Kwa kauli hii ya Waziri, kuna moto unafukuta Diamond Vs Serikali (Hakuna Msanii Mkubwa Kuliko Nchi)

Serikali yetu ipo tu kwa kuropoka lakin ukiwauliza ni kitu gan wamewah kiwaboost wasanii hakuna
 
katiba yao siijui maana mimi sio daktari Ila tamaduni ya muundo wa mashirikisho ipo wazi,

kiufupi shirikisho ni kikundi cha watu kinachotetea maslahi yao binafsi na members wao huwa na kada au maslahi yanayofanana.. Honorary members pia wapo ambao huteuliwa kwa kuangalia utaalamu au mchango wao kwa shirikisho kama Tz Tu ilivyopewa special seat SADC hata kama haikukidhi vigezo gya kijiografia

Kwa hiyo ni ngumu kukuta daktari apewe membership ya Shirikisho la wanasheria maana yeye kutokuwa mwanasheria tayari anakosa kigezo cha kuwa member hivyo atawezaje kugombea uongozi
Mimi mtazamo wangu naona kuwa kuwa haya ni masuala madogo kwa sababu yule haendi kulopoka bali kusemq yale atakuokua akiagizwa kuyasema. Ingekua mfumo unaoutaka uwe hivyo unavyopendekeza basi tusingekua na afisa habari wa TLS ambaye sio wakili wala mwanasheria kwenye chama cha madaktari yaani kila tasnia isiwepo na watu nje ya tasnia, nadhani haiwezekani.
Mbona mawaziri wengi wanasimamia wizara ambazo sio wanataaluma nazo?
 
Mimi mtazamo wangu naona kuwa kuwa haya ni masuala madogo kwa sababu yule haendi kulopoka bali kusemq yale atakuokua akiagizwa kuyasema. Ingekua mfumo unaoutaka uwe hivyo unavyopendekeza basi tusingekua na afisa habari wa TLS ambaye sio wakili wala mwanasheria kwenye chama cha madaktari yaani kila tasnia isiwepo na watu nje ya tasnia, nadhani haiwezekani.
Mbona mawaziri wengi wanasimamia wizara ambazo sio wanataaluma nazo?

Ni kweli mkuu kwa ulichokisema 💯

Lakini watu wanadhani usemaji ni suala la kuongea ongea tu, kuwa spokeperson ni kuishikilia brand nzima ya wasanii na kuwa sura na sauti ya watu unaowawakilisha

Kama wasanii wameona steve hastahili kuwa utambulisho wao, mimi ni nani nipinge.
By the way nilikuwa na mashaka mwanzoni ila kwa clips nilizoziona kuhusu press conference aliyoiitisha iliyojaa character assasination na jazba, hata mimi naona hastahili, wasanii wapo sawa kabisa
 
Mbona Ukraine mchekeshaji amekua kiongozi wa nchi?

US pia ilikua na raisi ambaye alikua mcheza sinema?

Arnold Schwarzeneeger ambaye ni mcheza sinema ila alikuja kua Gavana wa jimbo la California?

Rais wa Ukraine amesoma (LLB).

Ronald Reagan bila shaka ndio unamtaja amesomea (BA Economics/Sociology).

Arnold Schwarzenegger amesoma BA(Business Administration/Fitness Marketing).
 
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa amewataka viongozi wa BASATA na COSOTA kuhakikisha wasanii wote wanasajiliwa hususani wale wakubwa ambao mpaka sasa hawajasajiliwa kwani hakuna msanii mkubwa kuliko Nchi.

"Nitoe maelekezo kwa COSOTA na BASATA hatutegemei kusikia wasanii wamesajiliwa wachache, sitegemei kusikia msanii mkubwa hajasajiliwa, tutaanza kuhoji uwezo wa tuliowapa dhamana.

"Jukumu letu sisi serikali ni kuwaunganisha wasanii wote, hakuna msanii mkubwa kuliko nchi, situliopewa mamlaka twende tuwanyenyekee, wanatoa mchango kwa nchi inanufaika na kupitia kodi.

"Tusijifungie maofisini, twende tukawatafute, kwenye nafasi tuweke watu wenye fani ya sanaa, wasanii wakongwe wapo wanaijua sanaa, tuwateue kwenye nafasi mbalimbali hasa za BASATA ili wakasimamie biashara zao, wakasimamie kutafuta wateja, kuangalia walanguzi na haki zao za msingi.

"Mnaponiletea mapendekezo kwenye mabodi, nileteeni majina ya wasanii, kwa mfano Kenya wanaosimamia ni wasanii wenyewe akina Juakali, na sisi tufanye hivyo ili wakalinde haki zao wenyewe ili kuiendeleza tasnia, hawatakubali sanaa ianguke kwani watakuwa wameanguka wao," amesema Mchengerwa.

