Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,712
Kuliko wewe miss chaga
Nina mtoto mmoja, njoo unifanyie nusra
Kuliko wewe miss chaga
Sasa kwanini wa kwako uliezaa na mamaafacebook namlea (natania) ila mie niliezaa na TANMO hutaki kumlea?
Ila MO11....hiyo kasumba imepitwa na Wakati, kama unanipend mimi, kwanini uchukie mtoto ulienikuta nae?
Kama ukimchukia mwanangu...jua utanikosa.
Huo ni ubaguzi mkubwa
Honey acha wivu bwana usaidiwe majukumu
Na ndio maana rate ya divorce now ni kubwa than ever,
Rate ya kesi za mahusiano zilizoko mahakamani ni kubwa kuliko zamani.
Rate ya vifo vya sababu ya mapenzi ni kubwa kuliko zamani.
Rate ya mabifu mengi sio pesa Bali mapenzi
Sababu ni nn??ujuaji...... We think we know better than them parents.
Ewaaaa....nilikua naendelea wewe umeniwahi......wanaume mara nyingi huwa hawana tatizo kabisa ila sasa wanawake hiyo midomo itasemwa mpaka ndoa itavunjika...
Mfano hata staa wetu kaamua kutoka na mwanamke mwenye watoto watatu na ukitazama most ya watu wanaoponda ni women....
Nilitaka kumuuliza hili swali masai dada kwann
Duu!!! Wanaume ni wabinafi sana kwani Mimi nalea watoto 3 wa mwenzangu na wanatabia za ajabu mfano wananiibia nguo, ela na kuwapelekea mama Zhao then kibaya zaidi huyo mwanaume anawasiliana na mke aliyezaa naye. Nikimuuliza ananijibu eti wanawasiliana kwa ajili ya watoto. Imenichosha sana na wanapigiana simu wakati wa usiku tukiwa tumelala.
Asilimia kubwa wanaume wanakua na misimamo... wakishaumizwa hawarudi tena
Msitubebeshe mizigo jamani.
Wangapi wametengwa mpaka wewe uogope?
Vaa mabomu ujilipue
chanzo ugomvi dhid ya wanawake wenye watoto kuolewa.
1. Huwez kukubali kaka yako aoe mke mwenye mtoto wakat yeye hajawahi kuoa wala kuwa na mtoto
2. Ndio chanzo cha ugomvi na wake zetu. Huwez kuishi na wifi yako kwa mda wa mwaka mmoja bila kugombana.
3. Mmejaa nyodo, kejeli na dharau kwa mawifi zenu hasa kama kaka yako ni tajiri na hasa kama hawajatafuta wote.
4. Kivumbi na jasho ni pale wifi yako hajashika mimba mnaanza mitusi kibao.
Yaan nyinyi wanawake sijui mna roho gan
Mtoto sio wangu,mpelekee mwenyewe,siwezi kutunza familia ya mtu labda awe amekufa
Jamii itasema vibaya kwa mwanaume kuoa mwanamke ambaye tayar ana mtoto/watoto......Ngoma dro kama wote mtakua mna watoto nje
ki ukweli wanaume wawe na misimamo
maana hata kama kaoa mwanamke asie na mtoto
Mafiwi watasema mbona
HANA MATTAKO MAKUBWA
MBONA HANA NYWELE NYINGI
and the like ifikie hatua mwanaume asimame kama mwanaume
kwani anamuolea nani??
kila mtu akitoa kigezo chake patakalika??wifi aseme anataka nyonyo,mama aseme anataka fig no 9
waat
kuumizwa kivipi
usinitanie?? Ntamwita miss chagga akusaidie kuloweka mshipa ohoo
ki ukweli wanaume wawe na misimamo
maana hata kama kaoa mwanamke asie na mtoto
Mafiwi watasema mbona
HANA MATTAKO MAKUBWA
MBONA HANA NYWELE NYINGI
and the like ifikie hatua mwanaume asimame kama mwanaume
kwani anamuolea nani??
kila mtu akitoa kigezo chake patakalika??wifi aseme anataka nyonyo,mama aseme anataka fig no 9
waat
Kwa sababu Wanaume wa Tanzania woote ni wanaume suruali tu labda na mkanda basi, zaidi hapo hamna kitu, na hiyo ni mpaka raisi wa nchi!
Madame B hakuna na hakitatokea kitu kifanye mm nichukie ndugu zangu hivyo...Hujapenda weweeeeee.....
Na yaonesha bado uko single.
Watu wanavua undugu kisa mapenzi...itakuwa mimi
Hizo ratio zimetoka kwenye akili ya binadamu kama sisi tu, hazijatoka mbinguni.
Hivyo zaweza kuaminika au laaaaaaa kutoka na maslahi yao.
Madame, umewakilisha kundi kubwa la wanawake!! Hiyo ndiyo hali halisi, wanaume mara nyingi huwa hatuna hayo matatizo ya kiviiile!! Hata angalia mahusiano ya Zari mwenye watoto watatu na Diamond wanaopinga sana yale mahusiano ni wanawake!!
Wanawake mpo nyuma maasi mengi ya wanaume ila hamjioni tu!!