xfactorNaanza kwa salamu#
Assalaam aleykum na bwana yesu Asifiwe
Wakubwa shikamoni
Wa lika langu heshima yenu.
Mimi ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 24 nafanya kazi katika kampuni ya mawasiliano.....Tz Leo nikiwa nasoma #Thread ya mtu muhimu sana @ndg.mwasaremba#nimeisoma mwanzo mwisho na nimeelewa na kuwa interested. Namshukru sana kwa kuwa na moyo wa kipekee mno mtu smart mzalendo... @ndg.mwasaremba nina hitaji fanya biashara ya simu, laptop na Tv ila sijui pa kuanzia. Naomba niungwe kwa group la whatsapp..#0783572063 xfactor
wapi unanisubiri boss? Mama yake P kama muendelezo pitia uzi mzima boss kila kitu kipo umo tayariMkuu Mwasalemba tunakusubiri
Among best thread i hav ever read....mtoa uzi...ningekuwa na mamlaka ya kukuahidi pepo...basi ningefanya hivo....si kwa sababu ya elimu tu bali kwa kutoonesha unafiki au maslah ya aina yyte....yaan umekuwa kama neno maarufu....linalosema na kila mwenye sikio na asikie....!! Asante sana mzalendo!!
Namba 6,7 na 9 tuwasiliane kwa namba 0765999539 niko Kirumba,nitatoa uzoefu na ujuzi wangu!
Mara nyingi watu wanaotaka kufanya mambo kisiri siri tumekuwa tukiwaita matepeli lakini kwa leo sitakuita hivyo. Kwanini usiweke uzoefu wako huo hapa ili wengi tujifunze?