Hii inawahusu sana wanaume wa kichaga....mbadilike.
Nimeshajionea kwa rafiki zangu kama 3.
Wachaga hawakubali watoto atakaowakuta nao mwanamke.
Ila wazaramo...nawapa hongera
Sasa kwanini wa kwako uliezaa na mamaafacebook namlea (natania) ila mie niliezaa na TANMO hutaki kumlea?
Ila MO11....hiyo kasumba imepitwa na Wakati, kama unanipend mimi, kwanini uchukie mtoto ulienikuta nae?
Kama ukimchukia mwanangu...jua utanikosa.
Huo ni ubaguzi mkubwa
Madame B utajiskiaje utakapomuona kaka yako ndio katoka kumaliza chuo na ameanza kufanya kazi na anamwaka mmoja kazn anakuletea wifi mwenye mtoto na wakat huo yeye hajawahi kuwa na mtoto?
....... Hapa ongea ukweli uliondan ya moyo.....
mimi sikubali kabisa mwanamke aliezaa full stop......sasa mwingine unakubali mwanamke mwenye mtoto halafu huyo mtoto humkubali huko ni kutokujitambua utaweza vipi kumtenganisha mwanamke na mtoto wake?? worse case scenario baba wa mtoto lazima ahusike hapo! ndio maana mimi mwanamke aliezaa....NO NO NO!
Sasa kwanini wa kwako uliezaa na mamaafacebook namlea (natania) ila mie niliezaa na TANMO hutaki kumlea?
Ila MO11....hiyo kasumba imepitwa na Wakati, kama unanipend mimi, kwanini uchukie mtoto ulienikuta nae?
Kama ukimchukia mwanangu...jua utanikosa.
Huo ni ubaguzi mkubwa
Madame B utajiskiaje utakapomuona kaka yako ndio katoka kumaliza chuo na ameanza kufanya kazi na anamwaka mmoja kazn anakuletea wifi mwenye mtoto na wakat huo yeye hajawahi kuwa na mtoto?
....... Hapa ongea ukweli uliondan ya moyo.....
Nafikiri hata wanawake wenyewe mnachangia hili suala kwa kiasi kikubwa sana hapa namaanisha Dada zetu na mama zetu.
Nakutolea mfano,shangazi yangu(Dada Wa baba) alipendwa na mjomba na wakaanza kuishi wote kabla ya kufunga ndoa.lakini shangazi yangu alikuwa ameshazaa na mwanamme mwingine.amini husiamini mama mkwe wake na mawifi zake walimchukia sana kisa kwanini kaka yao amemchumbia mwanamke mwenye mtoto.nakumbuka ilibidi yule mtoto Mimi namwita binamu baba yangu amchukue tuishi naye lakini chuki hazikuisha kwa shangazi yangu.
Kwa kuwa dada yangu umesema WANAUME,bhasi naomba nijibu swali kwa swali kama mwanaume ambae niko included humo...
Kwann mwanamke anaongezeka thamani na kuonekana wa maana sana endapo atajitunza mpaka wakati wa kuolewa????
ila lako unataka lilelewe si ndio??
mmmh mada ngumu hii
honey mtoto n mtoto sikatai mwache atsaidie kulea banaHuyu wa mamaafacebook nitamrudisha kwa mama yake mama yake bado hajaolewa ila huyo TANMO mpeleke kwa baba yake
halafu nani alikwambia yule mtoto ni wa mamaafacebook nilificha ili usijue
Yani nimlee mtoto wa mwenzangu halafu aje kumwangalia mwenye mtoto nami nipo job je wakijikumbushia mambo yetu yaleeee inakuaje
mimi siwezi kulea bao la mwenzangu
mimi sikubali kabisa mwanamke aliezaa full stop......sasa mwingine unakubali mwanamke mwenye mtoto halafu huyo mtoto humkubali huko ni kutokujitambua utaweza vipi kumtenganisha mwanamke na mtoto wake?? worse case scenario baba wa mtoto lazima ahusike hapo! ndio maana mimi mwanamke aliezaa....NO NO NO!
hili liinaweza kuchangia
Kwamba mama na ma wifi wataona kwa kuwa kaka yetu kaoa mwanamke mwenye mtoto basi ji looser si ndio
ILA WEWE KAMA MWANAUME WHY URUHUSU NDUGU WAINGILIE MAAMUZI YAKO???
kwaninumewaolea wao??