Kwa hili, namsaidiaje binti yangu?

Kwa hili, namsaidiaje binti yangu?

Mangi. Hongera kwa kulea binti yako .

Hiko kinachokupa shida sio tatizo wala, mzazi ambaye hajakulea ni sawa na stranger tu, inahitaji bintiyo akue katika hali yoyote ile akitaka kuelewa deeply (yeye pekee) sio kwa kulazimishwa kwanini mama yake hajawa kwenye maisha yake ndio kidogo kidogo anaweza rudisha moyo nyuma, otherwise hakuna kitu utaforce kikawa.

Tena hawa Gen Alpha, somehow wana independent minds huwezi kuwacone na ile misemo ya zamani ya mzazi ni mzazi blah blah.

Katika malezi, proximity na caring zina matter kuliko umiliki, mtoto anaweza bond na mtu yeyote atakayekuwa karibu nae.
Nimependa ulichoandika....

Niliposoma tu huu uzi nilitamani nikutane na comment yako au comment ya Heaven Sent

Shukrani.
 
Mtoto kashindwa kubond na mamake lawama kwa baba?
Anasema baba si kikwazo kwa mtoto kuhusiana na mamake.
Akifanya baba basi Hana makosa yeye mwenyewe baba amekiri hakuweka Yale mawasiliano Mazur Kat ya mama na mtoto
Mwanamke akimficha mtoto kwa baba yake atatikanwa matusi yote ila akifanya baba yuko sahihi

min -me amekosea
 
Sasa kwa nini unataka ukaribu mkubwa wa mtoto na mama ambaye kwa sasa ni mke wa mtu tayari?!

Ukaribu wa mtoto na mama ukiongezeka zaidi ina maana na wewe utakuwepo kuwepo karibu, kifuatacho mtajikuta mko uchi tena kwenye shuka moja😁

Watu wanvyosemaga humu single mothers kama mzazi mwenzie yupo hai jua tuu kuna siku kiporo kitapashwa sio uongo.

Mimi nina mwenza tulitengana miaka 10 iliyopita na kipindi tumeachana tayari alikuwa ameshazaa na mimi sasa, mbwembwe alizokuwa akinifanyia mie nilikaa kimya zaidi ya matumizi ya mwanangu nampa na kibaya kuna kipindi akawa anajifanya hataki nitoe matumizi na mtoto atamwambia baba yake nilishakufa kitambo, binafsi sikuwa na shaka maana ndugu zake wengi tunafahamiana na wao walimsihi huyu mtu (mimi) utakuja kukumbuka sana siku za baadae tumepoteza mume Bora sana kwako.

Sasa hapa naandika haya mwangu kwa miaka mingi anasumbua namtaka baba yangu tena ni wa kike pia basi hakuna namna mtoto anakuja kwangu na anafuraha zaidi akija kwangu kuliko akiwa na mama yake.

Matokeo sasa huyu mzazi mwenzangu anataka nirudiane nae kisa mtoto anamapenzi makubwa kwangu kuliko yeye na tena yeye ndio kaishinae muda mrefu.

Sasa huyu mwamba ukaribu anaoutaka atamponza mzazi mwenz a kwa mumewe huko ajitahidi kukaanae mbali huyo.

Mimi uzuri wakwangu mpaka sasa tuna miaka kibao hatuonani ana kwa ana lakini kwa jinsi anavyosumbua ni wazi kama ningekuwa sio muelewa tayari ningekuwa napasha kiporo kama kawaida.
 
Akifanya baba basi Hana makosa yeye mwenyewe baba amekiri hakuweka Yale mawasiliano Mazur Kat ya mama na mtoto
Mwanamke akimficha mtoto kwa baba yake atatikanwa matusi yote ila akifanya baba yuko sahihi

min -me amekosea
Huu uzi umejadiliwa kwa upole sana, Pata picha ingekuwa upande wa kike. JF sio salama kwa wanawake kiivo…. Nashangaa mods hawalionagi hili au na wao wana-amplify haya mambo ya ku-bully wanawake.

Jana nilisoma comments zote nika notice hili, sikutaka kulisema nisijechepusha mada ya bwana min me, he’s always a good person.
 
Akifanya baba basi Hana makosa yeye mwenyewe baba amekiri hakuweka Yale mawasiliano Mazur Kat ya mama na mtoto
Mwanamke akimficha mtoto kwa baba yake atatikanwa matusi yote ila akifanya baba yuko sahihi

min -me amekosea
Hakuna aliye sahihi kumzuia mtoto kuwasiliana na mzazi wake.
 
Mimi ninadeal na haya maswala kama sehemu ya kazi yangu.

Ningeweza kuandika sana ila nitasema tu kwa kifupi kwamba unachohofia ilibidi ahofie mama yake. Ni juu ya mama siyo wewe.
Point... Mimi nipo kwenye Ndoa na wanangu wana Bond na MM kuliko Mama yao, ni wajibu wa mama yao kutengeneza Bond na watoto, kama hajali basi!
 
Bwashee lea mwanao ndo jukumu lako mama yake apambane mwenyewe ku bond Ila bwashee mtafutie mdogo wake
 
Back
Top Bottom