Kwa mara ya kwanza leo nimepigana

Kwa mara ya kwanza leo nimepigana

Ivi bado kuna watu wanapigana, any way una anger issues kjn usipojtathimini utaishia jela kwa kesi ya kujeruhi.
Lkn pia naona kama unahasira za maisha magumu tafuta tu ela kisitaarabu sawa
Unaitwa na dada yako ukaogeshe wapwa zako ..nyama we
 
Haya nywamwi255 hongera kwa kupigana, sasa wahi hospitali ukapime afya kisha utumie dawa za kuzuia maambukizi ya HIV maana hujui kwanini alikung'ata. Utameza kwa siku 30 TLD sio mchezo. Usisahau kupima na homa ya ini chonde chonde
 
Nilizani nimesikia yote
GWKmG1lWIAAV4BJ.jpeg
 
Hivi madogo nyie starehe ya kukaa sehemu kuna mziki mkubwa na pombe za gharama huku mkiwa hamna stress za maisha mnajua kweli?🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom