ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,885
- 42,002
Nimechekayaan anatembea huku anaona utosi wako.. utamwambia nini akuelewe... !
Nimechekayaan anatembea huku anaona utosi wako.. utamwambia nini akuelewe... !
unacheka wakat ndo tabia zenu hizo..!!!Nimecheka
Sio wote bwanaunacheka wakat ndo tabia zenu hizo..!!!
La Mujar Jina Lako Linanikumbusha Tamthilia Moja Inaitwa 'La Mujar De Mivida' Kama Sijakosea Maana Yake "Mwanamke Wa Maisha Yangu"Ndoa imeanza kupangwa tokea mbinguni....
Wewe ni kusali tu mungu akupe aliekuandalia
Umekufuru, shetani so munguHalaf ujue hata shetani ni mungu pia.. Asa ni MunGu gani unaemwongelea? Na je. Utajuaje kwamba huyu ni wa mungu wa kwelikweli
Mhhh Hebu fafanua kidogo hapo kwenye shetani ni Mungu.Halaf ujue hata shetani ni mungu pia.. Asa ni MunGu gani unaemwongelea? Na je. Utajuaje kwamba huyu ni wa mungu wa kwelikweli
Iko ivi... Kwenye biblia kwa wale wakristo. Utaona kwamba.. Kuna mungu iliyoandikwa kwa herufi ndogo na MUNGU ya herufi kubwa. Tofaut ni kwamba mungu ya herufi kubwa ni Mungu wa miungu yote na mungu wa herufi ndogo ni miungu mingineyo kama shetani, mabudha.. n.kMhhh Hebu fafanua kidogo hapo kwenye shetani ni Mungu.
Haaaah haaaaah...duuuuh hii imenichekesha sanayaan anatembea huku anaona utosi wako.. utamwambia nini akuelewe... !
Mkuu ndoa sio rehearsal hivyo maandalizi yenye umakini mkubwa yanahitajika sio kukurupuka eti mtajuana ndani ya ndoaNaona mchumba wako kakuzidi sasa unataka exiperience we oa tu mengine mtajuana uko ndani
Inategemeana kwani unaweza kuoa mdogo sana tu ndo kakawa mbogo ndani ya nyumba, Pia hutegemeana na madhaifu ya ko mwenyewe mwanaume.Mnatushauri nin cc watchers hususan tunaotaka kuingia kweny ndoa? Not only waliwazid umri tu even mliosawa nao au mlipwapita kidogo kidogo pia eken uhalisia hadharani.. me naskiaga wanawake wa aina hiyo ni wababe sana