Kwa mara ya kwanza leo nimepigana

Kwa mara ya kwanza leo nimepigana

Mtakuja mpate makesi ya buree. Watu wenyewe tunatembea tumechoka na haya ma upungufu Kinga. Unisukume nizime au univunje.
 
Unavoonekana mpole basi yaani hufanani kabisa
Mie ni mpole pia sio mpolee.

Unajua kuna kiwango cha uvumilivu km binadamu kinaisha, kinacho fuata ni liwalo na liwe.

Sio kwamba dis za yule mkaka, zilikua zinanistua hapana, ila alivuka mipaka, nikaona nikikaa kimya italeta shida, nijaribu ku clear, yeye analeta ujuaji na ubabe, ningefanyaje?
Alivyotaka na mie nikataka. 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom