Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Mtalaamu wa cost analysis atuongezee uelewa hapa juu ya gharama za kununua mahindi na kuyapeleka kwenye mashine ya kusaga. Gharama za Kuyakoboa, gharama za mashine ya kufungasha na vifungashio pia, gharama za usambazaji, gharama za vibarua wasiozidi watano, na gharama zingine pia. KARIBUNI
 
Mura....
amang'ana ghao weito?
Sikiliza nikwambie vizuri kitu. Mimi ni mwenyeji wa mwanza, japo kwa sasa naishi mkoa mwingine.
Kuna mjasiriamali mmoja hapo mwanza ambaye aliongoza Nchi nzima katika mid size growing industries, anashughulika na uzalishaji na usambaji wa unga, nadhani kampuni yake iko Ilemela, inaitwa KIPIPA MILLERS.
Hii kampuni tata ilianza na mtaji wa Tshs milioni moja na nusu miaka zaidi ya 14 iliyopita.
.................................
Sasa tata, huyu kama alianza na mtaji wa 1.5m na sasa anamiliki zaidi ya Tshs bilioni 5, wewe unashindwa nini?
Mimi naye nina wazo hili hili na mengine mengi tu. Nakushauri, anza kwanza kukuza mtaji angalau ufikie milioni 2 hivi kwa sababu moja, hiyo laki nne ni sawa na gharama za kusaka mashine ya kufungia mifuko, kutengeneza lebo, kulipa vibarua wachache utakaokuwa nao, umeme, usafirishaji na mengine kem kem!!!
................
Mdau Conq'ueror, bila shaka atakuwa anazijua ofisi za Makusanya pale Mwaloni Kirumba, hawa nao nimewaona toka mwaka 2004 wakifanya shughuli za usagaji na upakiaji wa nafaka mbali mbali kama mahindi na mpunga, mtafute tu kwa wema atakusaidia, ila kuwa makini usiingie gharama za ziada.
.....
Sasa tata, usiwe mvivu wa kuingia google kujitafutia malighafi za kusoma. Hii ni historia ya huyo kipipa, ilishanivutia kwa kweli...
‘Nilianza na Sh1.5 milioni sasa napata Sh5 bilioni’ - Makala

Tata vipi kwa kununua unga ulosagwa tayari na kufungasha kisha kusambaza kwa hiyo hela haitatosha kuanzia.
 
Last edited by a moderator:
Tata vipi kwa kununua unga ulosagwa tayari na kufungasha kisha kusambaza kwa hiyo hela haitatosha kuanzia.

Tata!
Ngoja nikupe wazo zuri tata. Unajua tata haya mambo yanahitaji sana maandiko! Maandiko ninayoyazungumzia hapa ni pamoja na ukusanyaji wa taarifa juu ya watakaokuwa wateja wako wakubwa, competitors wako tata unatakiwa uwajue ili uendane nao, bei za soko na mabadiliko yake unatakiwa uzijue vile vile ili usije ukaenda kinyume na ukapata hasara tata.
Tatat katika mambo ya biashara na uchumi, kuna vitu ambavyo ni lazima uingie gharama kwa mfano, gharama ya usafirishaji na usambazaji, gharama za manunuzi ya vifaa vya kupakizia na mengineyo chungu nzima.
Sasa tata kwa mujibu wa mtaji ulionao, fanya kwanza mambo yafuatayo bila gharama kwanza:
  • Fanya utafiti juu ya upatikanaji wa bidhaa yenyewe...
  • Fanya utafiti juu ya soko unalotegemea kuhudumia hapo baadae
  • Fanya utafiti juu ya gharama za mwanzo utakazoingia kama umeamua kuanza kununua na kusambaza mwenyewe
  • Fanya utafiti juu ya mabadiliko ya bei zao hili unalotaka kuliingilia katika biashara.
Tata, hakuna biashara isiyo kuwa na MPANGO WA BIASHARA DUNIANI. HAIPO NAKWAMBIA! mpango wa biashara ndiyo ufunguo pekee unaokuonesha mtaji wako tarajio utakuwa ni kiasi gani.
Mpango wa biashara (Business Plan) tata una faida kuu tatu:
  • Kwanza unakuonesha mtaji (Expected capital) wako utakuwa ni kiasi gani bila hata wewe mwenyewe kuumiza sana kichwa.
  • Pia business plan itakuonesha Makadirio ya mapato (Revenue generation) katika kipindi chote utakachokuwa katika uzalishaji wako
  • Business Plan itakuonesha pia Return on investment itakuwa ni kiasi gani kutokana na mtaji ulioingiza katika biashara yako.
Kuwa makini tata, biashara za sasa sio zile za kusema eti hizi ni za wachaga wala wakinga pekee, hapana. Business is the matter of following principles, Unafanikiwa!
 
