Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,954
- 147,843
Hii noma,Muda wowote mechi inapigwa!
Kuna vitu mnakua mnavimiss.
Kwanza wanasema mkishakua na mtoto nyie ni ndugu.
Hii noma,Muda wowote mechi inapigwa!
Kuna vitu mnakua mnavimiss.
Kwanza wanasema mkishakua na mtoto nyie ni ndugu.
Unashauri kivulana sanaSio sababu ya ww kushindwa kumla
Mwenzio kaolewa huko .Mrudiane na mama yake Sasa Ili Bond irudi.
Mtoto angependa kuwaona Baba na Mama mkiwa na furaha pamoja.
Basi azidishe ukaribu na Ba mtoto.Mwenzio kaolewa huko .
Baba na mama upendo lazima uwepo,Kuna kiuongo ni mtoto.Basi azidishe ukaribu na Ba mtoto.
Mtoto atafurahi sana 😝
Sema mimi nimeona kama wazazi nahisi kaupendo bado kapo?
Kiungo muhimu sana.Baba na mama upendo lazima uwepo,Kuna kiuongo ni mtoto.
Sio kweli , mimi na mama mtoto niwagumu sana kurudiana tulisha jaribu hata kabla hajaolewa ila ikawa vigumu sanaBasi azidishe ukaribu na Ba mtoto.
Mtoto atafurahi sana 😝
Sema mimi nimeona kama wazazi nahisi kaupendo bado kapo?
Yaani😁,Kiungo muhimu sana.
Kwa hii bond ilivo tamu ukiingia hapo 😝Yaani😁,
Sipendi kuuliza sana..Bwashee kwa sasa ni mke wa mtu , hapa najadili kuhusu tabia za mwanangu tu
Na maisha yenyewe ni haya😁Kiungo muhimu sana.
Wote mna viburi 😜Sio kweli , mimi na mama mtoto niwagumu sana kurudiana tulisha jaribu hata kabla hajaolewa ila ikawa vigumu sana
Usipofanya hivo mtoto atakuwaje karibu na Mama yake.Kwa mtoto angependa hivyo ,ila sioni ikifaa kwa sasa