comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,402
- 17,128
Tuma lipanamba pm,
Tuma lipanamba pm,
Ujinga tuKatika makuzi yangu sikumbuki lini niliwahi kupigana na mtu na hata kama nilipokuwa najikuta niko kwenye ugonvi silaha yangu ilikuwa mdomo😁 nilipokuwa/huwa nikion naona mambo yamezidi nanyamaza na kuondoka eneo la tukio ili nsije bandwa😂! Kumbe bwana nilikuwa na ji underrate kumbe ninaweza bwanaa leo kidogo nimrarue mdada mmoja wa kikurya😄 ilikuwa hivi
Nilikuwa nimetoka shift ya mchana, nimechoka na njaa ikiwa imenikolea haswa ,nikaamua kupitia canteen ili nichukue chakula(take away) ili niende nacho nyumbani. Basi mhudumu akawa amenifungia sahani moja ,wakati ananiandalia ya pili mfanyakazi mwenzangu aliyekuwa anaingia shift ya usiku akaingia canteen pia. Sasa, yeye anataka kuhudumiwa kwanza wakati teye kanikuta!! Nikamwambia kwa heshima tu kuwa kila mtu ana haraka na ana njaa, siyo yeye peke yake so awe mpole zamu yake itafika!
Lakini majibu niliyoyapata kutoka kwake yalinitibua. Akanijibu kwa kejeli kwamba yeye anaenda kwenye majukumu, nikamwambia na mimi natoka kwenye hayo hayo majukumu. Hapo ndipo mzozo ukaanza. Chakula changu kilipokuja, akajitokeza kwa nguvu kama anataka kuchukua chakula kile kwa sababu naye aliagiza aina ya chakula nilichoagiza mimi,basi akawa amerusha hela hapo ,,hapo ndipo nikajua mambo yamebadilika.
Nikasema usinitanie nikamkwida shingoni uzuri alikuwa amevaa lab coat ko nikamkwida kisawa sawa hakuweza kufurukuta wakati nimemkwida si akaningata nikapenyeza mkono wa kushoto taratibu nikamminya chuchu si unajua chuchu zinavouma basi akawa amelegeza meno na kuishiwa nguvu nikatake advantage hiyo nikamzaba makofi mawili matatu ya nguvu si akawa amekimbia 😁 akacha na slippers zake! Matukio yote hayo yametokea within few mins halafu uzuri tulikuwa upande wa jikoni hatukuweza kuamuliwa kwa urahis ilikuwa ni nadra kuonwa na watu wengine ..bas hapa napoongea mkono unauma ila sio sana maana kaning’ata ila dam hazijatoka kuna alama kwa mbali..basi bwana siku yangu imeisha hivoo
Alivyokungata nawe ukamfinya chuchu... Embu tuone shingo yako...Alivaa suruali pia
😂😂😂 hebu niunganishe naee, tena hao walokole ndo nawapenda haswaa, anakutomba huku anakupa mistari ya biblia. Akishakojoa anajiuma uma pale anajikusanya na biblia yake huku kafura uso, baada ya siku tatu anakutafuta tena, unasikia anakwambia "mamtu mi sielewi huku, uko wapi".Ila wizzo?! Tendo lipi? Utamu upii?
Chizii wee, nikuunganishe nae, umlete kundini?
Nacheka km mwehu vilee, 😂😂😂😂😂😂
Hakukitongoza kweli ??Mie ni mpole pia sio mpolee.
Unajua kuna kiwango cha uvumilivu km binadamu kinaisha, kinacho fuata ni liwalo na liwe.
Sio kwamba dis za yule mkaka, zilikua zinanistua hapana, ila alivuka mipaka, nikaona nikikaa kimya italeta shida, nijaribu ku clear, yeye analeta ujuaji na ubabe, ningefanyaje?
