mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Umemjibu kwa jinsi anavyostahiliHuwa napenda sana kusoma post zako! Na huwa kuna vitu najifunza sana kupitia wewe gentamycine. Ila naomba nikuambie kwa post yako ya leo umeenda sana wrong na umeiyandika kiuchochezi. Kuwa makini sana kiongozi kwa post zako . Watu wataanza kukuzarau kwa post zako! Kama yule mwamba pascal ambaye alikuwa anaeshimika sana hapa Jamii forum! Lkn cku hizi anazaraulika. Hii ni kutokana na tabia kama hizi unazotaka kuzianzisha wewe. Achana na hizi tabia jombaa. Simamia maadili yako.