Kwa mliooa wanawake waliowazidi umri

Kwa mliooa wanawake waliowazidi umri

Kama unajua nini maana ya ndoa,mwanamke anaekuzidi umri,mwanamke lakini si wa kike,hafananishwi na chochote.
Mi wangu ananizidi miaka 7,lakini najutaga saana kutomjua mapema.
Kosa la wanaume wengi wana shida na starehe tu kitandani,hivyo kwao sura na pesa ndo number one.
Akiwahi niambia mbibi mmoja kwamba mwanamke asiyekufaa, ni yule:
-Anayekuzidi urefu
-Anayekuzidi pesa
Aliongeza kwamba siyo wote lakini asilimia kubwa ndo kosa utakalolifanya.

Kingine,mwanamke yeyote ni mwanamke,ila angalia umempata katika mazingira gani! Anakuzidi umri,umempata baa,sahau.
Umefata pesa,au sura, au kwako kafata hivyo,vikikosa hamna ndoa.

Lakini pia kubwa kuliko vyote,jishughulishe kitandani mzee.Usipotoa dose iliyokamilika utajuta.Ukimpata mchepuko na kumkanyaga na kuacha wako kwa kuwa yupo tu ukijisikia utafanya,jua wapo wanaommendea.Na yeye akimpata anaejua kuendesha fuso,utakuwa unapanda anavuta hisia za mchepuko.
Naishia hapo
 
Mkuu swali zuri na ni muhim pia. Nigefurahi kama tungelipata mtu mmoja mzima humu ndan akatusaidia.

Me sijaoa ila nnachojua ni kwamba, si vyema mwanaume kumuoa mwanamke alo kuzidi umri au kulingana umri. Hii ni kutoka na maumbile ya miili yetu.

Mwanamke anachoka haraka kimwili, hii inakwenda sambamba na ufanyaji wa tendo la ndoa. Kuna umri akifikia anakosa kabisa hamu ya kushirilki tendo la ndoa. Kitu ambacha kwa mwanaume ni kinyume. Ndo hapo baba mtu mzima anatafuta mchepuko.

Lakini mwisho ni muonekano, mwili wa mwanaume miaka 50, na mwili wa mwanamke miaka 50 ni vitu viwili tofauti. Utakuta mtu anaona aibu kutoka ama kuongozana na mkewe sababu anaonekana mzee zaidi kuliko yeye na haipendezi kwa wanandoa mwanamke kuonekana mkubwa zaidi kuliko baba wa familia.

Hapo umechemka. Sikupenda kuchangia ila imebidi. Kuzeeka ni mtu anavyojitunza na mme anavyomtunza mkewe. Umri si kweli sababu nikitembea na mme wangu mtashangaa sisemi zaidi. Kuhusu tendo la ndoa, baada ya menopause mwanamke anakuwa kama kigori sasa hiyo ni siri.
 
Sitaki hata kusikia ndoa yani kuna wanawake mpk utatamani urudi tena kazini.Eti narudi home jioni nimechoka ananivua nguo ananinusa kama sijachepuka sasa anaishije na mtu ambae hamwamini
Aah haha
:-\:-( 🙂 :-D 😵
 
Mwanamke akifikia umri wa menopause ktk mid 40s anakua kwanza sex drive yake iko so low,80%inakua so loww na 20%wanakosa kabisa matamanio,poleni yenu mnaotaka wake watu wazima walowazid umri,mwanamke anazeeka haraka kuliko mwanaume,mwanaume hata awe kibabu cha miaka 80s uko yuko fit kitandani tofaut na mwanamke,mm nashauri mwanaume awe mkubwa kwa mwanamke.
Mm binafsi mwanaume hata kama nlimpenda vp lkn nkagundua nmemzidi japo mwezi tuu basi mapenz yote yanapotea kama nlikusudia kuonesha hisia zang basi apoapo zinayayuka.raha mwanaume akuzid miaka 2,3....mpk saba uko,ni normal.
 
Kiimani Mme alikuwa wa kwanza kuumbwa baadae akafuata Mke; hivyo Mme ni mkubwa kuliko Mke. Kuoa Mke mkubwa kuliko Mme ni kwenda kinyume na Asili, na ndiyo maana uhusiano wa Mke mwenye umri mkubwa na Mme mwenye umri mdogo huwa na changamoto nyingi kama si uhusiano kufa kabisa.
Wengine mtaongezea; najaribu kuwaza tu......
 
Mwanamke n mwanamke tuu haijalishi ni mkubwa au mdogo yeyote anaweza sumbua
 
Mwanamke bila kujali umri, kimo, kabila au nguvu zake ktk mwili au uchumi, kiasili ameumbwa kumtii mwanaume, hii ni kanuni ya ASILI. Hawezi kwenda kinyume na hapo, ameumbwa nayo kiasili.

Tatizo, hii kanuni hakumwacha tu awe chini ya kila mwanaume pasi nae kuwekewa kanuni ya kumfanya abaki chini yake. Zipo nyingi, mfano kumpenda, kumjali, kumlisha na kumtunza, kifupi kuyatimiza mahitaji yake haswa matamanio yake ambayo daima yatakuwa yanawaka juu yako.

