Kamwoe Miss Natafuta halafu utatuleta taarifa hapa jamvini! Mkuu kama anakuzidi inabidi uwe mpole kabisaaaa, na hasa ukioa mama wa Kikurya anayekuzidi umri utalijua jiji! Ukileta jeuri unachezea makofi, nakumbuka kijijini kwetu kulikuwa na jamaa ameoa li mwanamke limemzidi umri sasa kila siku jioni linapanga shughuli za kufanya kesho yake, Ngeleja kesho unaenda kupalilia mihogo, watoto wataenda kuchota maji ziwani. Na wewe Ngeleja hakikisha hiyo nusu ekari umemaliza ole wako urudi hapa hujamaliza utanitambua,, Ngeleja anaitikia "sawa mama". Sasa na wewe mkuu ukijichanganya tu,, utasimulia!!