Mwanamke anatakiwa aolewe na mwanaume mwenye umri mdogo kuliko yeye,asipofanya hivyo uwezekano wa yeye(huyo mwanamke) kubaki mjane ni mkubwa sana kwani wanaume wanawahi kufa na sababu kubwa ni kuongezeka kwa umri.Inasemekana kadri mwanaume anavyozidi kuwa na umri mkubwa ndiyo magonjwa kama tezi dume,homa ya ini,ugonjwa wa kifua kikuu n.k yanajitokeza.Epuka kuolewa na mwanaume anayekuzidi ewe mwanamke,utakuja kukumbuka haya niliyoyaandika,hata hivyo wanawake wakifika umri flani huwa na ashki kubwa yakufanya mapenzi wakati mwanaume anakadriwa kuanza kupungukiwa hamu yakufanya mapenzi akifika umri wa miaka kuanzia 30,hivyo mwanamke atahangaika kutoshelezwa kimapenzi hivyo kuanza kutafuta vijana,hii itamshushia heshima mitaani.