanze na hili sasa.... hapa ndiyo tutajua kweli wanaume waoga.......otherwise mnaogopa challenges ambazo zinatatulika tu.........be man enough.....kile ambacho wanaume wengine wanaogopa wew fanya.....tena be positive......utafanikiwa.....
 
Nahitimisha hivi:
Kila mwanaume aoe mwanamke aliezaa nae tu

Mwanaume aliewahi kuzaa kabla hajaoa asioe mwanamke asie na mtoto, aoe ambae nae alizaa kabla.

Wasio na watoto waoane wenyewe kwa wenyewe.
PMU, kujisogeza karibu tuishi zisiwepo.
Usichopenda kufanyiwa usimfamyie mwenzako.
Mabadiliko yanaanza na sisi.

Amina.....
 
wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake waliozaa sababu ya jamii wanawaongelea vibaya sana hawa ma single mother.........

sasa wanaume inabidi pia muanze kuogopa kuwaoa wanawake ambao wametolewa bikra na wanaume wengine......wanawake ambao walishaonyesha utupu wao kwa wanaume wengine........muanze na hili sasa.... hapa ndiyo tutajua kweli wanaume waoga.......otherwise mnaogopa challenges ambazo zinatatulika tu.........be man enough.....kile ambacho wanaume wengine wanaogopa wew fanya.....tena be positive......utafanikiwa.....

Naomba nikupongeze sana sister kwa kulidadavua hili...at least wewe unaanza nishawishi.....
Wengine naona hawana hoja Bali wanatafta tu kujilinganisha na men...

Hili la kuoa bikra hili ngoja nilitafakari maana si la kujibu juu juu???
 
hekima na busara za wanandoa ndizo zinazofanya ndoa hizo kudumu ama kutodumu.....lakini siyo status......kwamba huyu bikra...huyu kazaa nje....huyu kabila fulani......huyu mbaya......bali ni .....HEKIMA NA BUSARA....

hata mfalme Suleiman aliomba hekima sababu hekima ndiyo chanzo cha mambo mazuri katika maisha yoyote yale ya binadam........

Hiyo hekima inapaswa kuombwa kwamba mwanamke apate mume bora na mwanamme apate mke bora, au tuseme kuwa hakuna kitu kinachoitwa zinaa ambayo ndio chanzo cha hayo yote? kama hekima ndio kitulizo kwa wanandoa kwanini mzalishwe bila kuolewa wakati mnataka kuolewa? au wakati mnakubaliana mlikuwa vichaa?
Kiufupi ni kwamba; kila jambo lina athari zake kutokana na kanuni zinazotawala maisha yetu, kwahiyo akisemacho mleta mada ni matokeo ya kiuziasi kanuni hizo.
Heri ya mwaka mpya sister.
 
Last edited by a moderator:
wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake waliozaa sababu ya jamii wanawaongelea vibaya sana hawa ma single mother.........

sasa wanaume inabidi pia muanze kuogopa kuwaoa wanawake ambao wametolewa bikra na wanaume wengine......wanawake ambao walishaonyesha utupu wao kwa wanaume wengine........muanze na hili sasa.... hapa ndiyo tutajua kweli wanaume waoga.......otherwise mnaogopa challenges ambazo zinatatulika tu.........be man enough.....kile ambacho wanaume wengine wanaogopa wew fanya.....tena be positive......utafanikiwa.....

Mimi nimekuelewa sana lakini hilo la kuoa mwanamke aliyezalishwa na mwanaume mwingine inaonekana ni aibu kwa familia ya mwanaume kama unabisha anza kuchunguza kwa ndugu zako uone wanachukuliaje hili suala hasa wazazi wako wewe.
Vijana hawashikiki wala hawaambiliki yakishawatokea ndio wanakuwa wapole wakati ambapo hakuna nafasi ya kubadilisha ama kufuta historia.
Kwa kuwa wanasema kuwa na BOYFRIEND ndio ujanja na usipokuwa naye unaonekana mshamba au mbaya wacha walie tu maana hakuna anayejali.
 
Back
Top Bottom