Mngejibu kwa hoja za mtazamo wa kiroho... Ila kwakuwa hamjui mjibu nini ndio maana mnaishia kuleta mipasho kashfa na matusi na hizi ndio dalili za mshindwa
Vyovyote vile mtaavyosema havitakaa vibadili ukweli wa nilichoandika
Mshana jr; leo umeitendea haki jamii forum. Nimesoma bila kuumiza kichwa nikakuelewa kwa haraka sana. Bandiko lako lina nguvu ya Mungu si bure, si kwa akili yako bali umefunuliwa.
Kwanza tufahamu kuwa yaliyotokea na yanayotokea hayana budi kutokea na hakuna mwenye uwezo wa kuyazuia yasitokee.
Pili yote anayoyafanya Kwasasa Slaa hana hiari nayo si kwa maana ya ccm au wale wanaomfadhili kwa sasa bali ni laana ya kiapo na nadhiri zake...hawa wanaomfadhili ni kiambishi tu cha nguvu iliyo nje ya uwezo wa kibinadamu .
Slaa anateswa na haiba na kiapo, nadhiri na ahadi ya kutumikia kiapo.. Nimekutana na viapo Nimeishi maisha ya viapo lakini SIKUAPA. viapo ni vibaya na viapo havifi na kuviuwa kunahitaji mlolongo mrefu na wenye mambo mengi.
Slaa Aliitwa kwa wito kuonyesha na kutumia vipawa vyake kwa njia ya upadri akakubali na kupokea mpaka daraja la upadirisho mbele ya mimbari takatifu...aliingia mkataba na Mungu na kukamilisha wito.
Bahati mbaya sana akakengeuka nakuanguka moja kwa moja na tangu hapo viapo nadhiri na laana vikaanza kumuandama.
Siasa sio dini siasa ni propaganda siasa ni unafiki siasa haina kweli na Siasa haiongozwi na roho mtakatifu.
Kwa laana ile ya kiapo na nadhiri akajikuta anaangukia kwenye Ulimwengu wa mapepo na roho za kutangatanga.. Na tangu hapo ameendelea kutangatanga kuanzia kwenye mahusiano mpaka kwenye maisha.
Hakuna ambacho ameweza kufanya kikakamilika, amekosa ndoa takatifu amekosa maisha ya kudumu Kwenye siasa amekosa Kuacha Heshima na historia ya kutukuka kwenye lolote alilolifanya.
Kila alipoanza alianza vizuri kwa mafanikio na kupendwa sana lakini mwishoni kila kitu kikaenda kombo na kugeuka ubatili.... Kiapo kinamtesa.. Na haya ndio atakuwa maisha yake mpaka kaburini .
Viapo ni vibaya hakikisha unatengua kama hutaki kuendelea nacho viapo vina roho na roho haifi, mengi mabaya yatamtokea Dr na hii ni kanuni ya kidunia katika Ulimwengu wa roho.
Ni kwakuwa tumetawaliwa na utashi wa kibinadamu japo binafsi sijamhukumu moja kwa moja bali nimetoa mtazamo wangu kiroho ambao umelenga alipotoka Dr mafanikio na changamoto zake, alipo na aendako ni rahisi kugundua Hana makazi ya kudumu kila alikopita
Kwani kiapo cha upadre huwa kinakuaje?
Huwa kinaandamana na maapizo kama mtu aapaye akikiuka?
Mtu aliyeacha upadre na hataki kuendelea nao hakuna namna ya mtu huyo kutubishwa?
Sio Mbowe kwa wenye kufikiri kwa makini. Slaa ni mkiristo mzuri kuliko wengi wakristo maana alifikia ngazi ya Upadri. Hivyo anaijua vizuri Biblia. Kutokana na Biblia kuna yafuatayo:
1. Upatapo hasira jua linachomoza usikae na hasira hiyo hadi jua likazama.
2. Dhambi hata iwe nyekundu kama damu ukitubu inakuwa nyeupe kama karatasi.
3. Sauli alikuwa mwiba mkali kwa wafuasi wa Yesu, aliua kupindukia baadae akageuka na kuwa mtume.
4. Mussa alikaa kwa faraho akiwatesa Waisrael lakini ndiye aliongoza msafara wao kuwapeleka kuelekea nchi ya ahadi japo hakuwafikisha.
