ManchoG
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 3,550
- 5,185
Unahisia za kisaliti sana.. NisameheYalinikuta kwa nwanangu wa kuzaa sikumnyonyesha sana alipofika miezi kumi alinyonyeshwa na mwingine nilikuwa nikienda likizo kumsalimia kwa mara ya kwanza alinikataa kabisa alikuwa bado mdogo sana ili anikubali walimtambulisha kwamba mimi ni dada alikubali tu kwamba dada ni mpika uji likizo ikiisha narudi kazini nifupishe nilipoanza kuishi naye hakuwa na mapenzi na mimi kabisa nilichofanys ni kijipendekeza kwake na mara kwa mara kuwa karibu naye kwa sasa ananipenda sana sana japo simfikii aliyemnyonyesha, mwambie mzazi mwenzio ajiweke karibu naye hata kama mtoto haonyeshi mapenzi kwa mama yake, yeye asijali akipata senti amnunulie vizawadi na ampe mwenyewe likizo aende kwa mama japo wiki au siku tatu hutoamini atampenda tu akikosa amshauri asimgombeze itachukua muda mrefu ila yataisha
Unawezaje kuwa mgeni kwa mwanao uliemzaa.!
Na ukaona sawa.!?