Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa

Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa

I cant believe CHADEMA mnaimba nyimbo zile zile tulizozizowea kuzisikia kutoka kwa wanaCCM dhidi ya Dr Slaa,kisa?kapishana na Mbowe.Ila sishangai,yalianza kwa Dr Kaborou,akaja Wangwe,Zitto akafuatia na sasa ni zamu ya Dr Slaa,nani atafuatia?Oh yeah ni yule atakayepishan na --------- Mbowe.

Mbona na CCM mashambulizi kwa wale walohama wakati walipokuwa ndani ya chama walikuwa wanaweka akiba ya maneno, kimsingi hii ndio siasa kila mtu anaimba wimbo ule anaoona unafaa kwa wakati huu na hapo ndio raha ya siasa
 
I cant believe CHADEMA mnaimba nyimbo zile zile tulizozizowea kuzisikia kutoka kwa wanaCCM dhidi ya Dr Slaa,kisa?kapishana na Mbowe.Ila sishangai,yalianza kwa Dr Kaborou,akaja Wangwe,Zitto akafuatia na sasa ni zamu ya Dr Slaa,nani atafuatia?Oh yeah ni yule atakayepishan na --------- Mbowe.

Mngejibu kwa hoja za mtazamo wa kiroho... Ila kwakuwa hamjui mjibu nini ndio maana mnaishia kuleta mipasho kashfa na matusi na hizi ndio dalili za mshindwa
Vyovyote vile mtaavyosema havitakaa vibadili ukweli wa nilichoandika

sasa nimeamini ccm ni kiboko. yaani chadema chini ya mwamvuli wa ukawa wametekenywa wakatekenyeka. hivi jaman tumefumba macho kiasi gani tusione mchezo wanaoucheza ccm na lowasa! lowasa anajua anaumwa na kaja makusudi ili kupunguza nguvu ya upinzani. jamani hii kiboko. sasa naamini lowasa kiboko.
Hakika CCM ni kiboko....! Huenda ikawa sio rahisi kuona na kukubaliana na hali hii, lakini ipo siku tutaona na kukubali....! kuwa CCM wameweza kujitengezea miaka mingine 20 ya utawala kwa kufanya mambo yafuatayo;
  1. Kuuwa kabisa kambi iliyokuwa rasmi bungeni kwa kupandikiza na kuvuruga umoja wao. Kwa hili huenda ACT ikawa chama kipya kitachochukua nafasi ya vyama vingine katika medani za siasa ndani ya Tanzania...
  2. Kuuwa na ikiwezekana kuupoteza kabisa mtandao uliokuwa ndani ya CCM uliokuwa tishio kwa uhai wa CCM kama chama...
Kwa hapa ninaona CCM wamefanikiwa kuuwa ndege wawili kwa jiwe moja. Na kama ni kweli, basi kuna uwezekani wa CCM kutawala kwa miaka mingine 20 ijayo...
 
Hakuna kitu kibaya ka kiapo kiwe cha kiimani au kidunia usipofata kiapo kitakuangaisha mpaka mwisho labda uvunje maagano uliyoweka kwa. Kutubu. Hasa cha kidini ni hatari roho za mahangaiko hazikuachi
 
Hajapishana na mbowe bali kapishana na demokrasia na kutaka kuleta utakatifu katika siasa wakati hata yeye huo utakatifu hana
umeoanisha kwa umakini mkubwa mkuu.
kwa kuongezea kidogo ni kuwa baada ya dr. slaa kupingana na demokrasia iwe kwa makusudi au kwa kutokujua, amejikuta anatapatapa na kudaka kijiti alichokiozesha kwa sumu (imani) kana kwamba kitamuokoa asizamishwe na demokrasia.
iwe ni usahaulifu au kilindi (kina cha bahari) kuwa kirefu sana na giza kutanda (ccm) havimpi nafasi (labda atubu na kujutia) ya kutulia kwa maana kijiti cha kumuokoa (imani) alishakidharau na hakuona umuhimu wa kukirejelea kwa utaratibu stahiki.
mwenzake yuda iskariote alijinyonga baada ya kugundua kosa lake la usaliti sijui dr. slaa atajifanya nini kwa kosa lake.
 
Hakuna kitu kibaya ka kiapo kiwe cha kiimani au kidunia usipofata kiapo kitakuangaisha mpaka mwisho labda uvunje maagano uliyoweka kwa. Kutubu. Hasa cha kidini ni hatari roho za mahangaiko hazikuachi

1441260168814.jpg
 
Mngejibu kwa hoja za mtazamo wa kiroho... Ila kwakuwa hamjui mjibu nini ndio maana mnaishia kuleta mipasho kashfa na matusi na hizi ndio dalili za mshindwa
Vyovyote vile mtaavyosema havitakaa vibadili ukweli wa nilichoandika

Hao unadhani wanajali? Wao wameshamtumia Dr kwa maslahi yao mengine wanaona atajijua mwenyewe. Nina uhakika Dr ni mpenzi mkuu wa JF na kwa vile jambo ulilosema sio la kisiasa ila kiroho atalisoma bila ushabiki na kutafakari. Kisha atatoa maamuzi bila kujali kuwa anajiaibisha.
Ni bora kuaibika mbele ya wanadamu lakini ukajiweka safi katika ulimwengu wa roho. Nafasi ya kiroho bado anayo ingawa ya kisiasa naona kama ndio basi tena.
 
watanznia kwa moyo wa dhati kabisa tuko tayari kwa mabadiliko na kuhakikisha hili tumeamua kuwa tutamchagua mh. Lowasa kuwa raisi wa tano wa jmt.
 
