The mountain lion
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 1,153
- 418
na sisi tukisema hatuwez lea watoto wa wanawake wenzetu????
Mnayo haki kabisa ya kukataa na ni vema kujiepusha na mwanaume aliyezaa ili kuepusha matatizo.
So uamuzi ni wako tu.
na sisi tukisema hatuwez lea watoto wa wanawake wenzetu????
Mnayo haki kabisa ya kukataa na ni vema kujiepusha na mwanaume aliyezaa ili kuepusha matatizo.
So uamuzi ni wako tu.
nashukuru kwa kunielekeza vizuri....
Ni swala la ajabu sana ambalo pengine ukilifukiria unaeza ukasikitika
ni kawaida sana wanaume kutuambiwa wana watoto hata watatu na wenyewe kuona kawaida sana bila hata kutushawishi kwamba utaishi na mwanangu
yaani wao uchukulia kawaida sana sisi kuishi na watoto wao bila kuuliza chochote na wao huona sinkikwazo chochote na pindi utakapokionesha basi unaonekana Mkatili unaonekana wewe sio mke mwema(JAPO KUNA WANAWAKE HUKATAA ) ila sio wengi
SASA IJE SISI NDO TUNA WATOTO
wanaume wengi hukataa kuoa mwanamke mwenye mtoto KWA MSISITIZO na hata kama akikubali husema basi mtoto wako akae kwa bibi au baba ake sijui atawajibika
na mambo mengi hapo katikati
SASA SWALI NI JE KWANINI NYIE MNAONA SISI KUKAA NA WATOTO WENU NI RAHISI LAKINI NYINYI KUKAA NA WETU NI ISSUE tena kubwa sana????
Safi, umezungumzia kulea watoto tu, vp kigegedwa je? We unafikiri watu wanahitaj ndoa kwaa jiri ya watoto tu? Biblia inasema; kwasababu ya zinaa kila mtu awe na mke au mme haijasema watoto. Kuweni makini na maamuzi yenu, hata wanaume tunajishauri kuoa kwasababi ya presure hzo hzo lkn hatuna sababu ya kukwepa changamoto, kabiriana nazo.Mi sijaolewa japo niko above 30 ila kama ningelikuwa na mtoto alafu huyu baba wa mtoto ndio hivyo tena sikogo naye ukweli ni kwamba huyu anayenioa sidhani kama kutakuwa na kuishi kwa amani coz always utamkumbuka mwanao ukute auishi naye kwa huyu mume alafu wewe ni kupika maanjumati mazuri mazuri na kupakulia watoto wa mwenzio uliowakuta wale washibe wkt mwanao huko uliko ujui kama kala nbini leo na kashiba? Hawa wa huyu mwanaume uwezi waondoa coz wako kwa baba yao hata ukifanya vituko baba yao awachuki haisaidii maana iko siku watakuwa wakubwa na baba atakuwa kimoja na wanae. Mimi nashauri mwanamke kama ilitokea ukazaa na mtu na ndio hivyo tena kilichobaki fight life for ur child sio kufight kuolewa maana hakuna la maana zaidi ya kwenda kujitengenezea ugonjwa wa moyo.
kwani wewe huwezi kumla uliezaa nae anytime??
Una akili kama Maria Magdalena...Kwa kawaida inafahamika mwanaume ndo bread winner.....inakuwa ngumu mtu anajituma kutafuta pesa ili atunze mtoto wa mwanaume mwenzie lakini yeye akiwa na mtoto anachukulia simple kwa sababu pesa anatafuta yeye we mwanamke huwezi kuwa na sauti sana
Mi sijaolewa japo niko above 30 ila kama ningelikuwa na mtoto alafu huyu baba wa mtoto ndio hivyo tena sikogo naye ukweli ni kwamba huyu anayenioa sidhani kama kutakuwa na kuishi kwa amani coz always utamkumbuka mwanao ukute auishi naye kwa huyu mume alafu wewe ni kupika maanjumati mazuri mazuri na kupakulia watoto wa mwenzio uliowakuta wale washibe wkt mwanao huko uliko ujui kama kala nbini leo na kashiba? Hawa wa huyu mwanaume uwezi waondoa coz wako kwa baba yao hata ukifanya vituko baba yao awachuki haisaidii maana iko siku watakuwa wakubwa na baba atakuwa kimoja na wanae. Mimi nashauri mwanamke kama ilitokea ukazaa na mtu na ndio hivyo tena kilichobaki fight life for ur child sio kufight kuolewa maana hakuna la maana zaidi ya kwenda kujitengenezea ugonjwa wa moyo.
Safi, umezungumzia kulea watoto tu, vp kigegedwa je? We unafikiri watu wanahitaj ndoa kwaa jiri ya watoto tu? Biblia inasema; kwasababu ya zinaa kila mtu awe na mke au mme haijasema watoto. Kuweni makini na maamuzi yenu, hata wanaume tunajishauri kuoa kwasababi ya presure hzo hzo lkn hatuna sababu ya kukwepa changamoto, kabiriana nazo.
Halafu watu hawa hawa mnamsifu Diamond kwa Zari mzee mwenye watoto watatu! Why double standard?
Kwa nini nioe mwanamke mwenye mtoto?!!!Kwangu hii ni sababu tosha ya kumdisqualify kuwa mke wangu.
Yaani hata awe mzuri zaidi ya Cleopatra kama ana mtoto tayari siwezi oa.
Ni swala la ajabu sana ambalo pengine ukilifukiria unaeza ukasikitika
ni kawaida sana wanaume kutuambiwa wana watoto hata watatu na wenyewe kuona kawaida sana bila hata kutushawishi kwamba utaishi na mwanangu
yaani wao uchukulia kawaida sana sisi kuishi na watoto wao bila kuuliza chochote na wao huona sinkikwazo chochote na pindi utakapokionesha basi unaonekana Mkatili unaonekana wewe sio mke mwema(JAPO KUNA WANAWAKE HUKATAA ) ila sio wengi
SASA IJE SISI NDO TUNA WATOTO
wanaume wengi hukataa kuoa mwanamke mwenye mtoto KWA MSISITIZO na hata kama akikubali husema basi mtoto wako akae kwa bibi au baba ake sijui atawajibika
na mambo mengi hapo katikati
SASA SWALI NI JE KWANINI NYIE MNAONA SISI KUKAA NA WATOTO WENU NI RAHISI LAKINI NYINYI KUKAA NA WETU NI ISSUE tena kubwa sana????
Aisee kwa coment hizi kama mtu ana mtoto ajaolewa
AAGE MASHINDANO
Kukaa na mtoto wa mwanaume mwenzako sio kitu rahisi, na pia si jambo rahisi kwa mwanaume kuacha mtoto wake akaishi kwa baba mwingine hata kama alimbebesha mimba mwanamke bila mategemeo ya kumuoa.
Kwa nini aage? We unatishika na comment za jf? Hamna kitu....huku mtaani singo mothers wanaolewa kila leo
Kwa nini aage? We unatishika na comment za jf? Hamna kitu....huku mtaani singo mothers wanaolewa kila leo