Kwa mliooa wanawake waliowazidi umri

Kwa mliooa wanawake waliowazidi umri

Mwanume usione mwanamke mnaelingana au aliekuzidi uri... Kibaiolojia wanawake wanakua haraka kuliko wanaume... Ata kuzeeka iko hivyo hivyo... Ata mwanamke akijitunzaje!!! Baada ya miaka kadhaa ataonekana mzee kuliko wewe. Ndo mwanzo wa kuona aibu kutembea nae yanaanza!!
 
Kwan hujampiga chin adi leo?
 
Iko ivi... Kwenye biblia kwa wale wakristo. Utaona kwamba.. Kuna mungu iliyoandikwa kwa herufi ndogo na MUNGU ya herufi kubwa. Tofaut ni kwamba mungu ya herufi kubwa ni Mungu wa miungu yote na mungu wa herufi ndogo ni miungu mingineyo kama shetani, mabudha.. n.k
Wewe omba toba
Usizunguke zunguke hapa kuhalalisha kauli zako za ajabu..
Kweli shetani ni mungu...!?????
 
Mbona mnazidi kunkatisha tamaa asee mara hivi mara vile sasa yupi ndo wa kuoa daah ngoja ntafute wa kunzalia tu
Hapana usizae tu iliupate mtoto, Mtoto anahitaji malezi ya baba na mama..
 
Mm,nilikua na mahusiano na Dada mmoja hv,kanizid umri kama miaka 4,tatizo lake alikua ananichukulia mm kama mdogo wake badala ya mpenz wake,Mara anitume kununua nyanya,mkaa.na baya zaidi yeye alikua ana kazi mm nilikua sina kazi,akitoka kazin lazima anipigie simu nikampokee,nisipoenda balaa atanuna hapo,papuchi upewi,wivu wa kupindukia.ukitaka kuishi na mwanamke aliye kuzidi inatakiwa uwe boya kidogo.
kwanini asikutume sasa ulitaka ukae bure.
 
Binafs Naamini umri siyo ttzo ktk MAHUSIANO maana nimeahudia MTU kaoa mwanamke Mdogo kwake kiumri zaidi ya miaka10 BT hawakudumu na pia wapo wadada wakubwa kiumri lakini wako na wenza wao tena wanaishi kwa furaha na Amani Upendo wa dhati na kuchukuliana madhaifu ndo msingi wa kudumu ktk MAHUSIANO
 
Hakuna mwanamke mbabe. Wewe ndio utakuà una tatizo .nadhani ulipata mafunzo toka kwa waliokuzidi. Wanashauriwa na kuelekexwa. Kuna saikologia yao.
 
Back
Top Bottom