Na mimi nipo kiroho zaidi ndio nasema hayo anayosema leo mshana mimi nishawahi kuyaongea kabla na alitetewa na hawahawa wanaomsema leo au unabisha?
Mwalimu wako alipata taabu sana!
Tunajadili usaliti wa kiapo cha upadri kinachopelekea dr. slaa kutangatanga asijue pa kushika,
anatumia nguvu nyingi kujaribu kutuaminisha kuwa yeye ni mkweli sana kumbe hola!! usaliti wa kiapo unamtesa

anatumia nguvu nyingi kujaribu kutuaminisha kuwa ana akili nyingi kutuzidi (yeye ni doctor wa falsafa) yote ni katika kutangatanga kunakosababishwa na usaliti wa kiapo cha upadri.
kwa kifupi nikwambie hivii dr. slaa anajiona ana akili kama mungu.

Kiapo alichokisaliti cha upadri kinamhenyesha na hakitamuacha ng'o!!
 
Tupe na tathmini katikla jicho la kiroho kuhusiana na tuhuma za ufisadi za mgombea wa ukawa
 
I cant believe CHADEMA mnaimba nyimbo zile zile tulizozizowea kuzisikia kutoka kwa wanaCCM dhidi ya Dr Slaa,kisa?kapishana na Mbowe.Ila sishangai,yalianza kwa Dr Kaborou,akaja Wangwe,Zitto akafuatia na sasa ni zamu ya Dr Slaa,nani atafuatia?Oh yeah ni yule atakayepishan na --------- Mbowe.

Mkuu baada ya mwezi octoba kutakuwa na mgogoro mkubwa cdm ambao haujawahi kuukumba na huenda chama kikafa au wakagawana fito..

Ni kweli tunahitaji mabadiliko lkn haya ya hata kuingia na mkataba na shetan aseee hapana kubwa..

May waje watoe majib sahihi si hizi blabla za chekechea
 
Alishawaambia hata nyumba anayokaa mbowe alimsaidia ni wakati wa kutafuta nyumba yake na walinzi wake kwa kutumia hela za ccm
 
Mwalimu wako alipata taabu sana!
Tunajadili usaliti wa kiapo cha upadri kinachopelekea dr. slaa kutangatanga asijue pa kushika,
anatumia nguvu nyingi kujaribu kutuaminisha kuwa yeye ni mkweli sana kumbe hola!! usaliti wa kiapo unamtesa

anatumia nguvu nyingi kujaribu kutuaminisha kuwa ana akili nyingi kutuzidi (yeye ni doctor wa falsafa) yote ni katika kutangatanga kunakosababishwa na usaliti wa kiapo cha upadri.
kwa kifupi nikwambie hivii dr. slaa anajiona ana akili kama mungu.

Kiapo alichokisaliti cha upadri kinamhenyesha na hakitamuacha ng'o!!

Mkuu kwan dr, ameanza leo kumuita edo fisadi na mwizi??

May b tusaidia umri wako maana huenda ukawa mdogo kwa umri,, basi soma hata historia utajua kuwa edo ameanza kutamukwa ni fisadi toka zamani na hao viongozi wa ukawa wametangaza hvyo,

Sasa nan msaliti dr au hao ukawa na kundi lote?? Unadhan watakata kuwa edo si fisadi?? Mnyika mbowe na lisu wako kimya maana choo...kimehamia chumbani sasa ni harufu tu...

Na hayo maneno katamka dr tena kweupe kila mtu anasikia..
 
Mkuu kwan dr, ameanza leo kumuita edo fisadi na mwizi??

May b tusaidia umri wako maana huenda ukawa mdogo kwa umri,, basi soma hata historia utajua kuwa edo ameanza kutamukwa ni fisadi toka zamani na hao viongozi wa ukawa wametangaza hvyo,

Sasa nan msaliti dr au hao ukawa na kundi lote?? Unadhan watakata kuwa edo si fisadi?? Mnyika mbowe na lisu wako kimya maana choo...kimehamia chumbani sasa ni harufu tu...

Na hayo maneno katamka dr tena kweupe kila mtu anasikia..

Usiharakie kupost soma na kuelewa alichoandika jogi
 
Last edited by a moderator:
watanznia kwa moyo wa dhati kabisa tuko tayari kwa mabadiliko na kuhakikisha hili tumeamua kuwa tutamchagua mh. Lowasa kuwa raisi wa tano wa jmt.

Nkubaliana na mnyika kama si msigwa kuwa anaemchagua edo anapaswa kupimwa akili maana huenda anamataizo.. nahic unaweza kuwa mmoja wao mkuu

Umepewa kichwa ili kifikili si kufugia nywele tu..

Kishughulishe mkuu hayo si mabadiliko ni machafuko..
 
Back
Top Bottom