Tata!
Ngoja nikupe wazo zuri tata. Unajua tata haya mambo yanahitaji sana maandiko! Maandiko ninayoyazungumzia hapa ni pamoja na ukusanyaji wa taarifa juu ya watakaokuwa wateja wako wakubwa, competitors wako tata unatakiwa uwajue ili uendane nao, bei za soko na mabadiliko yake unatakiwa uzijue vile vile ili usije ukaenda kinyume na ukapata hasara tata.
Tatat katika mambo ya biashara na uchumi, kuna vitu ambavyo ni lazima uingie gharama kwa mfano, gharama ya usafirishaji na usambazaji, gharama za manunuzi ya vifaa vya kupakizia na mengineyo chungu nzima.
Sasa tata kwa mujibu wa mtaji ulionao, fanya kwanza mambo yafuatayo bila gharama kwanza:
  • Fanya utafiti juu ya upatikanaji wa bidhaa yenyewe...
  • Fanya utafiti juu ya soko unalotegemea kuhudumia hapo baadae
  • Fanya utafiti juu ya gharama za mwanzo utakazoingia kama umeamua kuanza kununua na kusambaza mwenyewe
  • Fanya utafiti juu ya mabadiliko ya bei zao hili unalotaka kuliingilia katika biashara.
Tata, hakuna biashara isiyo kuwa na MPANGO WA BIASHARA DUNIANI. HAIPO NAKWAMBIA! mpango wa biashara ndiyo ufunguo pekee unaokuonesha mtaji wako tarajio utakuwa ni kiasi gani.
Mpango wa biashara (Business Plan) tata una faida kuu tatu:
  • Kwanza unakuonesha mtaji (Expected capital) wako utakuwa ni kiasi gani bila hata wewe mwenyewe kuumiza sana kichwa.
  • Pia business plan itakuonesha Makadirio ya mapato (Revenue generation) katika kipindi chote utakachokuwa katika uzalishaji wako
  • Business Plan itakuonesha pia Return on investment itakuwa ni kiasi gani kutokana na mtaji ulioingiza katika biashara yako.
Kuwa makini tata, biashara za sasa sio zile za kusema eti hizi ni za wachaga wala wakinga pekee, hapana. Business is the matter of following principles, Unafanikiwa!

sawa tata umenena vyema nimeupata ushauri wako.
 
nakupa ushauri ndg, unapotaka mafanikio ni lazma upambane sana tu. ww unaonekana kuwa unataka kufanya biashara nzuri lakn vitu vingi unauliza bila kufight mwenyewe. kwa huo mtaji wako huwez kufuata mahindi vijijini kwa kukodisha gari, labda upate washirika muwe pamoja. tafuta sehemu wanapoingiza mzigo kwa semi ununue hapo gunia nne ambazo zitakugharimu kama laki mbili then nenda sehemu za uswahilini zenye wakaz wengi ukaanze kusaga sembe na kuuza kwa bei ya punguzo hata la sh 500 kwa kiroba huku ukiboresha quality utapata wateja wengi tu. vidole vinauma kutaipu
 
Nimekupata mzalendo, asante sana kwa ushauri wako.
nakupa ushauri ndg, unapotaka mafanikio ni lazma upambane sana tu. ww unaonekana kuwa unataka kufanya biashara nzuri lakn vitu vingi unauliza bila kufight mwenyewe. kwa huo mtaji wako huwez kufuata mahindi vijijini kwa kukodisha gari, labda upate washirika muwe pamoja. tafuta sehemu wanapoingiza mzigo kwa semi ununue hapo gunia nne ambazo zitakugharimu kama laki mbili then nenda sehemu za uswahilini zenye wakaz wengi ukaanze kusaga sembe na kuuza kwa bei ya punguzo hata la sh 500 kwa kiroba huku ukiboresha quality utapata wateja wengi tu. vidole vinauma kutaipu
 
Ukitaka mashine ninayo aina ya vigex bag sewing mashine kwa bei ya laki 320 tu.duka langu lipo rwagasore plaza duka la katikati
 
Tata vipi kwa kununua unga ulosagwa tayari na kufungasha kisha kusambaza kwa hiyo hela haitatosha kuanzia.

Hiyo kitu haitakusaidia.Aliyenunua mahindi na kusaga atakuuzia kwa faida.Pili,parking ni gharama inayojitegemea ambayo inasumbua wajasiriamali wengi.Fikiria kusaga mwenyewe!
 
