Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Biashara zipo nyingi za mtaji mdogo, ni wewe tu.

1. Kutembeza maji na juice Stand.
2. Kufungua goli la nguo za watoto.
3. Kufungua kijiwe cha uji na karanga.
4. Kufuga kuku wa kienyeji.
5. Kufungua genge la nyanya, vitunguu, viazi mviringo, ndizi, karot, hoho e.t.c.
6. Kununua na kuuza mayai.
7. Kununua toroli na madumu na kusambaza maji(kwa maeneo yenye shida ya maji).
8. Kutembeza vifaa vya simu na umeme.
9. Kuchoma mishikaki na dizi(kama huwezi unaajiri kijana anayeweza).
10.Kijiwe cha chipsi.
11. Kutembeza Viatu vya kike/kiume.
12. Kuandaa vitafunio vya chai kama, maandazi, chapati na vitumbua(wape vijana watembeze).
13. Kama upo kanda ya ziwa nunua na kuuza samaki.
14. Nunua deri halafu tengeza barafu uuze shule za msingi.
15. Point na utembeze nguo za wanawake
16. Tembeza viungo vya pilau na chai like mdalasini, iriki, pilau masala, royco e.t.c.
17. Fungua genge la matunda.
18. Funga ubuyu, karanga, ufuta, tambi e.t.c then uza shule za msingi.
19. Tengeza kabati la sambusa, uanze kutembeza sambusa hasa maeneo ya stand.
20. Nunua na kuuza mkaa.

Kila Lakheri.
 
Biashara zipo nyingi za mtaji mdogo, ni wewe tu.

1. Kutembeza maji na juice Stand.
2. Kufungua goli la nguo za watoto.
3. Kufungua kijiwe cha uji na karanga.
4. Kufuga kuku wa kienyeji.
5. Kufungua genge la nyanya, vitunguu, viazi mviringo, ndizi, karot, hoho e.t.c.
6. Kununua na kuuza mayai.
7. Kununua toroli na madumu na kusambaza maji(kwa maeneo yenye shida ya maji).
8. Kutembeza vifaa vya simu na umeme.
9. Kuchoma mishikaki na dizi(kama huwezi unaajiri kijana anayeweza).
10.Kijiwe cha chipsi.
11. Kutembeza Viatu vya kike/kiume.
12. Kuandaa vitafunio vya chai kama, maandazi, chapati na vitumbua(wape vijana watembeze).
13. Kama upo kanda ya ziwa nunua na kuuza samaki.
14. Nunua deri halafu tengeza barafu uuze shule za msingi.
15. Point na utembeze nguo za wanawake
16. Tembeza viungo vya pilau na chai like mdalasini, iriki, pilau masala, royco e.t.c.
17. Fungua genge la matunda.
18. Funga ubuyu, karanga, ufuta, tambi e.t.c then uza shule za msingi.
19. Tengeza kabati la sambusa, uanze kutembeza sambusa hasa maeneo ya stand.
20. Nunua na kuuza mkaa.

Kila Lakheri.

Kijiwe cha chipsi kinatumia kama shingap
 
MMASAI OG FASHION SHOES
Tunauza simple slippers kali za kimasai kwa bei ya kiwandani jumla na rejareja
Jumla ni shilingi 5000 tu
Reja reja ni shilingi 7000 tu
Tunapatikana Dar es Salaam
Mikoani pia Tunatuma mpka ulipo
Wasiliana nasi call/txt/whatsap 0672904720
Karibuni sana.....
 