Chanzo: TanzaniaWeb

========

UCHAMBUZI


Kauli hiyo ya Waziri inakuja ikiwa ni siku chache yangu Diamond Platnumz na wasani wake wote wa lebo ya WCB kutojisajili katika Tuzo zinazosimamiwa na BASATA, pia ni aliziponda tuzo hizo kwa kusema ‘Kama mirabaha hamtupi mtatupa hizo tuzo’.

Mbali na hapo ni siku chache zimepita tangu Diamond alipozungumza kwa nia ya kukosea kuwa kila anaposafiri nje ya nchi hawezi kuruhusiwa hadi alipe Sh 50,000, ambapo alidai kuwa hajui kama hiyo ni kwa wasanii wote au ni yeye pekee ndiye anayefanyiwa hivyo.

Kwa mwenendo huo ni wazi upepo siyo mzuri baina ya taasisi hizo za Serikali na msanii huyo au lebo yake anayoiongoza.

View attachment 2160365
Diamond ni mkubwa kuliko huyo wazir.. wazir atashindwa hyo vita... Wanaomback diamond ni wakubwa mno.. diamond amekua taswira ya nchi.. na ncho haiko tayar kumpoteza
 
Rais wa Ukraine amesoma (LLB).

Ronald Reagan bila shaka ndio unamtaja amesomea (BA Economics/Sociology).

Arnold Schwarzenegger amesoma BA(Business Administration/Fitness Marketing).
So,msemaji anatakiwa asome level ipi? Nimejibu hoja iliyisema "Mchekeshaji hawezi kua msemaji wa wana muziki"

Msemaji sio decision maker,ni muwasilishaji tu wa kinacho ongewa na wahusika wa idara husika,
Msemaji wa Tanesco sio lazima awe fundi umeme.
 
Hao wote uliowataja walipita kwa BALLOT PAPER na wakakubalika na waliowapigia kura.

STEVE hajapigiwa kura na hao anaowaongoza Hawamtaki, mbona unachanganya Mambo.

Mifano uliyoitoa haifanani
Kwahiyo Steve amepitaje mpaka kufikia hapo alipo?

Mifano yangu imetokana na comment niliyoiquote kua "Mchekeshaji hawezi kua msemaji wa wanamuziki"
 
So,msemaji anatakiwa asome level ipi? Nimejibu hoja iliyisema "Mchekeshaji hawezi kua msemaji wa wana muziki"

Msemaji sio decision maker,ni muwasilishaji tu wa kinacho ongewa na wahusika wa idara husika,
Msemaji wa Tanesco sio lazima awe fundi umeme.
Ideally, inatakiwa awe angalau amesomea field mojawapo kati ya public relations, journalism, mass communication etc. Kwa taasisi kubwa watataka na uzoefu katika tasnia usika, kama ni masuala ya umeme, afya etc. utaambiwa hiyo ni added advantage.

Kwa common sense atakayeyazungumzia mambo ya wanamziki lazima awe na ufahamu wa hali na changamoto zaidi za anaowawakilisha, kwa sababu sekta ya muziki ndio imeanza kukua kwa miaka ya karibuni na kuingia kibiashara zaidi. Kwa kuanza ingekuwa na maana zaidi kama angetoka kati ya wanachama wa hilo shirikisho na alitakiwa apelekwe angalau hata kozi fupi zitakazomuongoza kwenye hayo majukumu yake.

Tatizo Bongo tulishajiwekea msemaji ni mtu anayeweza kutoa maneno ya shombo mbele ya media na kiki za hapa na pale.

Kwa baadhi ya wanaompinga Steve nimewaelewa zaidi kwa madai yao kwamba nafasi hiyo inampa majukumu mawili ( Spokesperson+Chief Strategist).
 
Mbona Ukraine mchekeshaji amekua kiongozi wa nchi?

US pia ilikua na raisi ambaye alikua mcheza sinema?

Arnold Schwarzeneeger ambaye ni mcheza sinema ila alikuja kua Gavana wa jimbo la California?

Tatizo sio uchekeshaji ila huyu ni mchekeshaji asiye na weledi wa mambo ya music.

Tivu hata common sense tu hana let alone technicalities za mambo ya music. Hafai kuwa kiongozi wa kada yeyote labda familia yake.

Tivu ake hajui hata utamshi wa maneno ukimsikiliza ni kituko tu. Hii ishu ni kituko all around.

FidQ ameniangusha sana kwenye hii ishu.
 
Mchengerwa anafurahisha genge.

Kilq Waziri anakuja na matamko. Hakuna mikakati wala utekelezaji.

Wasanii tuna maoni mengi mazuri wameyafutika kwenye shajara, lakini utasikia kila siku LETENI KERO ZENU.

Wasitufanyie hadaa
Mkuu naomba japo nisikilize EP yako
 
Back
Top Bottom