5. Yapo mengi.
Duh, hiyo ndotoHicho ndicho mama yangu alikisema jana,akatoa mifano ya mapadre wengine walioasi kiapo na jinsi walivyoishia. Mimi namhurumia kuangukia ktk mikono ya yule mama, usiku nimeota kwamba she is an agent of the devil. Mama aliudhika sana kitendo cha Slaa kuwapakazia maaskofu.
sasa nimeamini ccm ni kiboko. yaani chadema chini ya mwamvuli wa ukawa wametekenywa wakatekenyeka. hivi jaman tumefumba macho kiasi gani tusione mchezo wanaoucheza ccm na lowasa! lowasa anajua anaumwa na kaja makusudi ili kupunguza nguvu ya upinzani. jamani hii kiboko. sasa naamini lowasa kiboko.
Mkuu unakumbuka pindi sisi wafuasi wa zitto
Hata Mimi nahisi amefunuliwa kuandika haya maana nimemuelewa vizuri sana .
Kwanza tufahamu kuwa yaliyotokea na yanayotokea hayana budi kutokea na hakuna mwenye uwezo wa kuyazuia yasitokee.
Pili yote anayoyafanya Kwasasa Slaa hana hiari nayo si kwa maana ya ccm au wale wanaomfadhili kwa sasa bali ni laana ya kiapo na nadhiri zake...hawa wanaomfadhili ni kiambishi tu cha nguvu iliyo nje ya uwezo wa kibinadamu .
Slaa anateswa na haiba na kiapo, nadhiri na ahadi ya kutumikia kiapo.. Nimekutana na viapo Nimeishi maisha ya viapo lakini SIKUAPA. viapo ni vibaya na viapo havifi na kuviuwa kunahitaji mlolongo mrefu na wenye mambo mengi.
Slaa Aliitwa kwa wito kuonyesha na kutumia vipawa vyake kwa njia ya upadri akakubali na kupokea mpaka daraja la upadirisho mbele ya mimbari takatifu...aliingia mkataba na Mungu na kukamilisha wito.
Bahati mbaya sana akakengeuka nakuanguka moja kwa moja na tangu hapo viapo nadhiri na laana vikaanza kumuandama.
Siasa sio dini siasa ni propaganda siasa ni unafiki siasa haina kweli na Siasa haiongozwi na roho mtakatifu.
Kwa laana ile ya kiapo na nadhiri akajikuta anaangukia kwenye Ulimwengu wa mapepo na roho za kutangatanga.. Na tangu hapo ameendelea kutangatanga kuanzia kwenye mahusiano mpaka kwenye maisha.
Hakuna ambacho ameweza kufanya kikakamilika, amekosa ndoa takatifu amekosa maisha ya kudumu Kwenye siasa amekosa Kuacha Heshima na historia ya kutukuka kwenye lolote alilolifanya.
Kila alipoanza alianza vizuri kwa mafanikio na kupendwa sana lakini mwishoni kila kitu kikaenda kombo na kugeuka ubatili.... Kiapo kinamtesa.. Na haya ndio atakuwa maisha yake mpaka kaburini .
Viapo ni vibaya hakikisha unatengua kama hutaki kuendelea nacho viapo vina roho na roho haifi, mengi mabaya yatamtokea Dr na hii ni kanuni ya kidunia katika Ulimwengu wa roho.
Tupe na tathmini katikla jicho la kiroho kuhusiana na tuhuma za ufisadi za mgombea wa ukawa
Mkuu baada ya mwezi octoba kutakuwa na mgogoro mkubwa cdm ambao haujawahi kuukumba na huenda chama kikafa au wakagawana fito..
Ni kweli tunahitaji mabadiliko lkn haya ya hata kuingia na mkataba na shetan aseee hapana kubwa..
