Akina Gerson Santana Jaja,Ni akina nani hao waja?..
Kama yupo hata mmoja ungemtaja..
Bila hivyo nitaona tu unabwabwaja..
Nyoosha maelezo usinipe neno la faraja
Muda wowote mechi inapigwa!Kama vile naanza kuwaelewa vijana wanaogopa single mothers wanaosema hadi waonyeshwe kaburi la baba mtu ndio wanachukua single mother 😁
Sory si kusoma vyote swali langu ni la kipuuzi.Bwashee, kuna mda nafikiri nimtoe kwa mume wake arudi kwa sababu ya mwanangu tu , ula nawaza sana
Binti yako ni mdogo, kiumri lkn anajitahidi kuchangua kwanini mama hakai na mimi anakaa na wengine??
zaidi sana inaonekn akienda huko huyo mume wa mzazi mwenzako anaweza kuwa sio rafiki kwake hivyo napo lazima ajiulize mbona huyu mzee naye sio kama baba yangu ??
Hivyo ni kutafuta njia ya kumkutanisha na mama yake pasi kwenda nyumbani kwake inapobidi ili. Pengine uweze kuona anakuwaa huru au la
Yapo mengi mzee min
Leo ni kubaaayaaNakula vodka nimetoka kuongea na binti yangu, sijui wamebishana nini huko na vitoto vyenzake , eti kinapiga simu ,baba sema wewe ni nan wenzangu wasikia mpaka nimelia
Mtoto wa kike ni wa Baba.Hilo sio jambo lako bwashee hilo jambo ni la mama mtu, mtoto ashaona hana nafasi tena kwa mama yake, na kama unavyojua mtoto wa kike ni wa baba acha mambo yaende kama yalivyo
Kwani si yuko kwa Bibi yake? Mama ashaolewa na kidume mwingine na tayari ana watoto wengine huko, utalazimishaje? Kwani ambao mama zao wamekufa hawajalelewa vema?Mtoto wa kike ni wa Baba.
Ila malezi ni ya Mama.
Mtoto wa Kiume ni wa Mama.
Ila malezi ni ya Baba.
Ukitaka kufahamu hili. Angalia Mtoto wa Kiume alieyelewa na Mwanamke pekee anavyokuwa na mtoto wa Kike akilelewa na Mwanaume pekee anavyokuwa.
Tunategemeana.
Ila mtoto apate malezi.
Ww jamaa bhana 😂Bwashee, kuna mda nafikiri nimtoe kwa mume wake arudi kwa sababu ya mwanangu tu , ula nawaza sana
Ndo mana sisi wengine tunapinga kuwa na mahusiano na single mother, mana tunajua tuu lazima watalombana tuu.Wazazi inaonekana kuna maisha mnayapata yana raha yake ya kupasha viporo ambapo sisi ambao hatuna wazazi wenza tunayakosa.
Mama yangu akiwa anaongea na mzee kwenye simu huwa anamwambia "Mpenzi wangu wa zamani.."
Binafsi nasema ndoa sio ile ibada ya kanisani, msikitini au ya serikali, ndoa ni mtoto.Muda wowote mechi inapigwa!
Kuna vitu mnakua mnavimiss.
Kwanza wanasema mkishakua na mtoto nyie ni ndugu.
Yu play weakerBwashee, kuna mda nafikiri nimtoe kwa mume wake arudi kwa sababu ya mwanangu tu , ula nawaza sana
Ni kweli kabisa, mambo yao awaachie wenyeweMimi ninadeal na haya maswala kama sehemu ya kazi yangu.
Ningeweza kuandika sana ila nitasema tu kwa kifupi kwamba unachohofia ilibidi ahofie mama yake. Ni juu ya mama siyo wewe.
AU bwashee wewe ndio ulipora tunda la watu.!Bwashee, kuna mda nafikiri nimtoe kwa mume wake arudi kwa sababu ya mwanangu tu , ula nawaza sana
Sio sababu ya ww kushindwa kumlaMama wa mtoto wangu ana mabinti wengine na mume wake