Ukivunja kanuni hizo, unakuwa umempa nafasi ya yeye kuwa juu yako. Ukiona mwanamke anapunguza utii mwanaume jitafakari, hawa ni viumbe dhaifu sana.
Wenye umri mkubwa ndo dhaifu zaidi sawa na wanene. Hawana usumbufu na wastahimilivu sana.
 
Wanaume wanaooa wanawake wakubwa namuchungulia tupu zao,hiyo siyo adabu kabisa,vilevile wanaweza kuwatia rafiki zao aibu kwakuwatongoza hata mama zao kitu ambacho ni hatari kisaikolojia.
 
Hapo umechemka. Sikupenda kuchangia ila imebidi. Kuzeeka ni mtu anavyojitunza na mme anavyomtunza mkewe. Umri si kweli sababu nikitembea na mme wangu mtashangaa sisemi zaidi. Kuhusu tendo la ndoa, baada ya menopause mwanamke anakuwa kama kigori sasa hiyo ni siri.
Kila mtu anamtizamo wake juu ya hili swala, huo ni mtizamo wangu na ndo maana nilisema wajuvi watujuze.

Ni vyema tujuze nasi tuzijue mbivu na mbichi. Usituache na mashaka tujuze mkuu.
 
Danganyaneni, mwanamke kukuzidi umri ama kulingana naye siyo sababu ya kutokukuheshimu! Mwanamke asiyekuwa na heshima hata kama unamzidi umri atakuumiza kichwa tu!

Mie mke wangu namzidi wiki 3 tu nilikaa naye katika uchumba miaka 10 now tunamalizia Mwaka wa 7 kwenye ndoa lakini hakuna ubabe wowote heshima ipo juu kama nimemuoa jana tu!

Tatizo vijana (ambao siyo "wanaume") mnapenda kuleta ubabe katika mahusiano yenu badala ya kushirikishana vizuri. Mwanaume kila muda unafoka foka kama paka jike dhidi ya dume, kwa nini asikuzoee na kukushusha? Uwe mtu mpole na unayethamini na ikitokea kunakosa kweli ambalo silakufumbia macho basi foka kweli kwa kutumia maneno yenye hekima naya kumfanya ajitathimi upya. Na baada ya hapo rudi uwe wa kawaida na sahau kabisa kwamba ulimnyoosha kwa maneno muda mfupi uliopita!
Siyo ukikosewa kidogo kila siku unarudia hicho hicho kila siku kama vile wewe ni wa kike?
 
Ninawafahamu wazee fulani ambao mke kamzidi mumewe kwa miaka 2. They are in their 80's, mimi binafsi, sipendi mwanamume mfupi wala niliyemzidi umri au tunayelingana. Namshukuru Mungu alinipa mwanamume mrefu, tena kanizidi 7yrs, of course hakuna sheria ktk ndoa but naona inapendeza zaidi mwanaume akiwa mkubwa kidogo. Ndo maana hata kwenye maandiko Adam aliumbwa kwanza
 
hahahahahahahah mi ninachojua na nina ushahidi nacho ni mafundi katika kukata viuno na wasaf katika kufua chup...........then kila hatua wanaijua ktk ngono.......starehe hatari......!!!
 
Mim ni mdada pia ila hata ndugu yangu akitaka kuoa mwanamke alyemzd chochote mfano elimu, mali na umr ctokua upande wake %kubwa ya wanawake wakipata wanapenda kua juu... Na akishajijua amekuzd afu kosa uwe mpole utaosha had masufuria ! Its not advisable kabisa...
Kwani ukimsaidia mkeo kuosha sufuria uume utahamia kwake?
 
Mwanamke akifikia umri wa menopause ktk mid 40s anakua kwanza sex drive yake iko so low,80%inakua so loww na 20%wanakosa kabisa matamanio,poleni yenu mnaotaka wake watu wazima walowazid umri,mwanamke anazeeka haraka kuliko mwanaume,mwanaume hata awe kibabu cha miaka 80s uko yuko fit kitandani tofaut na mwanamke,mm nashauri mwanaume awe mkubwa kwa mwanamke.
Mm binafsi mwanaume hata kama nlimpenda vp lkn nkagundua nmemzidi japo mwezi tuu basi mapenz yote yanapotea kama nlikusudia kuonesha hisia zang basi apoapo zinayayuka.raha mwanaume akuzid miaka 2,3....mpk saba uko,ni normal.
Haya maelezo yako sio kwa miaka hii.... Siku izi wababa wakiifikisha mia 50s asilimia 80% zaidi wanasumbuliwaa na visukari....
 
Haya maelezo yako sio kwa miaka hii.... Siku izi wababa wakiifikisha mia 50s asilimia 80% zaidi wanasumbuliwaa na visukari....
Ni kweli io pia inachangia,alaf unajua hii mitandao ni sababu ,kwasababu hatujishuulishi mwili umekaa tu sehemu moja,mda wote kuinamia malaptop masimu,mda wote kukaa maofisini,mtu akitoka ofisini kachoka anaenda direct home,lazma maradhi yaje atii..tunajisahau sana .

Kwa mwanamke anaejijali afya hapo sawa hata awe 40 kwanza ukimuona hutodhania utafikir yuko 20s kuanzia mwili mpk ngozi pia hata perfomance yake kitandani iko vizuri tu kutokana na anavojiweka.
 
Back
Top Bottom