Diamond Platinumz ni mwanamapinduzi wa kweli ni zaidi ya msanii

sinza pazuri

JF-Expert Member
Aug 16, 2014
2,525
7,374
20240310_091014.jpg

Diamond Platinumz msanii namba moja Africa ni zaidi ya msanii.

Mimi namuita mwanamapinduzi au kwa kilami wanasema game changer na anaendelea kulionesha ilo kwa vitendo.

Jambo lolote ambalo lilionekana haliwezekani kwenye industry yetu ya burudani yeye alibadilisha mtazamo na kuwa inawezekana.
Kautoa muziki wetu mbali kutoka kuwa muziki wa masela na mwanangu mwanangu mpaka kuwa industry yenye wafanyabiashara.

Kila mtu alimshangaa miaka zaidi ya kumi nyuma aliposema hawezi kufanya show chini ya dau la million 10 leo hii tunaona wasanii wanafanya shows za dollar elfu 50.
Amekuwa mfanyabiashara mkubwa wa music lebo, media, betting, real estate na kuna biashara nyingine kubwa anakuja kumtambulisha mwaka huu.
Uzuri wasanii wengi wanaiga mazuri yake na si vibaya kujifunza kwa waliofanikiwa kinachowashinda tu uwa ni consistency.
Diamond Platinumz anaanzisha wengine wanafata mwana mapinduzi.
 
View attachment 2930022
Diamond Platinumz msanii namba moja Africa ni zaidi ya msanii.

Mimi namuita mwanamapinduzi au kwa kilami wanasema game changer na anaendelea kulionesha ilo kwa vitendo.

Jambo lolote ambalo lilionekana haliwezekani kwenye industry yetu ya burudani yeye alibadilisha mtazamo na kuwa inawezekana.
Kautoa muziki wetu mbali kutoka kuwa muziki wa masela na mwanangu mwanangu mpaka kuwa industry yenye wafanyabiashara.

Kila mtu alimshangaa miaka zaidi ya kumi nyuma aliposema hawezi kufanya show chini ya dau la million 10 leo hii tunaona wasanii wanafanya shows za dollar elfu 50.
Amekuwa mfanyabiashara mkubwa wa music lebo, media, betting, real estate na kuna biashara nyingine kubwa anakuja kumtambulisha mwaka huu.
Uzuri wasanii wengi wanaiga mazuri yake na si vibaya kujifunza kwa waliofanikiwa kinachowashinda tu uwa ni consistency.
Diamond Platinumz anaanzisha wengine wanafata mwana mapinduzi.
We zombie haujui!
 
Hapo amevaa gauni ? Della? Sketi? Mtandio au nini hicho?
Concentrate kwenye content uwe inspired mavazi ni fashion zinapita ila content niliyoweka hapa inaweza kukusaidia mpaka vizazi vyako.
 
View attachment 2930022
Diamond Platinumz msanii namba moja Africa ni zaidi ya msanii.

Mimi namuita mwanamapinduzi au kwa kilami wanasema game changer na anaendelea kulionesha ilo kwa vitendo.

Jambo lolote ambalo lilionekana haliwezekani kwenye industry yetu ya burudani yeye alibadilisha mtazamo na kuwa inawezekana.
Kautoa muziki wetu mbali kutoka kuwa muziki wa masela na mwanangu mwanangu mpaka kuwa industry yenye wafanyabiashara.

Kila mtu alimshangaa miaka zaidi ya kumi nyuma aliposema hawezi kufanya show chini ya dau la million 10 leo hii tunaona wasanii wanafanya shows za dollar elfu 50.
Amekuwa mfanyabiashara mkubwa wa music lebo, media, betting, real estate na kuna biashara nyingine kubwa anakuja kumtambulisha mwaka huu.
Uzuri wasanii wengi wanaiga mazuri yake na si vibaya kujifunza kwa waliofanikiwa kinachowashinda tu uwa ni consistency.
Diamond Platinumz anaanzisha wengine wanafata mwana mapinduzi.
Msanii namba Moja kwenye issue gani?
 
Back
Top Bottom