Pole sana daktari ,huna lolote unaloweza kufanya kwasasa kwa binti yako maana kila utakachojaribu kumueleza binti juu ya mama yake swali la msingi kichwani mwake linabaki kwanini hamko wote yuko na mwingine na huku wewe kwa binti yako unaonekana mwema kwa kila kitu hivyo kumueleza chochote juu ya mzazi mwenzio ni kumchanganya na kumtesa kihisia binti.Niseme tu mimi ni single father wa binti mmoja , japo nilisha sema nawakiume mkubwa ila ni stori ndefu mpaka kufanya maamuzi ya kubaki na binti yangu tu.
Binti yangu nilianza kukaa nae alipo timiza miaka miwili baada ya kuvutana na mama yake mno.
Ila mama yake alipo pata mtu mwingine wa kumuoa ndoa kabisa, baada ya mimi kupeana nae talaka , ikawa rahisi sana kunipa binti yangu .
Nilimlea binafsi , alipo kua alienda kwa bibi yake na sasa yupo shule ya kulala anaendelea vyema.
Shida inakuja , baada ya binti ya kuwa mkubwa kiasi , naona kama hana bond na mama yake , wala hana hisia nae kabisa 🥲 , sikupenda hii hali ijitokeze kabisa , yani hata ukimwambia wewe unafanana na mama yako vitu fulani analia kabisa 🤔
Wakionana hauwezi fikiri ni mtu na mtoto wake , hii hali siipendi kwa sababu sijawahi kumsaigia kunguni mama watoto wangu kwa mwanae kabisa , tunaelewana kama wazazi na hata yeye ana shiriki matunzo ya mwenetu.
Hii hali imekaaje wadau , na nina weza fanya vipi nikaweka ukaribu wa binti yangu na mama yake 🤔.
Kuna mda naona huyu binti ni mimi tu, nawaza nimnyweshe hata vodka , sijawahi kukumbana na changamoto ya namna hii😀(jokes)Kama kila akienda anajeruhiwa, kwanini unamwacha anaendelea kwenda? Unafanya kwa maslahi ya mtoto au ya huyo x-mke?
Kulenga maslahi ya mtoto hakikisha uwepo wako upo nae, kwakua mama mzazi hayupo tafuta mother figure iwepo nae.
Shida ninayoiona hapo, mama ana watoto wengine na kaolewa kabisa. Huyo mama mwenyewe ameshapoteza touch na binti yake.Chief Kujenga Bond ya Mzazi na Mtoto Hua Ni Utotoni Hasa Below 7,Ikifika 10 na Above Hamna Feeling za mzazi kwa mtoto Ni kazi sana kuzirudisha Labda Kitokee au kifanyike kitu special sana.
Hapo Mama Ake Ana kazi ya Ziada,atenge muda Mwingi wa kuwa na mtoto kurudisha Bond nae na Itabidi aavumilie mchakato maana si jambo rahisi na linachukua muda mrefu.
Yapo mengi sana…Chief Kujenga Bond ya Mzazi na Mtoto Hua Ni Utotoni Hasa Below 7,Ikifika 10 na Above Hamna Feeling za mzazi kwa mtoto Ni kazi sana kuzirudisha Labda Kitokee au kifanyike kitu special sana.
Hapo Mama Ake Ana kazi ya Ziada,atenge muda Mwingi wa kuwa na mtoto kurudisha Bond nae na Itabidi aavumilie mchakato maana si jambo rahisi na linachukua muda mrefu.
Mke uliemkojoza na kumzalisha unapaswa uhakikishe kafa.! Ili useme kitu..Mimi huo ufala sifanyi kamwe bwashee usinione tu mlevi, na hekima zangu😅
Ni akina nani hao waja?..Nasoma tu ushauri wa waja.
Trust in processNi kwel usijali nitamcheki mwana arsenal huyo
Yeah mimi , nahusika mno, kuna mda niliwaza labda nilimpa umuhimu mno 🤔Mmh haiwezekani awe ivo tu bila sababu kaa chini zungumza naye wewe ndio utaweza mshawishi sababu ww ndio sababu awe ivo hata kama hujawah ongea mabaya yyote kuhusu mama yake
Mshaachana na mzazi mwenza kwa taraka na akaolewa na mwingine, huyo futa kabisa akilini mwako maana mawasiliano hayo na mke wa mtu yatapelekea kupashiana viporo.Niseme tu mimi ni single father wa binti mmoja , japo nilisha sema nawakiume mkubwa ila ni stori ndefu mpaka kufanya maamuzi ya kubaki na binti yangu tu.
Binti yangu nilianza kukaa nae alipo timiza miaka miwili baada ya kuvutana na mama yake mno.
Ila mama yake alipo pata mtu mwingine wa kumuoa ndoa kabisa, baada ya mimi kupeana nae talaka , ikawa rahisi sana kunipa binti yangu .
Nilimlea binafsi , alipo kua alienda kwa bibi yake na sasa yupo shule ya kulala anaendelea vyema.
Shida inakuja , baada ya binti ya kuwa mkubwa kiasi , naona kama hana bond na mama yake , wala hana hisia nae kabisa 🥲 , sikupenda hii hali ijitokeze kabisa , yani hata ukimwambia wewe unafanana na mama yako vitu fulani analia kabisa 🤔
Wakionana hauwezi fikiri ni mtu na mtoto wake , hii hali siipendi kwa sababu sijawahi kumsaigia kunguni mama watoto wangu kwa mwanae kabisa , tunaelewana kama wazazi na hata yeye ana shiriki matunzo ya mwenetu.
Hii hali imekaaje wadau , na nina weza fanya vipi nikaweka ukaribu wa binti yangu na mama yake 🤔.
Kuna Ile likizo nenda kwa mama halafu kuna ILe mtoto anaumwa unamwita mama yake anakuja anampa faraja kuna sikukuu aende kwa mama akale sikukuu hiyo ulimnyima no connection yoyoteYeah mimi , nahusika mno, kuna mda niliwaza labda nilimpa umuhimu mno 🤔
Bwashee kwanza ni ngumu sana kwa Mama wa mtoto kuamini kua wewe hujampa sumu mtoto ili amchukie Mama yake,si ajabu hata huko pembeni anakusema kua umempa maneno mtoto ili amchukie yeye Mama yake,Bwashee nazingatia hili
Hujamuoa.! Uko unaishi naye kisela.? Si ndio.?Bwashee, kuna mda nafikiri nimtoe kwa mume wake arudi kwa sababu ya mwanangu tu , ula nawaza sana
Psychologically kuna phenomenon inayosema mtoto wa kike anahitaji uwepo wa baba zaidi ili her feminine side kuonekana. Inaitwa electra complex.Nahisi hivyo mkuu