Kwa mliooa wanawake waliowazidi umri

Kwa mliooa wanawake waliowazidi umri

Duuuh Mwanamke akikuzidi umri kuna asilimia nyingi za nyie wawili kutokuwa huru mkiwa pamoja, tena huchangia zaidi usaliti kati yenu....
 
Mkuu sasa mie napenda walionizidi urefu apo chacha umenivurugaa
bora wewe ni kupenda kwako.. kuna mwengine apende asipende lazima apate mke mrefu kuliko yeye.. yaan akithubutu labda kutafuta mfupi kuliko yeye ujue katembea na kibwengo..!!!
 
bora wewe ni kupenda kwako.. kuna mwengine apende asipende lazima apate mke mrefu kuliko yeye.. yaan akithubutu labda kutafuta mfupi kuliko yeye ujue katembea na kibwengo..!!!
Hahahaha duuh hatari mkuu
 
Mnatushauri nin cc watchers hususan tunaotaka kuingia kweny ndoa? Not only waliwazid umri tu even mliosawa nao au mlipwapita kidogo kidogo pia eken uhalisia hadharani.. me naskiaga wanawake wa aina hiyo ni wababe sana
usioe aliyekuzidi umri nakusihi ndugu nakusihi sana
 
Mtoa uzi naomba niongeze kidogo....Vip kama mwanamke kakuzidi umri lakini kielimu Mwanaume ukawa juu...I mean mwanaume degree mwanamke la saba au form 4.
 
Back
Top Bottom