May waje watoe majib sahihi si hizi blabla za chekechea
Usilete uchawi kwenye Biblia tafadhali. Neno la Mungu lisitumike kuhalalisha tamaa za kidunia. Laana ya kiapo cha upadre inatoka wapi kwenye Biblia? Kwamba Slaa anasumbuliwa na laana ni maneno ya watu wanajaribu kuukwepa ukweli. Kristo alifanyika laana ili awakomboe walio chini ya laana. Slaa si wa kwanza kuacha wito wa upadre. Kinachofanywa ni kupata kibali cha Kutoka lakini daraja la upadre halifutiki. Hivyo title itaendelea milele kwa mujibu wa kanisa katoliki. Muhimu watu wenye busara watajadili hoja alizotoa Dr Slaa kuliko kujikita kwenye teolojia ambayo haina mahusiano na siasa. Laana ionekane leo baada ya kuwaumbua akina mshana, ila kabla ya hapo alikuwa rais wa moyoni mwa watanzania? Acheni ajenda za kipuuzi, jadilini maudhui ya hotuba ya Dr Slaa. Vinginevyo tusihamishe mada tukaleta ubishi wa kiteolojia, taifa ni la imani zote. Mungu akusamehe.
Kwanza tufahamu kuwa yaliyotokea na yanayotokea hayana budi kutokea na hakuna mwenye uwezo wa kuyazuia yasitokee.
Pili yote anayoyafanya Kwasasa Slaa hana hiari nayo si kwa maana ya ccm au wale wanaomfadhili kwa sasa bali ni laana ya kiapo na nadhiri zake...hawa wanaomfadhili ni kiambishi tu cha nguvu iliyo nje ya uwezo wa kibinadamu .
Slaa anateswa na haiba na kiapo, nadhiri na ahadi ya kutumikia kiapo.. Nimekutana na viapo Nimeishi maisha ya viapo lakini SIKUAPA. viapo ni vibaya na viapo havifi na kuviuwa kunahitaji mlolongo mrefu na wenye mambo mengi.
Slaa Aliitwa kwa wito kuonyesha na kutumia vipawa vyake kwa njia ya upadri akakubali na kupokea mpaka daraja la upadirisho mbele ya mimbari takatifu...aliingia mkataba na Mungu na kukamilisha wito.
Bahati mbaya sana akakengeuka nakuanguka moja kwa moja na tangu hapo viapo nadhiri na laana vikaanza kumuandama.
Siasa sio dini siasa ni propaganda siasa ni unafiki siasa haina kweli na Siasa haiongozwi na roho mtakatifu.
Kwa laana ile ya kiapo na nadhiri akajikuta anaangukia kwenye Ulimwengu wa mapepo na roho za kutangatanga.. Na tangu hapo ameendelea kutangatanga kuanzia kwenye mahusiano mpaka kwenye maisha.
Hakuna ambacho ameweza kufanya kikakamilika, amekosa ndoa takatifu amekosa maisha ya kudumu Kwenye siasa amekosa Kuacha Heshima na historia ya kutukuka kwenye lolote alilolifanya.
Kila alipoanza alianza vizuri kwa mafanikio na kupendwa sana lakini mwishoni kila kitu kikaenda kombo na kugeuka ubatili.... Kiapo kinamtesa.. Na haya ndio atakuwa maisha yake mpaka kaburini .
Viapo ni vibaya hakikisha unatengua kama hutaki kuendelea nacho viapo vina roho na roho haifi, mengi mabaya yatamtokea Dr na hii ni kanuni ya kidunia katika Ulimwengu wa roho.
mtazamo wako hauko kiroho zaidi!!!Mkuu unakumbuka pindi sisi wafuasi wa zitto tuna mtetea kuwa sio msaliti, msaliti ni dr slaa mulikua mnatujibu nini? Hii hoja haijaanza leo siku zote tulisema zitto sio,msaliti ni Slaa leo kiko wapi? Lakini nikuambie tu hii ni karma kama ulimfanyia mtu ubaya malipo ni hapahapa Duniani. Slaa ni rais wa mioyo ya watz mmesahau? Na hii haitaishia hapa tu yapo mengi sana yanakuja na mimi nakuhakikishia chadema inalaana ipo siku utaamini maneno yangu.