Alivyotaka na mie nikataka. 😂😂😂😂😂
Duh Kaka unajitahidi sana kujifanya demu! Hongera lknKatika makuzi yangu sikumbuki lini niliwahi kupigana na mtu na hata kama nilipokuwa najikuta niko kwenye ugonvi silaha yangu ilikuwa mdomo😁 nilipokuwa/huwa nikion naona mambo yamezidi nanyamaza na kuondoka eneo la tukio ili nsije bandwa😂! Kumbe bwana nilikuwa na ji underrate kumbe ninaweza bwanaa leo kidogo nimrarue mdada mmoja wa kikurya😄 ilikuwa hivi
Nilikuwa nimetoka shift ya mchana, nimechoka na njaa ikiwa imenikolea haswa ,nikaamua kupitia canteen ili nichukue chakula(take away) ili niende nacho nyumbani. Basi mhudumu akawa amenifungia sahani moja ,wakati ananiandalia ya pili mfanyakazi mwenzangu aliyekuwa anaingia shift ya usiku akaingia canteen pia. Sasa, yeye anataka kuhudumiwa kwanza wakati teye kanikuta!! Nikamwambia kwa heshima tu kuwa kila mtu ana haraka na ana njaa, siyo yeye peke yake so awe mpole zamu yake itafika!
Lakini majibu niliyoyapata kutoka kwake yalinitibua. Akanijibu kwa kejeli kwamba yeye anaenda kwenye majukumu, nikamwambia na mimi natoka kwenye hayo hayo majukumu. Hapo ndipo mzozo ukaanza. Chakula changu kilipokuja, akajitokeza kwa nguvu kama anataka kuchukua chakula kile kwa sababu naye aliagiza aina ya chakula nilichoagiza mimi,basi akawa amerusha hela hapo ,,hapo ndipo nikajua mambo yamebadilika.
Nikasema usinitanie nikamkwida shingoni uzuri alikuwa amevaa lab coat ko nikamkwida kisawa sawa hakuweza kufurukuta wakati nimemkwida si akaningata nikapenyeza mkono wa kushoto taratibu nikamminya chuchu si unajua chuchu zinavouma basi akawa amelegeza meno na kuishiwa nguvu nikatake advantage hiyo nikamzaba makofi mawili matatu ya nguvu si akawa amekimbia 😁 akacha na slippers zake! Matukio yote hayo yametokea within few mins halafu uzuri tulikuwa upande wa jikoni hatukuweza kuamuliwa kwa urahis ilikuwa ni nadra kuonwa na watu wengine ..bas hapa napoongea mkono unauma ila sio sana maana kaning’ata ila dam hazijatoka kuna alama kwa mbali..basi bwana siku yangu imeisha hivoo
Nilipokua nasoma bandiko hili nikajua ni mwanaume kaandika..... lakini niliposoma replies ndio nikajua kuwa hii ID kumbe ni yakikeKatika makuzi yangu sikumbuki lini niliwahi kupigana na mtu na hata kama nilipokuwa najikuta niko kwenye ugonvi silaha yangu ilikuwa mdomo😁 nilipokuwa/huwa nikion naona mambo yamezidi nanyamaza na kuondoka eneo la tukio ili nsije bandwa😂! Kumbe bwana nilikuwa na ji underrate kumbe ninaweza bwanaa leo kidogo nimrarue mdada mmoja wa kikurya😄 ilikuwa hivi
Nilikuwa nimetoka shift ya mchana, nimechoka na njaa ikiwa imenikolea haswa ,nikaamua kupitia canteen ili nichukue chakula(take away) ili niende nacho nyumbani. Basi mhudumu akawa amenifungia sahani moja ,wakati ananiandalia ya pili mfanyakazi mwenzangu aliyekuwa anaingia shift ya usiku akaingia canteen pia. Sasa, yeye anataka kuhudumiwa kwanza wakati teye kanikuta!! Nikamwambia kwa heshima tu kuwa kila mtu ana haraka na ana njaa, siyo yeye peke yake so awe mpole zamu yake itafika!