Mdau Conq'ueror, bila shaka atakuwa anazijua ofisi za Makusanya pale Mwa
Sokoro waito na mura mwomba ushauri,
1.(i)Pale mwaloni baadhi ya mashine wana gharama kubwa na ukoboaji wao na kusaga ni wa kulipua(afanye utafiti).(ii)Achague sample ya unga unaopendwa sokoni ili alenge kuzalisha unalingana au kuzidi.
2.Kuhusu parking ni bora ajue kwanza ni wepi watakuwa wateja wake wa kwanza(zinaweza kutofautiana kulingana na wateja walengwa).
3.Soko:(a)Wakati anaanza kuuza atembelee maduka ya rejareja. (b)Alenge kuuza jina kwanza,bidhaa itafuata. (c)Wateja wawe kama ndg,ikiwezekana hata nje ya biashara k.m msiba n.k(d)Awe mwepesi kupatikana kwa wateja wake muda wote. (d)Afuatilie bidhaa aliyouza tayari kama anavyofuatilia mchumba mpya. (e)Mabadiliko ya bidhaa mbovu dukani yafanywe.(f)Ajifunze lugha nzuri,mwepesi wa kujenga urafiki na kuepuka hisia za siasa,dini wakati wa kazi ili kutokwaza wateja.
HIYO NI KWA UFUPI:
KUMB:UNAWEZA KUUZA ICECREAM ICE LAND.UAMUZI UNAO MWENYEWE. MKORERE BHUYA
 
Last edited by a moderator:
nakupa ushauri ndg, unapotaka mafanikio ni lazma upambane sana tu. ww unaonekana kuwa unataka kufanya biashara nzuri lakn vitu vingi unauliza bila kufight mwenyewe. kwa huo mtaji wako huwez kufuata mahindi vijijini kwa kukodisha gari, labda upate washirika muwe pamoja. tafuta sehemu wanapoingiza mzigo kwa semi ununue hapo gunia nne ambazo zitakugharimu kama laki mbili then nenda sehemu za uswahilini zenye wakaz wengi ukaanze kusaga sembe na kuuza kwa bei ya punguzo hata la sh 500 kwa kiroba huku ukiboresha quality utapata wateja wengi tu. vidole vinauma kutaipu

Mkuu acha uvivu wa kutema madini mkuu...tupe madin
 
Mdau Conq'ueror, bila shaka atakuwa anazijua ofisi za Makusanya pale Mwa
Sokoro waito na mura mwomba ushauri,
1.(i)Pale mwaloni baadhi ya mashine wana gharama kubwa na ukoboaji wao na kusaga ni wa kulipua(afanye utafiti).(ii)Achague sample ya unga unaopendwa sokoni ili alenge kuzalisha unalingana au kuzidi.
2.Kuhusu parking ni bora ajue kwanza ni wepi watakuwa wateja wake wa kwanza(zinaweza kutofautiana kulingana na wateja walengwa).
3.Soko:(a)Wakati anaanza kuuza atembelee maduka ya rejareja. (b)Alenge kuuza jina kwanza,bidhaa itafuata. (c)Wateja wawe kama ndg,ikiwezekana hata nje ya biashara k.m msiba n.k(d)Awe mwepesi kupatikana kwa wateja wake muda wote. (d)Afuatilie bidhaa aliyouza tayari kama anavyofuatilia mchumba mpya. (e)Mabadiliko ya bidhaa mbovu dukani yafanywe.(f)Ajifunze lugha nzuri,mwepesi wa kujenga urafiki na kuepuka hisia za siasa,dini wakati wa kazi ili kutokwaza wateja.
HIYO NI KWA UFUPI:
KUMB:UNAWEZA KUUZA ICECREAM ICE LAND.UAMUZI UNAO MWENYEWE. MKORERE BHUYA

asante mkuu, nimekupata.
 
Last edited by a moderator:
Jambo wadau,

Samahani nina binti yangu nataka nimpe mtaji wa laki moja, so nauliza biashara ipi anaweza kuifanya?
Kwa maeneo kama ya kijijini?
 
hafanye biashara kukununua vitu vidogovidogo kama nguo ,sendo, kutoka town na kuleta kijijin
 
Sidhani kama hapo utapata jibu hata moja sahihi kulingana na kuwasilisha maelezo yaliyokuwa kwenye mabano.
Sio kila kijiji kina fursa zinazo fanana.

We sema ni mkoa gani na kijiji kipi kisha kuna watu wenye uzoefu wa maeneo husika ndio watakupa majibu yenye kuweza kuyafanyia kazi.

Kuna mtu kasema vocha,wakati kuna vijiji hakuna mtandao hata mmoja wa sim unafika huko.Sas atamuuzia nani
Nyanya au Mgahawa,kuna vijiji ambavyo wanalima hizo nyana,na kuna vijiji ambavyo watuw ake hata ufungue mgahawa hakuna mtu utakae mpata


Sasa ukitoa maelezo ya mkoa na kijiji au hata wilala basi inakuwa nahisi watu kukuambia fursa zilizopo huko
 
Back
Top Bottom