Attachments

  • images (19).jpeg
    images (19).jpeg
    24.1 KB · Views: 16
  • 366304_sapromasai-slipperz-20200706-200700-1_1080x1350.jpg
    366304_sapromasai-slipperz-20200706-200700-1_1080x1350.jpg
    144.2 KB · Views: 16
  • images (8).jpeg
    images (8).jpeg
    20.5 KB · Views: 16
  • IMG-20200623-WA0015.jpg
    IMG-20200623-WA0015.jpg
    47.6 KB · Views: 15
  • IMG-20200623-WA0024.jpg
    IMG-20200623-WA0024.jpg
    50.2 KB · Views: 16
Habari zenu wakubwa wa humu mimi ni kijana wa miaka 20 nimejaribu kuja town (Mwanza) kupambana ila maisha ya hapa kidogo naona kama hayana mwelekeo nimeamua nirudi Kijijini Karagwe murshaka na kwa sasa nina laki mbili tuu naomba kwa anaefahamu hayo mazingira/ au kwa hata asiefahamu anipe wazo linaloweza niimarisha kidogo.

Wazo langu nililo liwaza ni niende nitengeneze banda la kuku ninunue kuku wa 150k baada ya kama miezi 6 nianze kuwa naleta kuku mjini na kuuza.

Mwenye mbinu /uchambuzi na msaada zaidi naomba mnipe mawazo.

Nitashukuru kwa michango ya mawazo yenu.
 
Wazo lako ni zuri pia, Vijana wengi tunashindwa kujikita ktk biashara kwa kutaka kuanza Pakubwa bila kuptia padogo kwanza... Mi npo Dsm mtaji wa laki 2 nlianza kununua kuku wa kienyej kifaranga k1 elfu 20 * 50 ...

Hawana gharama kama kuku wa kizungu, nahisi gharama kubwa zaid ni eneo tu kama upo ugenini... ila now yapo mpk mabanda ya kukodi kufugia kuku inategmea na Ulipo ila inaweza kua gharama zaid kwa mtaji mdogo.
 
Ulifikiria magonjwa labda ya kuku?chanjo na chakula? Ushauri anza kujihusisha na biashara ya mazao kma utaweza Ila kwa pesa yko you have to work hard.
 
Wazo lako ni zuri pia, Vijana wengi tunashindwa kujikita ktk biashara kwa kutaka kuanza Pakubwa bila kuptia padogo kwanza... Mi npo Dsm mtaji wa laki 2 nlianza kununua kuku wa kienyej kifaranga k1 elfu 20 * 50 ... Hawana gharama kama kuku wa kizungu, nahisi gharama kubwa zaid ni eneo tu kama upo ugenini... ila now yapo mpk mabanda ya kukodi kufugia kuku inategmea na Ulipo ila inaweza kua gharama zaid kwa mtaji mdogo.
Kwa wasio na fensi nyumba uswahilini.
 
Wazo lako ni zuri pia, Vijana wengi tunashindwa kujikita ktk biashara kwa kutaka kuanza Pakubwa bila kuptia padogo kwanza... Mi npo Dsm mtaji wa laki 2 nlianza kununua kuku wa kienyej kifaranga k1 elfu 20 * 50 ...

Hawana gharama kama kuku wa kizungu, nahisi gharama kubwa zaid ni eneo tu kama upo ugenini... ila now yapo mpk mabanda ya kukodi kufugia kuku inategmea na Ulipo ila inaweza kua gharama zaid kwa mtaji mdogo.
asante
 
Kwa Sasa huko Ni msimu wa kuvuna kahawa, nenda kwa wakulima mashambani nunua kahawa alafu uje uhuze kwa wafanyabiashara wa kati au wakubwa. Ukiuza unarudi Tena kununua mashamban, kadiri unavyouza na kupata faida unakuwa unaongeza mzigo. Mpaka msimu unakija kuisha utakuwa umeshaongeza mtaji wako, hapo unaweza kuhamia kwenye biashara nyingine.
 
Kwa Sasa huko Ni msimu wa kuvuna kahawa, nenda kwa wakulima mashambani nunua kahawa alafu uje uhuze kwa wafanyabiashara wa kati au wakubwa. Ukiuza unarudi Tena kununua mashamban, kadiri unavyouza na kupata faida unakuwa unaongeza mzigo. Mpaka msimu unakija kuisha utakuwa umeshaongeza mtaji wako, hapo unaweza kuhamia kwenye biashara nyingine.
Inakuwaje hii na Mtaji unakuwaje 100,000 inatosha.
 
Back
Top Bottom