Lakini majibu niliyoyapata kutoka kwake yalinitibua. Akanijibu kwa kejeli kwamba yeye anaenda kwenye majukumu, nikamwambia na mimi natoka kwenye hayo hayo majukumu. Hapo ndipo mzozo ukaanza. Chakula changu kilipokuja, akajitokeza kwa nguvu kama anataka kuchukua chakula kile kwa sababu naye aliagiza aina ya chakula nilichoagiza mimi,basi akawa amerusha hela hapo ,,hapo ndipo nikajua mambo yamebadilika.
Nikasema usinitanie nikamkwida shingoni uzuri alikuwa amevaa lab coat ko nikamkwida kisawa sawa hakuweza kufurukuta wakati nimemkwida si akaningata nikapenyeza mkono wa kushoto taratibu nikamminya chuchu si unajua chuchu zinavouma basi akawa amelegeza meno na kuishiwa nguvu nikatake advantage hiyo nikamzaba makofi mawili matatu ya nguvu si akawa amekimbia 😁 akacha na slippers zake! Matukio yote hayo yametokea within few mins halafu uzuri tulikuwa upande wa jikoni hatukuweza kuamuliwa kwa urahis ilikuwa ni nadra kuonwa na watu wengine ..bas hapa napoongea mkono unauma ila sio sana maana kaning’ata ila dam hazijatoka kuna alama kwa mbali..basi bwana siku yangu imeisha hivoo
Ahsante kwa uaminifu wako, nimeiona khaa!! Hahahaha aisee... Hii hatari sana... Una balaah!!Pich nimekutumia pm
Ila anasimamisha😂 mgejnga familia bora yenye wokovu na inayompenda yesuKwa mkaka yule? Hata niwe na muwasho kias gani siwezi kukunja 7. Hivi unajua havutii? Hana ushawishii, kwa kifupi hastui kabisaa.
Anipitie kushoto kabisaa, 😂😂😂😂😂
Wizzo acha kudate na vichaa, hao wa kukutafuta hadi wawe na upwiru ni nyokaa.😂😂😂 hebu niunganishe naee, tena hao walokole ndo nawapenda haswaa, anakutomba huku anakupa mistari ya biblia. Akishakojoa anajiuma uma pale anajikusanya na biblia yake huku kafura uso, baada ya siku tatu anakutafuta tena, unasikia anakwambia "mamtu mi sielewi huku, uko wapi".
Isaya 32:5-89.
Mimi nakula pombe kibabe sana hata sijui ni chupa ya ngapiUpo chupa ya ngapi?🤣
Fantasy wizo 😂😂😂Wizzo acha kudate na vichaa, hao wa kukutafuta hadi wawe na upwiru ni nyokaa.
Si utafute jamaa mmoko ishi nae, afu mbna siku hizi wako wa kushato. Unafelii wapii wee?
Lol 😂😂😂😂😂
Afu hapana hakuwahi nitongoza, hata huo ukaribu sikuwahi kuwa nae.Hakukitongoza kweli ??
Ndo bifu lilipoanzia akaionba kiubabe
🤣🤣🤣 Jmn jmn ukambania mkaka wa watu ila una zambi wewe coca 🤣🤣
Mimi pia ni mlokole😂😂😂 hebu niunganishe naee, tena hao walokole ndo nawapenda haswaa, anakutomba huku anakupa mistari ya biblia. Akishakojoa anajiuma uma pale anajikusanya na biblia yake huku kafura uso, baada ya siku tatu anakutafuta tena, unasikia anakwambia "mamtu mi sielewi huku, uko wapi".
Hapo sasa najibu kwa unyenyekevu mkubwa, "niko geto BA MTU".
Isaya 32:5-89.
Khaaah wizzo, fantasy ya hao Vinjuka?Fantasy wizo 😂😂😂
Kitu roho inapenda 😂😂