KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,905
- 40,122
Mbona hata nyie mnawachukia watoto wetu..na mnaishi nao kishingo upande na kwa mateso makali........
weee! Thubutu yako! Yaan nitengane na wazaz wangu kwasababu ya mwanamke ambaye hakuujali uanamke wake?
Siwezi kuwatemea mate wazaz kiivyo. Sku mkianza kukumbushia na huyo mzaz mwenzako mm ntapumulia wapi?
Mfano kuna rafiki angu nimekua nae na kwa sasa anajishughulisha na biashara hapa Dar, ki umri ni miaka 28 ivi ila mpaka sasa sijamwelewa maamuz yake maaana anaishi na mwanamke aliyemzidi ki umri na anawatoto wa5 ivi ambao co wa mshikaji
Upepo tu huo.
Mangapi mnayatenda na hamuyaoni?
Unaniletea mwanamke mpaka kitandani, nimekaa kimya.
Ila kwenye chaguzi sie mawifi wabaya
Madame B hakuna na hakitatokea kitu kifanye mm nichukie ndugu zangu hivyo...
Na hii roho nimeitoa kwa my mom na Mzee huyu wa sasa.
My mom baada ya Mzee kufariki,ndugu wa baba walimnyang'anya kila kitu mama mpaka kijiko alichopewa kwao wakati wa send off...life was tough but she stood still na alipokutana na huyu Mzee mambo yakawa mazuri walau....accounts za bank watu wakajimilikisha(my dad was somehow rich)
Lakini kama wasemavyo waswahili "mtegemea cha ndugu hufa masikini" pamoja na hayo yote bado tuko close na ndugu hao na wengine mm binafsi nimewahudumia wakiwa wagonjwa mpaka mauti yanawakuta.....na most ya walioshupalia unyanyasaji wa mama mjane walikua wifi zake mama na mama mkwe wake,lakini huwezi amani my mom still helps them awezavyo.
So Madame B kwa scenario hiyo kidogo hapo juu unadhani naanzaje labda kusema eti nimependa mpaka niache msikiliza mwanamke aliyenitoa that far kisa mapenzi????
Pia naomba nikueleweshe kidogo.....falling deeply in love doesn't mean you've to do stupid things.....kwamba nikiacha msikiliza mama kwaajili yako ndo nakupenda,no huo ni undezi.
Unataka niujali uanamke wangu kivipi?
Kama nilibakwa wakati natoka chuo je?
....kukumbushiana kupo, hata kama sio kwa baba yake.
Madame B lakn hayo niliyoongea hapo ni uongo? Hamyata
hamyatendi kwa mawifi zenu?
Achana na habar ya kukuletea mwanamke kitandan kwasababu hata mm sikukuta bikra
ewaa! Sasa hapo ndio tunasema kila mtu aubebe mziko wake mwenyew,, usisingizie kubakwa kwan wote wenye watoto walibakwa?
Tumeanza uchumba ukijua kuwa sina bikira, kwa hiyo umejua leo?
Kwanini usinikatae tangu awali....
Kumbuka mpenzi uliyemtoa bikra ni mke wa fulani kama vile mkeo alivyotolewa na mwingine.
Kama wewe mwanaume uamkaripia mkeo mbele ya dada zako, unategeme heshima itakuwepo?
Basi na kama ndo hivo.....ukinikuta na mtoto lea, sitaki ngonjera zako
Mwanamke huyoo ana Pesa????
Kama anapesa pigia mstari
Mie mwanaume nilienae, amempokea mwanangu tangu yuko tumboni na mpaka leo hii ana 7 years niko nae mpaka mwanangu anajua kuwa yule baba yake....
Ila ngoma iko upande mwingine....mawifi waliweka ngumu, lakini mwisho wa siku, ilibidi wakubali matokeo maana wakinikuta nami kisiki cha mpingo.
Ila masai dada, MAWIFI na MAMA WAKWE NDO TATIZO.
mimi siwezi kulea bao la mwenzangu
Huyu mjomba wangu alikubali kuoa.lakini harusi yake hakuna ndugu yake aliyehudhuria.inahitaji ujasiri sana
Ndugu yangu angekua hata na elfu 50 nisingwshangaa... choka mbaya na jamaa ndo kampangia watoto wake chumba chao na yeye na huyo mama chumba chao.. na mtoto wa kwanza na wa pili wa Huyo mama jamaa anaweza oa kabisa
mimi hata ndugu asipokuja hainizuii kuendelea na chaguo langu maisha ni ya watu wawili na sio hao ndugu kwani hata wakija wataongeza nini au kupunguza?
ewaa!! Huo ndio mtihan tunaopata hata sisi.
Nafikiria mengi kuwa nikioa mwanamke mwenye mtoto atapata tabu tu, najua mm peke yake ndio ntakuwa msaada kwake wala sio wifi zake wala mama mkwe wake,.
Huyo mwanamke lazma atachukiwa na ndg zangu wote, kunaleo na kesho labda mm nmesafiri ile safar ya kudumu basi mkew wangu atakuwa kinyago mbele za mawifi zake atakuwa mtu mwenye kutukana na kutengwa. Sasa kwann tufikie huko? Soln ni kuoa asiye na mtoto
Mmmh kuna namna hapo sio bure
Khantwe embu nipe ile password yake alafu mwache aje kwanguusinitanie?? Ntamwita miss chagga akusaidie kuloweka mshipa ohoo